Tiba ya damu kuzidi mwilini ni ipi?

Isaya wa njombe

Senior Member
Apr 2, 2023
181
325
Salute. Niende kwenye mada naombeni msaada kama kuna madaktari humu wabobezi ni hivi nasumbuliwa na tatizo LA damu kuzidi niliambiwa hivyo baadae ya kupima niliambiwa ni 17.

Ndugu inanipa shida sana nimeenda Ilala afya center wakaniambia niende mhimbili kwa vipimo zaidi kabla sijaenda mhimbili nilienda hospital ya Bulhan wale walinipima wakasema IPO 16.2 kwa mwanaume haina shida nikapewa dawa za maumivu tu shida.

Kichwa nikaniuma pamoja na kifua kizunguzungu sana jumanne nikaone niende mhimbili nilimweleza Dr wakanipa vipimo Vingi Vingi ilinichukua karbu masaa manne kupata majibu cha kushangaza nikapewa majibu damu iko 17.

Nikapewa dawa za maumivu na dawa flani zinaitwa Loprin nikaambiwa. Nipunguze mbogamboga na nyama pia ikiwezekana nichangie damu niliambiwa nirudi baada ya week 1 lkn naona zile dawa ni kama za kutuliza maumivu tu maana taabu uko pale pale kifua na kizunguzungu bado nimerudi mhimbili nikapewa tu dawa za maumivu kitengo cha kupunguza damu wanasema kwa sababu mi natoa kama tiba lazma niwe na kibali cha Dr kwa sababu sio sehem ya tiba kuipunguza so naomba ushauri.

Je, nikitoa haita leta shida baada ya kutoa au niende Hosp za private kama aga Khan naombeni ushauri maana Nina maumivu makali sana.

Mtanisamehe kwa mwandiko mi ni form four failed, asante.
 
Salute. Niende kwenye mada naombeni msaada kama kuna madaktari humu wabobezi ni hivi nasumbuliwa na tatizo LA damu kuzidi niliambiwa hivyo baadae ya kupima niliambiwa ni 17.

Ndugu inanipa shida sana nimeenda Ilala afya center wakaniambia niende mhimbili kwa vipimo zaidi kabla sijaenda mhimbili nilienda hospital ya Bulhan wale walinipima wakasema IPO 16.2 kwa mwanaume haina shida nikapewa dawa za maumivu tu shida.

Kichwa nikaniuma pamoja na kifua kizunguzungu sana jumanne nikaone niende mhimbili nilimweleza Dr wakanipa vipimo Vingi Vingi ilinichukua karbu masaa manne kupata majibu cha kushangaza nikapewa majibu damu iko 17.

Nikapewa dawa za maumivu na dawa flani zinaitwa Loprin nikaambiwa. Nipunguze mbogamboga na nyama pia ikiwezekana nichangie damu niliambiwa nirudi baada ya week 1 lkn naona zile dawa ni kama za kutuliza maumivu tu maana taabu uko pale pale kifua na kizunguzungu bado nimerudi mhimbili nikapewa tu dawa za maumivu kitengo cha kupunguza damu wanasema kwa sababu mi natoa kama tiba lazma niwe na kibali cha Dr kwa sababu sio sehem ya tiba kuipunguza so naomba ushauri.

Je, nikitoa haita leta shida baada ya kutoa au niende Hosp za private kama aga Khan naombeni ushauri maana Nina maumivu makali sana.

Mtanisamehe kwa mwandiko mi ni form four failed, asante.
Tumia lmao kwa fujo
 
Salute. Niende kwenye mada naombeni msaada kama kuna madaktari humu wabobezi ni hivi nasumbuliwa na tatizo LA damu kuzidi niliambiwa hivyo baadae ya kupima niliambiwa ni 17.

Ndugu inanipa shida sana nimeenda Ilala afya center wakaniambia niende mhimbili kwa vipimo zaidi kabla sijaenda mhimbili nilienda hospital ya Bulhan wale walinipima wakasema IPO 16.2 kwa mwanaume haina shida nikapewa dawa za maumivu tu shida.

Kichwa nikaniuma pamoja na kifua kizunguzungu sana jumanne nikaone niende mhimbili nilimweleza Dr wakanipa vipimo Vingi Vingi ilinichukua karbu masaa manne kupata majibu cha kushangaza nikapewa majibu damu iko 17.

Nikapewa dawa za maumivu na dawa flani zinaitwa Loprin nikaambiwa. Nipunguze mbogamboga na nyama pia ikiwezekana nichangie damu niliambiwa nirudi baada ya week 1 lkn naona zile dawa ni kama za kutuliza maumivu tu maana taabu uko pale pale kifua na kizunguzungu bado nimerudi mhimbili nikapewa tu dawa za maumivu kitengo cha kupunguza damu wanasema kwa sababu mi natoa kama tiba lazma niwe na kibali cha Dr kwa sababu sio sehem ya tiba kuipunguza so naomba ushauri.

Je, nikitoa haita leta shida baada ya kutoa au niende Hosp za private kama aga Khan naombeni ushauri maana Nina maumivu makali sana.

Mtanisamehe kwa mwandiko mi ni form four failed, asante.
Umeoa?
 
Nimewahi kupima na kukuta nina Hb ya 18g/dl..na hakuna tatizo lolote.
 
Pole.
Damu ya kawaida huwa ngapi?

Ukichangia damu unaweza kuishiwa damu kabisa pia.

Angalia sana diet yako pia, fanya mazoezi ya kutosha
 
Salute. Niende kwenye mada naombeni msaada kama kuna madaktari humu wabobezi ni hivi nasumbuliwa na tatizo LA damu kuzidi niliambiwa hivyo baadae ya kupima niliambiwa ni 17.

Ndugu inanipa shida sana nimeenda Ilala afya center wakaniambia niende mhimbili kwa vipimo zaidi kabla sijaenda mhimbili nilienda hospital ya Bulhan wale walinipima wakasema IPO 16.2 kwa mwanaume haina shida nikapewa dawa za maumivu tu shida.

Kichwa nikaniuma pamoja na kifua kizunguzungu sana jumanne nikaone niende mhimbili nilimweleza Dr wakanipa vipimo Vingi Vingi ilinichukua karbu masaa manne kupata majibu cha kushangaza nikapewa majibu damu iko 17.

Nikapewa dawa za maumivu na dawa flani zinaitwa Loprin nikaambiwa. Nipunguze mbogamboga na nyama pia ikiwezekana nichangie damu niliambiwa nirudi baada ya week 1 lkn naona zile dawa ni kama za kutuliza maumivu tu maana taabu uko pale pale kifua na kizunguzungu bado nimerudi mhimbili nikapewa tu dawa za maumivu kitengo cha kupunguza damu wanasema kwa sababu mi natoa kama tiba lazma niwe na kibali cha Dr kwa sababu sio sehem ya tiba kuipunguza so naomba ushauri.

Je, nikitoa haita leta shida baada ya kutoa au niende Hosp za private kama aga Khan naombeni ushauri maana Nina maumivu makali sana.

Mtanisamehe kwa mwandiko mi ni form four failed, asante.

Kuna mambo ya kuzingatia vizuri:

1: Kufahamu tatizo la maumivu na kizunguzungu lina muda gani/duration?

2: Wakati damu inapimwa, kujua reference ranges za mashine husika.

3: Aina ya kazi vs ushiriki wako kwenye mzoezi.

4: Sehemu unayoishi kwa muda mrefu, urefu wa eneo toka usawa wa bahari.

5: Muhimbili ulikutana na daktari bingwa wa magonjwa yahusuyo damu/Haematologist?
 
Hauna stress mkuu, stress zikizidi sana zinakimbilia hapo kifuani, sidhani kama damu ni tatizo hivyo
 
Salute. Niende kwenye mada naombeni msaada kama kuna madaktari humu wabobezi ni hivi nasumbuliwa na tatizo LA damu kuzidi niliambiwa hivyo baadae ya kupima niliambiwa ni 17.

Ndugu inanipa shida sana nimeenda Ilala afya center wakaniambia niende mhimbili kwa vipimo zaidi kabla sijaenda mhimbili nilienda hospital ya Bulhan wale walinipima wakasema IPO 16.2 kwa mwanaume haina shida nikapewa dawa za maumivu tu shida.

Kichwa nikaniuma pamoja na kifua kizunguzungu sana jumanne nikaone niende mhimbili nilimweleza Dr wakanipa vipimo Vingi Vingi ilinichukua karbu masaa manne kupata majibu cha kushangaza nikapewa majibu damu iko 17.

