asvptx
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 1,940
- 1,014
Nakuelewa huelewi 😹Mchina anawachezea kama atakavyo... miaka 30!! Hapo guarantor ni GoK, yani mchina anafanya risk free business.
Nakuelewa huelewi 😹Mchina anawachezea kama atakavyo... miaka 30!! Hapo guarantor ni GoK, yani mchina anafanya risk free business.
Huko dar ata flyover bado apa tuko mambo ya elevated roads na bado Nai-Mombasa expressway. Mtasoma number sana.
Amkeni.. mnabebwa ufalaNakuelewa huelewi
Kama kubebewa ufala ni kujenga new cities, interchanges na expressways nawelcome huo ujinga na mikono zote mbiliAmkeni.. mnabebwa ufalaView attachment 1236422
Vijana wakenya mmelala mpaka wazee wanapewa kazi zenu, wakina Wambui. Nyie mnabaki mki lialia tu kwenye social mediaKama kubebewa ufala ni kujenga new cities, interchanges na expressways nawelcome huo ujinga na mikono zote mbili