LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
hey wanajamii nilikuwa na tatizo la anal fisure ambalo chanzo ni siku moja ambayo nilipata choo kigumu sana hali iliyo nisababishia maumivu sana wakati najisaidia toka hapo ndipo tatizo lilipo anzia hadi sasa,,nkamuona dokta akanipa oitiment ya ku insert njia ya haja kubwa lakini naona bado napata maumivu sana baada ya haja kubwa naomben msaada zaid karibu miezi miwili sasa napata shida shida hii pamoja na kutumia dawa hiyo mda huo wote mwenye msaada zaidi tafadhari au anaye ijua dawa itakayo nisaidia naomba msaada au kama kuna dokta ninae weza mtafuta akanisaidiaa nipo mwanza plz help.