Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,158
- 48,422
Nawaandikia Infropreneur na Kiranga makuhani wakuu wa Atheists wa JF, salaam.
Kwenye mada hii nataka mtuthibitishie kuwa hakuna Mungu.
Kwenye kuthibitisha kwenu, msiishie tu kusema hayupo kwa kuwa hayupo, tupeni hoja zenye mantiki ni kwa nini hayupo.
Na msikwepe hoja kwa kusema hayupo kwa kuwa wanaosema yupo wanashindwa kuthibitisha kuwa yupo. Nyie ndiyo mnatakiwa mseme kwa nini hakuna Mungu.
Hoja zenu zijitegemee bila ya kuegemea kukosoa wanaosema kuwa Mungu yupo.
Kwenye mada hii nataka mtuthibitishie kuwa hakuna Mungu.
Kwenye kuthibitisha kwenu, msiishie tu kusema hayupo kwa kuwa hayupo, tupeni hoja zenye mantiki ni kwa nini hayupo.
Na msikwepe hoja kwa kusema hayupo kwa kuwa wanaosema yupo wanashindwa kuthibitisha kuwa yupo. Nyie ndiyo mnatakiwa mseme kwa nini hakuna Mungu.
Hoja zenu zijitegemee bila ya kuegemea kukosoa wanaosema kuwa Mungu yupo.