Nianze kwa kutoa kisa cha kweli then niwashauri wanaotafuta wachumba.
Siku moja jeshi la Uingereza lilikuwa kazini baharini na wakaishiwa maji ya kunywa. Mkuu wa kikosi akapiga simu nchi kavu ili watumiwe maji toka bara kupeleka huko baharini. Lakini jibu aliloambiwa ni hili "Throw the bucket where you are and fetch water!"
Kwenu ninyi mnaotafuta wachumba naomba niwaambie throw the bucket where you are and fetch water. Hapo ulipo ndipo alipo mchumba wako! Labda upo kazini, kanisani au mtaani, chuoni au ugenini. Chukua mda kuchagua hapo ulipo ndipo yupo! Ni vigumu kipata kupitia mitandao ya kijamii! Kwani kuna watu wajifanya wa kike kumbe wa kiume au wa kiume kumbe wa kike! Utashangaa mfano Evelyn Salt kukuta kumbe ni wa kiume na watu ndo wanamfukuzia ile mbaya hapa jukwaani (natania tu).
So huo ndo ushauri wangu kwamba hapo ulipo wa kwako yupo usihangaike kwenda mkoa wa mbali.
Siku moja jeshi la Uingereza lilikuwa kazini baharini na wakaishiwa maji ya kunywa. Mkuu wa kikosi akapiga simu nchi kavu ili watumiwe maji toka bara kupeleka huko baharini. Lakini jibu aliloambiwa ni hili "Throw the bucket where you are and fetch water!"
Kwenu ninyi mnaotafuta wachumba naomba niwaambie throw the bucket where you are and fetch water. Hapo ulipo ndipo alipo mchumba wako! Labda upo kazini, kanisani au mtaani, chuoni au ugenini. Chukua mda kuchagua hapo ulipo ndipo yupo! Ni vigumu kipata kupitia mitandao ya kijamii! Kwani kuna watu wajifanya wa kike kumbe wa kiume au wa kiume kumbe wa kike! Utashangaa mfano Evelyn Salt kukuta kumbe ni wa kiume na watu ndo wanamfukuzia ile mbaya hapa jukwaani (natania tu).
So huo ndo ushauri wangu kwamba hapo ulipo wa kwako yupo usihangaike kwenda mkoa wa mbali.