This is "st joseph university in tanzania"-tuache kushabikia ujinga watanzania wenzangu"

NIMEKIMBIA CCM

Senior Member
Oct 4, 2011
193
26
JAMANI WATANZANIA WENZANGU NAJUA WENYE UPEO MDOGO HUZANI HIKI CHUO KIONATESA WANAFUNZI ILA NIMEFANYA UCHUNGUZI NA KUBAINI YAFUATAYO KATIKA CHUO HIKI
-NI CHUO NAMBA MOJA TANZANIA AMBACHO WANAFUNZI NA WAAADHILI WAKE WAKO MORE SERIOUSLY COMPARE TO OTHERS,RUSHA YA NGONO,PESA,MADESA HAYANA NAFASI PALE
-THEY PRODUCE NOT ONLY ENGINEER BUT DISPLINATORY ENGINEER(wajinga wanasema wananyanyaswa0
-their good in practically and theoretically tena kwenye it ndo huwapati kabisa
HII NDIO JINSI WANAVOBANA WANAFUNZI WAO
-ASSIGMENT 80 YTO EACH STUDENT AND 10 TO EACH SUBJECT
-WANA MITIHANI 32 TO EACH SEMEASTER
-WANA ZAIDI YA PRACTICAL 20 TO EACH RESPECTVE SUBJECT
-WANA MTIHANI WA ORAL TOFAUTI NA VYUO VINGINE

SASA KUNA WALE WANAOKISEMAGA HIKI CHUO NI KIBAYA NIAMBIENI UBAYA WAKE UKO WAPI HAPO,NINAVOANDIKA HII NI KWAMBA WAO BADO WAKO CHUONI INGAWA VYUO VYOTE VIMEFUNGWA DUE TO COMPETANCE SYLABUS
WATANZANI TUJIFUNZE KWA HAWA WENZETU;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;MIAKA MITATU HIKI CHUO KITATISAHA TANZANIA NZIMA,WAKATI VYUO VYETU VINAZIDIKUPOROMOKA
 
Mimi naungana na wewe...jamaa zangu wawil wako pale(wanachukua civil) mpaka today wapo chuo..to be honest weng wana kiponda ila kwa ukwel(jamaa zangu wanavyosema) kiko poa saaaana!! Ifikie sehem tuache ushabiki wa kijinga na kwenye ukwel tuseme ukwel...
 
JAMANI WATANZANIA WENZANGU NAJUA WENYE UPEO MDOGO HUZANI HIKI CHUO KIONATESA WANAFUNZI ILA NIMEFANYA UCHUNGUZI NA KUBAINI YAFUATAYO KATIKA CHUO HIKI
-NI CHUO NAMBA MOJA TANZANIA AMBACHO WANAFUNZI NA WAAADHILI WAKE WAKO MORE SERIOUSLY COMPARE TO OTHERS,RUSHA YA NGONO,PESA,MADESA HAYANA NAFASI PALE
-THEY PRODUCE NOT ONLY ENGINEER BUT DISPLINATORY ENGINEER(wajinga wanasema wananyanyaswa0
-their good in practically and theoretically tena kwenye it ndo huwapati kabisa
HII NDIO JINSI WANAVOBANA WANAFUNZI WAO
-ASSIGMENT 80 YTO EACH STUDENT AND 10 TO EACH SUBJECT
-WANA MITIHANI 32 TO EACH SEMEASTER
-WANA ZAIDI YA PRACTICAL 20 TO EACH RESPECTVE SUBJECT
-WANA MTIHANI WA ORAL TOFAUTI NA VYUO VINGINE

SASA KUNA WALE WANAOKISEMAGA HIKI CHUO NI KIBAYA NIAMBIENI UBAYA WAKE UKO WAPI HAPO,NINAVOANDIKA HII NI KWAMBA WAO BADO WAKO CHUONI INGAWA VYUO VYOTE VIMEFUNGWA DUE TO COMPETANCE SYLABUS
WATANZANI TUJIFUNZE KWA HAWA WENZETU;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;MIAKA MITATU HIKI CHUO KITATISAHA TANZANIA NZIMA,WAKATI VYUO VYETU VINAZIDIKUPOROMOKA

Na wewe ndio unaongoza kwa kuongea na kuandika kiingereza fasaha:rant::rant::rant:
 
Kama wewe mwenyewe ni zao au mwanafunzi wa pale, kwa hakika wanahitaji sana kuboresha idara yao ya communication skills!
 
endapo ni kizuri, mm kwangu nashukuru kwani kitatoa fursa kwa watanzania wengi kusoma na kupata ujuzi wanaoutaka
 
Huo utafiti wako umetumia njia zipi ktk kulinganisha ubora wa elimu. Ubora wa Elimu si kukaa darasani muda mrefu.
 
ila kiukweli mi mwenyewe kuna watu nawafaham wametoka hapo wapo vzr!
Tuache usha
Biki wapo vzr
 
Kiukweli me mwenyewe nasikia sifa nyingi mbaya kuliko sifa nzuri za hiki chuo cha St. joseph's university,sijui kwa nini...!
 
