Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
- Thread starter
- #81
Majigo,
Nakuomba Njoo Kwangu Utulie na Mimi.
Me Sivaagi Suruali,
Navaaga Magunia na Madabwada tu.
Ila kiukweli ni ngumu sana kwa unayotaka.
Coz kumbuka ameanza vaa tangu hamfahamiani.
Ila yote kwa yote kama Anakulindia Heshima Yako Mbele ya Jamii ya nini Umuache?
Utakuwa kuna Lingine Unatuficha Mkuu.
hahahahah!
kuna Siku Niliomba Tuonane,Yeye Akaenda Kwenye Mambo Yake Bila Kunitaarifu,Mtu Mzima Nikawa Roho Juu..Yeye Akanuna,Nikajishusha Mimi Na Kumuomba Radhi(Nilijifanya bwegeh)
Last edited by a moderator: