This week around the world

Huyo mamba alikuwa anatafuta umaarufu wa bure wakati anaona wakuu wametulia
 
Safety issues ni zero kabisa

duhhh mbona yuko makini tu ... ( au unaongelea huo moshi {health & Safety )???

Mkuu unasemaje Safety zero wakati Jamaa ana Helmet with chin belt, ana safety Harness, ana Gloves

au sijakuelewa mwayego?

Asante sana

This is a very corageous Move ... keep it up!!!

would you be able to do that ??

Dunia imechoka sana.

Kwa nini mkuu??
 
Afro Denz ...Huyu mamba tumfanye ndiye shujaaa wetu wa WIKI HII..au vipi?

dahhh hata sijui tumpe kombe au vipi tena
lakini kaiweka TZ kwenye mtandao naona tumpe
tu au wasemaje??


Baadae si aliuwa na hao viboko....kujifanya anaenda destination ya pili via migongo ya wengine.

hahahahahah lol
ulivyosema ni kama unamfananisha na
wanasiasa fulani wa TZ



Huyo mamba alikuwa anatafuta umaarufu wa bure wakati anaona wakuu wametulia

siasa tena ..lolz
alijaribu bahati yake lakini ..
wazee wakamzidi kete..



Mamba mchokozi, kapata alichokua anatafuta. Nice pics thanks.

duhhh huyu mamba naona kawaingia wengi..
asantee... 🙂


Shujaa wa wiki ameuwawa

sjiu niseme bahati mbaya au nzuri..??


..No way. huyo mamba aliingia choo cha kike lazima hao viboko walimbadirikia.

hawakubakiza kitu ...
 
huyo mamba hana tofauti na magamba..........ndio maana ana magamba.....ni tabia za kimagamba....
Ila picha ni nzuri.......thanks Afro.....

hahahahahahah lohhh
nimekosa la kujibu
sante kwa kunichekesha lohhh
 

Hii nimeipenda zaidi, inankumbusha nikiwa Monduli miaka hiyo.

Asante kwa picha Afrodenzi, zote nzuri.
 
10q AD.....especially hiyo ya construction na mamba/viboko...
 
Hii nimeipenda zaidi, inankumbusha nikiwa Monduli miaka hiyo.

Asante kwa picha Afrodenzi, zote nzuri.

Hata we ulikanyaga Jeshi mkuu..

Anyway
asante sana kwa comment yako..
 
10q AD.....especially hiyo ya construction na mamba/viboko...

Hahaha! imekugusa mkuu, ila weye huyawezi aya, na valuer unazogonga daily, mbn kwishney siku moja tu..lmao.


Hata we ulikanyaga Jeshi mkuu..

Anyway
asante sana kwa comment yako..

Yep, by default AD...long time kitambo kdg lakini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…