Vzur sana mkuu, nashukuru kuona kua kuna watu wanaotambua umuhimu wa haya niliyoyasemaTuna tatizo la zaidi ya lugha, kwa sababu wengi kati ya hao wasomi hata Kiswahili hawawezi kujieleza kwa ufasaha. Mpaka viongozi wetu.
Ukienda kwenye Kiingereza ndiyo janga la taifa. Na kama ni mtu ambaye maisha yako hayahusiani na matumizi ya Kiingereza, labda hili linaweza kuwa si muhimu, lakini kama umesoma angalau kwenye shule za sekondari basi ni muhimu.
Nakumbuka tulivyokuwa sekondari Tambaza tulikuwa tunazungumza Kiingereza hata nje ya darasa kwa nia ya kujifunza, wengine waliona ubishoo. Leo nimekuja kugundua kwamba ule utashi wa kusoma vitabu vya Kiingereza na kuzungumza lugha hiyo umenisaidia sana katika kazi zangu za kimataifa.
Leo hii Mtanzania akiandika Kiingereza cha "The Economist", "The New York Times" au "The Wall Street Journal" (publications I subscribe to) anaonekana anaandika lugha ya ajabu.
Naomb uongee mkuu tafadhali. It will make an emphasis and maybe, they will be able to learn a thing or twoNdugu zangu mnaompinga mtoa hoja nadhani hamjamuelewa vizuri. Sijui kama mnaelewa maana nzuri ya formal language..
I like your thinking. The feeling is mutualMe nashangaa wabongo wanaofananisha wasomi wa kitanzania na kichina.
Wenzenu wanasoma kwa kichina hadi chuo.
Msomi wa Kitanzania asiyejua kujielezea kwa kiingereza ni aibu.
People around you affect you a lot too. My command of the English language has been greatly diminished. If it weren't for books I'd have completely forgotten this language by now.
China ina watu bilioni 1.4, mara 28 ya Tanzania. Ndiyo nchi ya kwanza kwa watu wengi duniani. Ni uchumi wa pili kwa ukubwa duniani.Me nashangaa wabongo wanaofananisha wasomi wa kitanzania na kichina.
Wenzenu wanasoma kwa kichina hadi chuo.
Msomi wa Kitanzania asiyejua kujielezea kwa kiingereza ni aibu.
People around you affect you a lot too. My command of the English language has been greatly diminished. If it weren't for books I'd have completely forgotten this language by now.
China is the world's largest and second super power. It's economic worth can only be challenged by the US. Thus china has the economic wealth and an ego to match, they even make it mandatory for foreigners to study their language ( Chinese ) in their universities. They make their own rules, so if you want to trade with chinese, you will have to play by their rules.China ina watu bilioni 1.4, mara 28 ya Tanzania. Ndiyo nchi ya kwanza kwa watu wengi duniani. Ni uchumi wa pili kwa ukubwa duniani.
In 2014 China had a GDP of $10.36 trillion, we couldn't even touch $50 billion, having bagged $49.18 bn.
Halafu mtu anataka kufananisha Tanzania na China.
Morning everyone. Hope all is well with you
Naskitika sana kuona vijana wasomi wa vyuo vikuu hawawezi hata kujieleza au kuongea kiingereza kilichonyooka. Na hii inatoka na mtindo wa maisha ( life style) zao. Unakuta mtu anafatilia cheap materials mda wote. Yaani vipindi anavyofatilia au magazines anazosoma hazimjengi hata kidogo.
Matokeo yake sasa, akiandika status kama ni Facebook au WhatsApp yaani ni mvurugano tu wa tense na grammar. Wakati mwingine unashindwa hata kuelewa alikua anamaana gani.
Jamani maisha ni malengo na hayaishii kwenye kutaka kua na kazi nzuri tu, kua na uwezo wa kutunza familia nk, hapana. Msomi inabidi uwe na uwezo wa kuongea lugha nzuri ( formal language) ukipewa nafasi kama ni kwenye interview, kazini, chombo cha habari nk. Hauwezi fahamu lugha rasmi kama haufatilii vitu vya msingi kama, international news, reading newspapers, reading novels, watch documentaries nk. Ukiendelea kufatilia vi-drama series trust me, you will get no where with your career.
Na nnaomba nieleweke vzur, maisha sio vita. Simaanishi kua tuwe tunasoma habari mda wote, tuwe tunasoma magezeti mda wote hapana, namaanisha tuwe na mda wa entertainment, kufatilia izo drama, cartoons nk, lakini pia tuwe na mda wa kufatilia vitu vya msingi.
Bahati mbaya sana ni kwamba, entertainments in most cases zinatumia informal languages ambazo hazikujengi kujifunza formal language. Sasa informal language hauwez kuitumia kwenye mazingira maalumu. Kuna faida nyingi sana za kujua formal language. Mfano, itakusaidia kupata ufahamu wa mambo ya msingi ( it will increase your knowledge ) kwasababu informal language inatumika kwenye mambo ya msingi kama habari, magazetini, vipindi maalumu nk
Ukijua formal language, unaweza shangaa unapata kazi na kuwaacha hata wale wenye GPA kubwaaa nk. Unaweza pewa kazi ya kuandika report au chochote tu kwenye mazingira ya kazi alfu ukashangaa kutoka a na uhandishi wako mzuri ukapanda cheo, au ukapata faida flani ivi kutokana na utendaji wako mzuri wa kazi. Ukiwa masomi inabidi uwe na malengo ya kuweza kutetea usomi wako, kuidhihirishia jamii kua wewe ni mtu unayeishi kuendana na matukio yote na mabadiriko ya dunia.
In the end, we are what we feed ourselves with. Ukiwa mfatiliaji wa cheap materials basi eventually utakua na cheap ideas, lugha yako, unavhojieleza na mitazamo yako kwenye mambo mbali mbali itashuhudia yote ayo, na ukiwekwa na mtu anayefatilia mambo ya msingi, truth be told tofauti yenu itaonekana bira kipingamizi.
Nawatakia asubuhi njema
We acha tu mkuu. Ni shida sana99% yao ni wahitimu wa Chuo Kikuu Dar, kweli inasikitisha.
Nashukuru sana mkuu. Tupo pamojaMabadiriko=Mabadiliko
Bira=Bila
Sorry mkuu sina nia kukukosoa nimeona tu kuitendea haki lugha yangu,pia wakati tunajifunza kiingereza tusisahau kujipiga msasa kwenye lugha yetu ya Taifa.
You nailed it. You scored a bull's eye on the target. Kudos to youKweli mkuu, zamani walisema kingereza sio lugha yetu ndio maana watu wanakosea. Ajabu ni kwamba ukifuatilia mabandiko ya watu wengi katika mitandao ya kijamii ama mahojiano katika radio na televisheni, mpangilio,maneno na usahihi wa kisarufi wa kiswahili chetu unatia kinyaa! Mwishowe unakuja kugundua tatizo sio lugha,tatizo ni ufahamu! Watu wengi hawataki kukiri ukweli huu. Ni ajabu sana unakuta mtu ana elimu kubwa ila si mahiri kama vyeti vyake vinavyoaminisha. Tatizo, kucha kuchwa tunajilisha visivyo vya manufaa toka mitandao,televisheni na radio! Kutwa tunafuatilia burudani (kwakua zinafurahisha) ila hazijengi ufahamu wetu na kuongeza umahiri wetu kimtizamo,kitaaluma.
Shime ndugu zangu, tujibidiishe. Mwambie muhitimu wa chuo kikuu chochote Tanzania, atunge na kuandika habari moja kwa lungha mbili tunazofundishia: Ukurasa mmoja kwa Kiswahili na Ukurasa wa Pili kwa kingereza! Nina uhakika asilimia tisini na tano kutakua na makosa ya kuogofya!
Lakini hatupendi kuambiwa ukweli,tunajificha nyuma ya sifa ya uongo
Niishie hapa kwa sasa!
Na wewe unawapotosha watu..unataka wale ambao si wa chuo kikuu cha Dar wajione wote wapo vizuri au mahiri...hii ni changamoto imetolewa kwa wasomi wote kwa hiyo wahamasishe watu watafakari na kuchukua hatua.99% yao ni wahitimu wa Chuo Kikuu Dar, kweli inasikitisha.
Ningekuwa na uwezo wa kubonyeza like 500 ivi, zingekuhusu.Mabadiriko=Mabadiliko
Bira=Bila
Sorry mkuu sina nia kukukosoa nimeona tu kuitendea haki lugha yangu,pia wakati tunajifunza kiingereza tusisahau kujipiga msasa kwenye lugha yetu ya Taifa.
