jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Mkuu kwa soko letu la "bongofleva" usiyumbe na nyimbo kuingia topten!
Laiti ukielewa yaliyofichika nyuma ya mapazia ya "ustaa wa bongo" utakubali kuwa ni mambo ya ajabu!
Nikupe kisa, wiki mbili zilizopita tukiwa mtaani jamaa akawa anampiga mziga Temba (Mh Temba) Temba akamwambia sina kitu nlkuwa na laki 5 nimewapa clouds kwaajili ya promo ya "kichwa kinauma"....
Unaona ?
Suala sio redio zingine zifanye kama clouds mkuu, hii kauli ya kufifisha mjadala utafikiri wabongo wengine mnapojadili matatizo ya rushwa anakwambia kwani we ukipewa hutakula!
Suala ni kuwa na soko imara la music lenye kuruhusu vipaji na uwezo wa waimbaji na idara zingine za music.
Mbaya sana ni kuwa matatizo mengi yanajijengea mizizi kiasi kwamba yanastawi kama ni mazoea ya kila siku hvyo hujenga tabia.
Tunapojadili tumefikaje hapo kwenye platform hzi ni namna tunaweka kumbukumbu sawa kuwa ni vipi tunaweza kutoka!
Ok, kwa mkao wa jamii yetu ambapo ni rahisi sana kubomoa kuliko kujenga wakati mwingine tiba inayobaki ni MUDA tu.
Mpaka pale wasanii watakapo nyonywa mpaka wabaki mifupa mitupu, huenda watasaidia mabadiliko kutoka ndani kabisa.
Ila kwa mpaka sasa sioni cha maana kwa hao wasanii wa THT kuwafunika wenzao wa BSS (tena tuishie hapohapo kwa BSS tuziache TPF na zingine za kimataifa)!
Unamtaja Leah Moudy mbona hujamtaja Grace Matata?
Laiti ukielewa yaliyofichika nyuma ya mapazia ya "ustaa wa bongo" utakubali kuwa ni mambo ya ajabu!
Nikupe kisa, wiki mbili zilizopita tukiwa mtaani jamaa akawa anampiga mziga Temba (Mh Temba) Temba akamwambia sina kitu nlkuwa na laki 5 nimewapa clouds kwaajili ya promo ya "kichwa kinauma"....
Unaona ?
Suala sio redio zingine zifanye kama clouds mkuu, hii kauli ya kufifisha mjadala utafikiri wabongo wengine mnapojadili matatizo ya rushwa anakwambia kwani we ukipewa hutakula!
Suala ni kuwa na soko imara la music lenye kuruhusu vipaji na uwezo wa waimbaji na idara zingine za music.
Mbaya sana ni kuwa matatizo mengi yanajijengea mizizi kiasi kwamba yanastawi kama ni mazoea ya kila siku hvyo hujenga tabia.
Tunapojadili tumefikaje hapo kwenye platform hzi ni namna tunaweka kumbukumbu sawa kuwa ni vipi tunaweza kutoka!
Ok, kwa mkao wa jamii yetu ambapo ni rahisi sana kubomoa kuliko kujenga wakati mwingine tiba inayobaki ni MUDA tu.
Mpaka pale wasanii watakapo nyonywa mpaka wabaki mifupa mitupu, huenda watasaidia mabadiliko kutoka ndani kabisa.
Ila kwa mpaka sasa sioni cha maana kwa hao wasanii wa THT kuwafunika wenzao wa BSS (tena tuishie hapohapo kwa BSS tuziache TPF na zingine za kimataifa)!
Unamtaja Leah Moudy mbona hujamtaja Grace Matata?