This is India. You are all welcome

kwanza nasikia hawa walioko huku uko kwao ndo masikini wakutupa hawaruhusiwi kufanya biashara yeyote kubwa kuingia kwenye siasa wala kujichanganya na jamii yeyote ambayo ni wealthy wanaoana wenyewe
so wakiwa huku kwetu wanaona kama wako dunia nyingine kila kitu ruksa chezea tz weye
 
umasikini walionao unachangiwa na idadi kubwa ya watu na rushwa.
 
Wazuri kichizi, lainiiiii, hawajakakaa kwa kuwa mitulinga ya wahindi haina nguvu kama midude yetu inayokaribia saiz ya punda


hahahaaah Bujibuji unasifia urembo wao kama samaki wa kupaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…