Nikapewa dawa za maumivu na dawa flani zinaitwa Loprin nikaambiwa. Nipunguze mbogamboga na nyama pia ikiwezekana nichangie damu niliambiwa nirudi baada ya week 1 lkn naona zile dawa ni kama za kutuliza maumivu tu maana taabu uko pale pale kifua na kizunguzungu bado nimerudi mhimbili nikapewa tu dawa za maumivu kitengo cha kupunguza damu wanasema kwa sababu mi natoa kama tiba lazma niwe na kibali cha Dr kwa sababu sio sehem ya tiba kuipunguza so naomba ushauri.

Je, nikitoa haita leta shida baada ya kutoa au niende Hosp za private kama aga Khan naombeni ushauri maana Nina maumivu makali sana.

Mtanisamehe kwa mwandiko mi ni form four failed, asante.
Katika hivyo vipimo ulipima vidonda vya tumbo?
Dalili hizo unazosema uwezekano mkubwa ni vidonda vya tumbo. Nilikua na dalili hizo nikaambiwa damu imezidi, nikatoa damu ndio dalili zikaongezeka mpaka nilipojua ni vidonda vya tu nikafanya matibabu.
Pima kwanza lete mrejesho
 
Stress ninazo sana mkuu labda kama umeongea kwa utani...
Nakutaniaje wakati unaumwa mkuu, nishapitia kipindi cha stress mkuu naelewa, yaani hapo kifuani unaona kama umebeba mzigo flani hv kiungulia sio yaani mradi tu kuna kitu kipo kinakusumbua unapima unaambia huna shida wakati huo wewe unapata shida
 
Kuna mambo ya kuzingatia vizuri:

1: Kufahamu tatizo la maumivu na kizunguzungu lina muda gani/duration?

2: Wakati damu inapimwa, kujua reference ranges za mashine husika.

3: Aina ya kazi vs ushiriki wako kwenye mzoezi.

4: Sehemu unayoishi kwa muda mrefu, urefu wa eneo toka usawa wa bahari.

5: Muhimbili ulikutana na daktari bingwa wa magonjwa yahusuyo damu/Haematologist?
Asante kazi Mimi ni askari mda mwingi nakuwa nimekaa kuishi naishi tabata kazi nipo upanga kuhusu Dr kiukweli pale mhimbili ilikuwa Mara yangu ya kwanza kwenda so sijui kama ni Dr bingwa au LA maana nilipelekwa pale mukuti so huyo Dr sina hakika kama ni bingwa au LA kuhusu mazoezi nafanya lkn sio kivile sana kuhusu lishe mi sio wa kuzingatia sana naweza kunywa chai ikawa mbaka jioni pls naomba kama unasehem nidairect nikawaone naomba ushauri wako..
 
Katika hivyo vipimo ulipima vidonda vya tumbo?
Dalili hizo unazosema uwezekano mkubwa ni vidonda vya tumbo. Nilikua na dalili hizo nikaambiwa damu imezidi, nikatoa damu ndio dalili zikaongezeka mpaka nilipojua ni vidonda vya tu nikafanya matibabu.
Pima kwanza lete mrejesho
Da asante mkuu kweli vidonda vya tumbo ninavyo huwa navipotezea huenda ikawa tatizo pia asante kwa kunifungua macho..
 
Stress ninazo sana mkuu labda kama umeongea kwa utani...
Yap: Stress ni mduara mgumu:
Stress vs Hakuna usingizi vs kuchoka vs moyo kwenda mbio vs hakuna hamu ya kula vs maswali magumu vs utendaji kazi usioridhisha vs kichwa kuuma =>Stress tena na tena.

Ni muhimu pamoja na yote kuvunja mnyororo wa stress.
 
Nakutaniaje wakati unaumwa mkuu, nishapitia kipindi cha stress mkuu naelewa, yaani hapo kifuani unaona kama umebeba mzigo flani hv kiungulia sio yaani mradi tu kuna kitu kipo kinakusumbua unapima unaambia huna shida wakati huo wewe unapata shida
Asante ni kweli mkuu asaiv nipo kwenye depression Nina stress za mambo Fulani karbu mwaka huenda ikawa chanjo yaani umeongea mle mle...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom