ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 74,734
- 140,358
Sehemu zingine lami tayari utajioa presha bure miaka mitatu ya magu inawatoa rohoWah!!bado mnatandaza mchanga
Sehemu zingine lami tayari utajioa presha bure miaka mitatu ya magu inawatoa rohoWah!!bado mnatandaza mchanga
Sehemu zingine lami tayari utajioa presha bure miaka mitatu ya magu inawatoa roho
Nmeshangaa pale kwann hawakifikiria kujenga overpass ,kutakua na usumbufu sana pale kwa wanaotoka njia ya Goba kuingia Morogoro roadNa mbezi mwisho wanakaribia kuweka mataa.. aibu sana kuwa na mataa kwenye highway.
Kwn miradi yake imeshakamilikaSehemu zingine lami tayari utajioa presha bure miaka mitatu ya magu inawatoa roho
kwani jagwa amecomment nini kuhusu hizo projects,zitawanufaisha nyinyi tu au hata wachina,wapakistani,waganda na watanzania tutanufaika nazo?Kibaraka highway, bwagamoyo port, Any Time cancellation LIMITED, struggling George,BuReTanzania.BRT SettlingGov'tRevenues SGR ..yote kwa helazetu.How's the progress
ichoboy01 EvilSpirit
Mingi imekamilika mbona naona kama unapata presha ya bure😆😆😆Kwn miradi yake imeshakamilika
Akiondoka nani???Akiondoka tunafumua kila kitu tunajenga upya..
iko wapi tuione tuanze kuunga juhudiMingi imekamilika mbona naona kama unapata presha ya bure
Really??OZIL OZIL OZIL OZIL OZIL OZIL OZIL without him no arsenal
Nahis kwenye kila junction kubwa kutakuwa na jinsi ya kupunguza msongamano ...Nmeshangaa pale kwann hawakifikiria kujenga overpass ,kutakua na usumbufu sana pale kwa wanaotoka njia ya Goba kuingia Morogoro road
Highway Ni nyingi zinaanza kujengwa mwaka huu wa fedha kwa taarifa yako kutoka tegeta hadi bagamoyo 46 km tunaweka 4lanes ,morogoro road itaendelea hadi chalinze 100km iyo no awamu ya kwanza tu,SA zile Tz inatengeneza 1st 10km "superhighway in Dar Sluum, Kenya inaunda Nairobi Nakuru superhighway 139km na hutupigi kelele.
Bado Sana ila hongereni kwa mawazo mazuri. Hizi zetu zimetuchosha yani hata hazipo kwenye headlines unapata habari kibahati bahati tu yani unapata inajengwa unajijazia tu... Another dual carriage road.Highway Ni nyingi zinaanza kujengwa mwaka huu wa fedha kwa taarifa yako kutoka tegeta hadi bagamoyo 46 km tunaweka 4lanes ,morogoro road itaendelea hadi chalinze 100km iyo no awamu ya kwanza tu,
Tengeru USA river Arusha nayo itaongezwa 14km dual carriage way
Sasa ukisema highways nmezaliwa nmezikuta nyerere road,kilwa road,morogoro road,kawawa road hizi Ni habar Za kawaida sana unaleta hapaBado Sana ila hongereni kwa mawazo mazuri. Hizi zetu zimetuchosha yani hata hazipo kwenye headlines unapata habari kibahati bahati tu yani unapata inajengwa unajijazia tu... Another dual carriage road.
Tuusan our first dual carriage way was built in the mid 80s From Nairobi to Kenol 80km long, Uhuru highway/Waiyaki way hata sijui ilijengwa lini I just found it the way it is.
So utanielewa nikisema, I can only imagine how you feeling juu that was how I felt 20 years ago as a young boy in class 3 nyakati za Rais Moi.
Hehehehe si kukutania ila wewe unapata hio feeling ukiwa mtu mzima labda na familia, so Kama una mtoto, basi anaweza relate na Mimi better.
Siongei hizi za mjini naongelelea ya City to City/Town...hizo za kwenu ni within Dar metro.Sasa ukisema highways nmezaliwa nmezikuta nyerere road,kilwa road,morogoro road,kawawa road hizi Ni habar Za kawaida sana unaleta hapa
Bado Sana ila hongereni kwa mawazo mazuri. Hizi zetu zimetuchosha yani hata hazipo kwenye headlines unapata habari kibahati bahati tu yani unapata inajengwa unajijazia tu... Another dual carriage road.
Tuusan our first dual carriage way was built in the mid 80s From Nairobi to Kenol 80km long, Uhuru highway/Waiyaki way hata sijui ilijengwa lini I just found it the way it is.
So utanielewa nikisema, I can only imagine how you feeling juu that was how I felt 20 years ago as a young boy in class 3 nyakati za Rais Moi.
Hehehehe si kukutania ila wewe unapata hio feeling ukiwa mtu mzima labda na familia, so Kama una mtoto, basi anaweza relate na Mimi better. 😉
Iko wapi nakuru highway tuoneshe hapa 😆😆😆😆😆😆😆😆😆SA zile Tz inatengeneza 1st 10km "superhighway in Dar Sluum, Kenya inaunda Nairobi Nakuru superhighway 139km na hutupigi kelele.
iko wapi tuione tuanze kuunga juhudi
Nakuru nairobi iko wapi hebu tuoneshe plz😆😆😆😆😆SA zile Tz inatengeneza 1st 10km "superhighway in Dar Sluum, Kenya inaunda Nairobi Nakuru superhighway 139km na hutupigi kelele.
Iko wapi nakuru highway tuoneshe hapa
View attachment 1144192View attachment 1144193View attachment 1144194View attachment 1144195View attachment 1144196View attachment 1144197View attachment 1144198View attachment 1144199View attachment 1144200View attachment 1144201View attachment 1144202View attachment 1144203View attachment 1144204