Kasi ya maendeleo na miundo mbinu ni kubwa ili kugeuza manispaa ya Dodoma kuwa jiji.Mbona work is in progress.Ukarabati wa airport ya Dodoma upo mbioni ili itue ndege kubwa.Ujenzi wa barabara kuunganisha Arusha na Iringa kupitia Dodoma kiwango cha rami upo mbioni.Ujenzi wa reli ya kati kwa standard gauge nayo reli inapitia Dodoma.Jengo la Bunge limeishamalizika na linatumika,Vipo Vyuo vikuu viwili,na shule za msingi hadi sekondari za kumwndioMakao makuu ya idara ya madini.Mkuu Dodoma haikwepeki tupende tusipende
Moja ya sababu kuu ya kuhamia serikali Dodoma ni Usalama na pili ni katikati ya nchi yetu...hata mimi nimejiuliza kama kuhamia dodoma ni muhimu kuliko masuala kama ujenzi wa viwanda nchi nzima, kuboresha na kupanua sekta ya utalii, usambazaji umeme vijijini, etc etc.
Wizara ipi haina ofisi Dodoma [emoji780]Wangeanza na wizara hata tano kwanza,kisha tuone kunaendaje.
Hao walijifunza Dodoma (CDA) na waliporudi kwao wakafanyia kazi kuhama Lagos kwenda Abuja.The Nigerians moved from Lagos to Abuja, why can't we?
I support JPM on this!
Unauliza usalama wa nani [emoji780]Usalama wa nani?
Tusifu tu? Huoni kukurupuka kwa mh? Je hili jambo limemjia tu kichwani ghafla au lipo kwenye mipango? Kuhamia saws lzkini kwa mikakati inayoeleweka!Walikuwa wanaisema serikali kwa kushindwa kuamia Dodoma, leo hao hao wanapinga serikali kuamia dodoma. Inashangaza sana.
Kwani miaka yote tangu uhuru ikulu nacserijali imekuwa Dar mbona hakujawahi kutokea tishio la usalama? Huo usalama uliopo ddm unatokana na nini?Unauliza usalama wa nani [emoji780]
Sawa [emoji779] Ni usalama wa taifa letu na Rais pamoja na wasaidizi wake wakuu wa
nchi.
Napongeza uamuzi sahihi wa kuhamia ikulu ya kisasa na salama zaidi pale Chamwino
Dodoma
Hata kuishi kwako duniani siyo sustainable!Hii ni article moja yenye sababu za kitaalsmu kwa nini dodoma capital project has proved a failure. It is a fantastic article worth spending your precious time to read! Mtaona jinsi mipango yetu ilivyo disconnected from uhalisia wa mazingira yetu!
Happy reading!
The burden of being planned. How African cities can learn from experiments (...) - INTI - International New Town Institute
Mbona hakuna kitu hiyoo atiko iko wapiHii ni article moja yenye sababu za kitaalsmu kwa nini dodoma capital project has proved a failure. It is a fantastic article worth spending your precious time to read! Mtaona jinsi mipango yetu ilivyo disconnected from uhalisia wa mazingira yetu!
Happy reading!
The burden of being planned. How African cities can learn from experiments (...) - INTI - International New Town Institute
KUPANGA NI KUCHAGUA! Hili limekuwa ndani ya mipango tangu enzi za Baba wa Taifa. It is high time likatekelezwa. Tanzania tulianza mpango huu wa kuhamisha makao makuu. Wakati huo huo Nigeria nao waliona umuhimu wa kufanya Lagos ubaki kuwa mji wa biashara na Abuja pawe mji wa shughuli za kiserikali. Wataalam wao walikuja kujifunza toka CDA yetu wakaenda wakafanya kazi Abuja ukawa mji wa serikali na mambo yanaenda vzr.Tatizo letu Watanzania ni kujifanya wajuaji wa ku-google mitandaoni kutafuta habari zilizoandikwa na wengine badala ya kuangalia hali halisi ya mahitaji yetu.Hivi hili lipo katika mpango wa taifa wa miaka mitano?
Hao walijifunza Dodoma (CDA) na waliporudi kwao wakafanyia kazi kuhama Lagos kwenda Abuja.
Kwani miaka yote tangu uhuru ikulu nacserijali imekuwa Dar mbona hakujawahi kutokea tishio la usalama? Huo usalama uliopo ddm unatokana na nini?
Watanzania tuna matatizo sana na kibaya zaidi hatujijui kama tuna matatizo.Wananchi bana walikuwa wanalalamika serikali ihamie Dodoma,leo wanaigeuka serikali baada ya kutangaza kuhamia Dodoma.