soonAmbaye hajamletea babu mahari
labda ataje ng'ombe wangapi au kiasi ganiBabu anataka mahari
Kwanza uniambie ulichompendea afu unambie hali yake kwenye wallet ikoje... maana kuna haka kaghorofa nakokajenga kwa pesa za kustaafu naona kamefikia kwenye lenta wakati akaunti ishaanza kukondaBabu, sasa sema kile unataka upewe hujasema unataka nn, ongea basi mana me mume namtaka
Hahaha babu hiyo s personal sasa? Me sjampenda pesa bwana japo alhamdulillah s haba anazo ananifanya nijione mwanamke ananifanya nijione nimekamilika ni vingi anafanya babuKwanza uniambie ulichompendea afu unambie hali yake kwenye wallet ikoje... maana kuna haka kaghorofa nakokajenga kwa pesa za kustaafu naona kamefikia kwenye lenta wakati akaunti ishaanza kukonda
Kwahiyo kwa kifupi mmeshatenda dhambi?Hahaha babu hiyo s personal sasa? Me sjampenda pesa bwana japo alhamdulillah s haba anazo ananifanya nijione mwanamke ananifanya nijione nimekamilika ni vingi anafanya babu
Maana sio kwa kumfagilia hivyo wakati mimi na bibi yako tunaamini utepe bado haujakatwa. Isije ikawa ulikuwa unatutoroka.Hahahahhahahaha Mungu wangu hapana babu ila kwa nn jamani hahahahhah aisee
Kwa nn nikuongopee babu, hatujafanya dhambi wallah vile yan had namuona wa tofautMaana sio kwa kumfagilia hivyo wakati mimi na bibi yako tunaamini utepe bado haujakatwa. Isije ikawa ulikuwa unatutoroka.
Thamani ya mahari inazingatia hilo...