Mahojiano mbali kote huko. Msomi akikuandikia ujumbe wa simu (arafa), ni kichekeshoKweli mkuu, zamani walisema kingereza sio lugha yetu ndio maana watu wanakosea. Ajabu ni kwamba ukifuatilia mabandiko ya watu wengi katika mitandao ya kijamii ama mahojiano katika radio na televisheni, mpangilio,maneno na usahihi wa kisarufi wa kiswahili chetu unatia kinyaa! Mwishowe unakuja kugundua tatizo sio lugha,tatizo ni ufahamu! Watu wengi hawataki kukiri ukweli huu. Ni ajabu sana unakuta mtu ana elimu kubwa ila si mahiri kama vyeti vyake vinavyoaminisha. Tatizo, kucha kuchwa tunajilisha visivyo vya manufaa toka mitandao,televisheni na radio! Kutwa tunafuatilia burudani (kwakua zinafurahisha) ila hazijengi ufahamu wetu na kuongeza umahiri wetu kimtizamo,kitaaluma.
Shime ndugu zangu, tujibidiishe. Mwambie muhitimu wa chuo kikuu chochote Tanzania, atunge na kuandika habari moja kwa lungha mbili tunazofundishia: Ukurasa mmoja kwa Kiswahili na Ukurasa wa Pili kwa kingereza! Nina uhakika asilimia tisini na tano kutakua na makosa ya kuogofya!
Lakini hatupendi kuambiwa ukweli,tunajificha nyuma ya sifa ya uongo
Niishie hapa kwa sasa!
Nimesoma uzi wako mpaka uliposema WASOMI KISHA UKAUNGANISHA NA KIINGEREZA KILICHONYOOKA, nimetambua kuwa kwako usomi ni kiingereza kilichonyooka!Morning everyone. Hope all is well with you
Naskitika sana kuona vijana wasomi wa vyuo vikuu hawawezi hata kujieleza au kuongea kiingereza kilichonyooka. Na hii inatoka na mtindo wa maisha ( life style) zao. Unakuta mtu anafatilia cheap materials mda wote. Yaani vipindi anavyofatilia au magazines anazosoma hazimjengi hata kidogo.
Matokeo yake sasa, akiandika status kama ni Facebook au WhatsApp yaani ni mvurugano tu wa tense na grammar. Wakati mwingine unashindwa hata kuelewa alikua anamaana gani.
Jamani maisha ni malengo na hayaishii kwenye kutaka kua na kazi nzuri tu, kua na uwezo wa kutunza familia nk, hapana. Msomi inabidi uwe na uwezo wa kuongea lugha nzuri ( formal language) ukipewa nafasi kama ni kwenye interview, kazini, chombo cha habari nk. Hauwezi fahamu lugha rasmi kama haufatilii vitu vya msingi kama, international news, reading newspapers, reading novels, watch documentaries nk. Ukiendelea kufatilia vi-drama series trust me, you will get no where with your career.
Na nnaomba nieleweke vzur, maisha sio vita. Simaanishi kua tuwe tunasoma habari mda wote, tuwe tunasoma magezeti mda wote hapana, namaanisha tuwe na mda wa entertainment, kufatilia izo drama, cartoons nk, lakini pia tuwe na mda wa kufatilia vitu vya msingi.
Bahati mbaya sana ni kwamba, entertainments in most cases zinatumia informal languages ambazo hazikujengi kujifunza formal language. Sasa informal language hauwez kuitumia kwenye mazingira maalumu. Kuna faida nyingi sana za kujua formal language. Mfano, itakusaidia kupata ufahamu wa mambo ya msingi ( it will increase your knowledge ) kwasababu informal language inatumika kwenye mambo ya msingi kama habari, magazetini, vipindi maalumu nk
Ukijua formal language, unaweza shangaa unapata kazi na kuwaacha hata wale wenye GPA kubwaaa nk. Unaweza pewa kazi ya kuandika report au chochote tu kwenye mazingira ya kazi alfu ukashangaa kutoka a na uhandishi wako mzuri ukapanda cheo, au ukapata faida flani ivi kutokana na utendaji wako mzuri wa kazi. Ukiwa masomi inabidi uwe na malengo ya kuweza kutetea usomi wako, kuidhihirishia jamii kua wewe ni mtu unayeishi kuendana na matukio yote na mabadiriko ya dunia.
In the end, we are what we feed ourselves with. Ukiwa mfatiliaji wa cheap materials basi eventually utakua na cheap ideas, lugha yako, unavhojieleza na mitazamo yako kwenye mambo mbali mbali itashuhudia yote ayo, na ukiwekwa na mtu anayefatilia mambo ya msingi, truth be told tofauti yenu itaonekana bira kipingamizi.
Nawatakia asubuhi njema
Mtu mwenye akili finyu na uelewa mdogo wa mambo utamjua, badala ya kujadili hoja kuu na ya msingi, anatumia mda wake kutafuta makosa madogo madogo.Ningekuwa na uwezo wa kubonyeza like 500 ivi, zingekuhusu.