Things are still falling apart under this dictatorial regime!

Things are still falling apart under this dictatorial regime!

Ikitotanzira

Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
24
Reaction score
151
Wimbi la kupoteza ajira taz limekuwa gonjwa kuu ndani ya taifa letu leo kampuni ya magazeti ya mtanzania imetangaza kutochapisha gazeti lao na badala yake watalichapisha kwa kupitia mtandao (social media) Kutoka uuzaji wa nakala ya gazeti (printcopy) takribani wafanyakazi 20 watapoteza ajiri hii yote inaonyesha hali ya uchumi kuwa ngumu wafanyakazi wa gazeti la mtanzania hawajapata mshahara kwa miezi 6 mfurulizo kwa hali hii tanzania na watanzani wapi tunaelekea
 
Kutokuprint sio sababu ya udikteta wa jamaa, sababu ni dunia inabadilika, nani anamuda wa kusoma gazeti siku hizi? kila kitu online.
 
Kutokuprint sio sababu ya udikteta wa jamaa, sababu ni dunia inabadilika, nani anamuda wa kusoma gazeti siku hizi? kila kitu online.
Si kweli, watu hawapendi habari zilizochujwa kupita kiasi kwa kuogopa kauri " msifikiri mko huru saana" sasa waandishi wanaandika yasiyouzika na ya uongo ambapo jamii imeshagundua inaingizwa chaka na kuacha kununua magazeti ya uongo na propaganda!
 
Kutokuprint sio sababu ya udikteta wa jamaa, sababu ni dunia inabadilika, nani anamuda wa kusoma gazeti siku hizi? kila kitu online.
Ajira siyo kipaumbele cha serikal hii. Trump anapigana kila kukicha kuongeza ajira lakini huyu anapigana kumaliza ajira zote. Vijana amkeni pingine huu udictator. Siku moja nilimsikia akisema eti dada yangu alikufa hata watanzania wote wakifa sijali
 
Back
Top Bottom