adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,477
- 4,270
Serikali imewarudisha wahamiaji haramu toka Ethiopia kwa ndege kwa gharama za serikali ya Tanzania. Maswali ya kujiuliza Je! Hizi fedha zinatoka ktk fungu gani?? Je nani anahusika na uingizaji wahamiaji haramu? Je anatimiza majukumu yake? Je mipaka yetu ni salama? Msinipe majibu.. Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Afrika
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums