Thread nyingine zinaboa

ulitaka watoke.na.mkeo inayokubore unakaa kimya mpaka anarudi jehova nikusaidie na exp humu cha.kusoma akiliza watu sana nini cha kufanya ukisoma hdn inakubore acha ukiisoma ndan mns umeipenda mpwa lakohilo

nimekusoma mkuu, next time nawe uwe unaanza kwa kuonyesha mfano pia utambue uhuru wa kutoa maoni unaenda na staha ya kiutu
 
mkuu asikudanganye mtu, MMU imejaa watu wazima wakutosha, hamna watoto usidanganywe

teh teh teh....."watoto vivuli" hata kwenye huu uzi wamo!
...watu wanawapumzikia!..,kama unanielewa nachomaanisha!
 
safi sana ma niga piidiiidiiii
hfhggsgsgsgsskslslsllslslslslslhdbbfggfufff
haahaaaa mpwaa.niliwamiss mpooo huyubana anakuwa bored.na.mtu asiemjua wala kumwona loh...eebaanaaa kuna yule.mtz aliwekwa ndani na wizi wa.mambo yao nkakukabidhi mjane tumlee kwa heshima ya jf.jamaa ajatokaa

duh sijui na hii jamaa ntamboaa hahaaaaa....
 

unajitekenya na kucheka mwenyewe, lililo na muhimu ni kutoa hoja zenye mashiko na tija kwa taifa na maisha yetu ya kila siku
 
Huu sasa ni utoto,

Mleta mada ni mpuzi sana Moderator saidia kuondoa huu u.pu.pu
 
Last edited by a moderator:
unajitekenya na kucheka mwenyewe, lililo na muhimu ni kutoa hoja zenye mashiko na tija kwa taifa na maisha yetu ya kila siku
cc..mikatabaafekiiii

na traa mlipeeee....
 
Huu sasa ni utoto,

Mleta mada ni mpuzi sana Moderator saidia kuondoa huu u.pu.pu

wakukurupuka mwingine amewasili ndani ya house, si ni wewe nimeona umelalamika humu kwenye baadhi ya thread kuhusu watu kupost ujinga ama kweli
 
Last edited by a moderator:
Nemo hapa.kazi majungu peleka huko chamanii...
 
Hivi Hao Wazungu Huwa Wanakubokoa Hadi Ubongo Wako?

wazungu wanachukua akili zao zote hata za kuongozea familia, msafisha snow huyo, kwani kuna ubaya gani mtu kupost vitu vyenye mashiko na tija kwa taifa ingawa utani ni jadi yetu
 
Haujalazimishwa kusoma kila kitu humu, ndio maana wengine hatusomi zingine na ukiangalia namba ya views ungepata jibu.
 
Haujalazimishwa kusoma kila kitu humu, ndio maana wengine hatusomi zingine na ukiangalia namba ya views ungepata jibu.

sasa hapa umepost ili iweje au unaongeza namba ya views
 
Mod watakua wameenda club kupombeka aisee....
Kwa minyukano hii naamini hata Paw atakua amesha lewa zaidi ya Invisible pengine anacheza Disco
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…