JAMANI WATANZANIA WENZANGU NAJUA WENYE UPEO MDOGO HUZANI HIKI CHUO KIONATESA WANAFUNZI ILA NIMEFANYA UCHUNGUZI NA KUBAINI YAFUATAYO KATIKA CHUO HIKI
-NI CHUO NAMBA MOJA TANZANIA AMBACHO WANAFUNZI NA WAAADHILI WAKE WAKO MORE SERIOUSLY COMPARE TO OTHERS,RUSHA YA NGONO,PESA,MADESA HAYANA NAFASI PALE
-THEY PRODUCE NOT ONLY ENGINEER BUT DISPLINATORY ENGINEER(wajinga wanasema wananyanyaswa0
-their good in practically and theoretically tena kwenye it ndo huwapati kabisa
HII NDIO JINSI WANAVOBANA WANAFUNZI WAO
-ASSIGMENT 80 YTO EACH STUDENT AND 10 TO EACH SUBJECT
-WANA MITIHANI 32 TO EACH SEMEASTER
-WANA ZAIDI YA PRACTICAL 20 TO EACH RESPECTVE SUBJECT
-WANA MTIHANI WA ORAL TOFAUTI NA VYUO VINGINE

SASA KUNA WALE WANAOKISEMAGA HIKI CHUO NI KIBAYA NIAMBIENI UBAYA WAKE UKO WAPI HAPO,NINAVOANDIKA HII NI KWAMBA WAO BADO WAKO CHUONI INGAWA VYUO VYOTE VIMEFUNGWA DUE TO COMPETANCE SYLABUS
WATANZANI TUJIFUNZE KWA HAWA WENZETU;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;MIAKA MITATU HIKI CHUO KITATISAHA TANZANIA NZIMA,WAKATI VYUO VYETU VINAZIDIKUPOROMOKA

mwandiko wa muhindi mm naujua,,,we utakuwa unawatetea wahindi wenzio!
 
Acheni siasa ongeeni. reality ST JOSEPH is the best University.Expecially in Technoloy in Tanzania.me..nipo..sokoni..I..know..it!
 
JAMANI WATANZANIA WENZANGU NAJUA WENYE UPEO MDOGO HUZANI HIKI CHUO KIONATESA WANAFUNZI ILA NIMEFANYA UCHUNGUZI NA KUBAINI YAFUATAYO KATIKA CHUO HIKI
-NI CHUO NAMBA MOJA TANZANIA AMBACHO WANAFUNZI NA WAAADHILI WAKE WAKO MORE SERIOUSLY COMPARE TO OTHERS,RUSHA YA NGONO,PESA,MADESA HAYANA NAFASI PALE
-THEY PRODUCE NOT ONLY ENGINEER BUT DISPLINATORY ENGINEER(wajinga wanasema wananyanyaswa0
-their good in practically and theoretically tena kwenye it ndo huwapati kabisa
HII NDIO JINSI WANAVOBANA WANAFUNZI WAO
-ASSIGMENT 80 YTO EACH STUDENT AND 10 TO EACH SUBJECT
-WANA MITIHANI 32 TO EACH SEMEASTER
-WANA ZAIDI YA PRACTICAL 20 TO EACH RESPECTVE SUBJECT
-WANA MTIHANI WA ORAL TOFAUTI NA VYUO VINGINE

SASA KUNA WALE WANAOKISEMAGA HIKI CHUO NI KIBAYA NIAMBIENI UBAYA WAKE UKO WAPI HAPO,NINAVOANDIKA HII NI KWAMBA WAO BADO WAKO CHUONI INGAWA VYUO VYOTE VIMEFUNGWA DUE TO COMPETANCE SYLABUS
WATANZANI TUJIFUNZE KWA HAWA WENZETU;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;MIAKA MITATU HIKI CHUO KITATISAHA TANZANIA NZIMA,WAKATI VYUO VYETU VINAZIDIKUPOROMOKA

