This is the other side of Dubai

This is the other side of Dubai

Mbaya saana mzee, wakati mwingine mafanikio huja baada ya kurisk!
Aisee!Kuna nchi sababu ni za msingi kama syria au hata eritrea au dprk mkono wa chuma wa watawala ndo unazalisha wakimbizi lakini hizi nyingine kweli marisk taker.
 
Hao sio warabu, Ni wafanyakazi toka India Na nchi nyinginezo za Asia
 
wamedakwa chanzo itv raia wa ethiopia wanatia huruma ila ndo hivyo wahamiaji haramu ndo wanavoitwa ila hivi tukiwaruhusu wapite kimya kimya manake hawa ni on transit jumuiya ya kimataifa itaruka na sisi tuongeze matukio zaidi ya lile za zanzibar.
raia30.jpg
 
Sio kweli hiyo kuhusu Dubai huo ni uzushi wa ajabu
 
Halafu mkuu jaribu kujua lugha na maana zake expatriates ni mfanya kazi mgeni tena aliyebobea katika fani flani na huwa wanaombwa na taifa au wanakuja kwa shughuli maalum pia ni wasomi haswaaa wanatambulika na nchi zao na wanaheshima yao katika nchi husika wanayoifanyia kazi
m mwenyewe kuna jamaa amenipa dili la kwenda dubai kufanya kazi za ICT.....anadai ukifanya kazi miaka miwili tu ukirudi umaskini bai bai.........nilipoona hizo picha nimeghairi siendi tena nakomaa hapahapa bongo.......dubai ntaenda kutalii sio kufanya kazi
 
[h=3]
[/h]
Expatriates working in Dubai below the salary range AED 500 end up living within the accommodations like this, if the company accommodation is not provided. May God Bless them all to find the work in their own country. Rather than come here and suffer in this plight …These are actual shots taken in Al Quoz Area – Dubai.


Mkuu hio style ya "pay as u go" ipo sehemu nyingi.
Kariakoo mtaa wa congo wenye nyumba wengi walikua wanawalipisha wamachinga tsh.200 kwa kichwa kulala varandani. Wanakua kama watu 20 hvi. Asubuhi wanasepa zao.
London pia kuna landlords wanawalaza wahindi kibao kwa basement kwa £10 per night.

Haya mambo ya kusave hatari sana.
 
Naomba unitajie nchi 5,
Ambazo hazina watu wanaoishi katika mazingira magumu.
Hayo sio mazingira magumu.....huo ni unyanyasaji, hata wakimbizi UK,Sweden,Denmark hawaishi hivyo....kumbe ndio maana wanakimbiliaga Ulaya badala ya Uarabuni!
 
Ndio maana mkaka mmoja aliondoka huko akaja kufanya kazi ya 1.5m bongo. Sikumuelewaga aisee
 
Hayo sio mazingira magumu.....huo ni unyanyasaji, hata wakimbizi UK,Sweden,Denmark hawaishi hivyo....kumbe ndio maana wanakimbiliaga Ulaya badala ya Uarabuni!

Wamenyanyaswa na nani wkt serikali haitambui uwepo wao,
Nataka unitajie nchi 5 ambazo hakuna watu wanaoishi kwa mazingira magumu,

Unazungumzia wakimbizi wkt hao wanajulikana mpk idadi zao.
 
Siwezi kataa mada ila inategemea unaenda Dubai kwa kazi gani binafsi nawajua watu pia namjua mtu wangu was karibu ambaye anaganya kazi huku Dubai katika mall maisha yake ni mazuri hakuna mfano ndani ya miezi mitatu amepewa gari pia anaishi katika apartment akiwa roommates wenzake na analipwa vizuri tu ,mwingine yupo katika oil industry yeye Naye Yuki vizuri zaidi sasa hawa sijui imekuwaje ,hata Mimi Nina mpango wa kwenda huko mwaka huu coz tayari Nina contacts
Jamaa wamekwenda kwaajiri ya ujenzi wa viwanja vya mpira 2020 Dubai wanatoka Bangladesh na Nepal ndio wengi na india
 
Back
Top Bottom