Wewe ni Mzanzibari unayejifanya Mtanzania Bara na ili ionekane kwamba "pande zote mbili" kuna malalamiko! Go to hell!Tanzania bara tunawalostisha wazenj.
Hivi tujuze bibie,hawa wa Oman na Zenjbar walikuwa waarabu au waafrika?
Na walikuwa na origin yao hapo unguja au walikuwa wa kuja na kutawala tu.
Hebu tueleze zaidi bibie,WALIOPINDULIWA mwaka 1964 walikuwa watu gani?.
KIKUBWA zaidi WEWE Faizafoxy , mswahili titii babu zako walikuwa WATWANA wa familia ipi ya kiarabu, tujuze tu!
uhandisi na historia wapi na wapi?Kweanza uelewe kuwa Uarabu ni lugha, Uafrika ni ukontinenti, kwa hiyo unafananisha vitu viwili tofauti, kama vile kufananisha ndimu na ndizi.Zanzibar kama ilivyo miji ya pwani za Afrika Mashariki, ilipokea wageni kutoka dunia nzima, na ukumbuke hii mipaka uijuayo leo, ilitengenezwa na wakoloni wa uropa, mipaka ya enzi za utawala wa Zanzibar haikuwa kama ilivyo sasa. Na mipaka ya himaya za watu wa Pembe (Dhul karnein) haikuwa kama ulivyokuja utawala wa Zenj Empire. Sijui upo hapo ulipo? Nadhani tatizo kubwa ulilo nalo ni kutokuijuwa vizuri historia.
Nazjaz, umesahau na haya;
Zanzibar kabla na baada ya uhuru ilikuwa na njia za reli,
Mwalimu (RIP) akazing'oa na kuzihamishia bara.
Zanzibar ilikuwa na mbuga za wanyama,
Mwalimu akawahamishia Serengeti na Mikumi.
Zanzibar ilikuwa na maprofesa waliobobea,
Mwalimu akawahamisha wafundishe bara.
Zanzibar ilikuwa na vyuo vikuu kadha wa kadha,
Mwalimu akavifunga vyote na kuanzisha UDSM.
Zanzibar ilikuwa huru chini ya Sultani Rhamshid Ibn
Abdullah, Mwalimu akafanya njama na kumng'oa.
Bahati Wazanzibari wamepata mkombozi mpya
Kwa jina Jakaya Mrisho Kiwete na uhuru uko njiani.
Lazima tuhakikishe haya yanaingia Wikipedia
Na historia mpya ya Tanzania inaandikwa, loo !
Kaaaaaaaaazi kweeeli kweeeeeeli !