Yaani kwa hii analysis yako si rahisi kunishawishi kwamba product ya hicho chuo ni wazuri kiasi hicho kama unavyotaka jamii iamini. Siyo kweli napingana na ubora wake, lkn nikisoma andiko lako kwa makini nahisi harufu fulani ya strategic marketing kwa ajili ya chuo chenu. Si ajabu umelipwa kwa ajili ya kazi hiyo ili kuweza kuonyesha reputation ya chuo katika jamii. Ni nani aliyewadanganya kwamba ubora wa elimu unatokana na kukaa darasani muda mrefu? na nani kasema kwamba kufanya mitihani mingi inaonyesha ubora wa elimu? Katika hali ya kawaida, kuwa na mitihani, tests na assignment nyingi ndani ya muda mfupi huchangia kwa kiasi kikubwa sana wanafunzi kufikiria cheating na kukariri masomo na si kuelewa.

Nawafahamu baadhi ya waalimu wa hicho chuo, ni kweli wanarequired qualifications, lkn shida kubwa waliyonayo ni kukosa motive ya kufanya kazi kwa ufasaha kwasababu hao wahindi malipo yao yako chini sana kulinganisha na vyuo vingine hapa Tanzania. Hivyo, baadhi yao wakipata sehemu nzuri wanaondoka, kwani ni nani mwenye uwezo anayeweza kuvumilia kuvuja jasho halafu malipo kiduchu?

Hatahivyo, ni bora uwe na kitu kilichoshiba hasa unapotaka kufanya marketing kwenye media, kwani unaposema research ndiyo imekupa majibu hayo, mtu makini atakuona wewe ni muongo. Nasema hivyo kwasababu wewe mwenyewe ni mwanafunzi na hadi sasa bado mko chuoni, je hiyo research yako ilihusu chuo chako na vyuo gani? na kwanini unahitimisha kwamba chuo chako ni bora kuliko vingine tofauti na tafauti zinazofanywa na international agency? ni lazima uwe na strong point kwa ajili ya kujustify findings zako. Otherwise, utaonekana huelewi nini maana ya tafiti na mwisho wa siku hata zile report mnazoandika baada ya practical training mnaziita publications kama baadhi ya wabunge wetu.

TELO.
 
JAMANI WATANZANIA WENZANGU NAJUA WENYE UPEO MDOGO HUZANI HIKI CHUO KIONATESA WANAFUNZI ILA NIMEFANYA UCHUNGUZI NA KUBAINI YAFUATAYO KATIKA CHUO HIKI
-NI CHUO NAMBA MOJA TANZANIA AMBACHO WANAFUNZI NA WAAADHILI WAKE WAKO MORE SERIOUSLY COMPARE TO OTHERS,RUSHA YA NGONO,PESA,MADESA HAYANA NAFASI PALE
-THEY PRODUCE NOT ONLY ENGINEER BUT DISPLINATORY ENGINEER(wajinga wanasema wananyanyaswa0
-their good in practically and theoretically tena kwenye it ndo huwapati kabisa
HII NDIO JINSI WANAVOBANA WANAFUNZI WAO
-ASSIGMENT 80 YTO EACH STUDENT AND 10 TO EACH SUBJECT
-WANA MITIHANI 32 TO EACH SEMEASTER
-WANA ZAIDI YA PRACTICAL 20 TO EACH RESPECTVE SUBJECT
-WANA MTIHANI WA ORAL TOFAUTI NA VYUO VINGINE

SASA KUNA WALE WANAOKISEMAGA HIKI CHUO NI KIBAYA NIAMBIENI UBAYA WAKE UKO WAPI HAPO,NINAVOANDIKA HII NI KWAMBA WAO BADO WAKO CHUONI INGAWA VYUO VYOTE VIMEFUNGWA DUE TO COMPETANCE SYLABUS
WATANZANI TUJIFUNZE KWA HAWA WENZETU;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;MIAKA MITATU HIKI CHUO KITATISAHA TANZANIA NZIMA,WAKATI VYUO VYETU VINAZIDIKUPOROMOKA

aiseeee... kweli kama mambo yenyewe ndo haya(in red), hiki chuo ni nooma..
 
Ni muda muafaka sasa kwa St Joseph kuhakikisha wanachukua vipanga wengi ili kuondoa dhana ya kwamba wanachukuwa wanafunzi ambao hawakubahatika kwenda UDSM (Coet or Coict)
 
Back
Top Bottom