Thibitisha kama ni kweli

Thibitisha kama ni kweli

Hapo namba 6 nakubali. Nilikutana na mmoja sehem ya huduma flan. Aliagiza hyo huduma mwenyewe nami nikaagiza yangu!!! Akawa anaonesha kushobokea kampan nikaamua kumjoin kwny meza yake. Baadae nikalipa na bill yake pia. Cha kushangaza naondoka akaniomba nauri!!! Nikajiuliza je nisingemlipia bill angefanyaje? Angeendaje kwao? Utaendaje sehem peke yako na huna hata sent? Sikupata jibu ila sasa ndo najua, kumbe wanapenda pesa sana!!!!!
 
No.12 nae utafkiri kama kweli vile nilimpa kitita cha hela akalala nazo wiki nzima.
 
mi mbona namfaham Angelina anayejiuza??
 
Hiz ni stori za watu wenye matatizo ya kujua walitakalo,maana kila mtu anawakumfit so mbaya kwangu special to u
 
Haa hhaaa eeeee ipi hiyo mkuu vipi upo kwa ofice maana leo nipo home tu nitakuja badae ikiwezekana

Kama kawaida yangu niko ofisini ila leo vibarua vya kupalilia havionekani kwa sana wakati masika ndio hii!
 
MCHUMBA WAKO ANAITWA NANI???
0. JACQ => Huwa ni Mapepe hawajatulia...hapa ongeza na Neema,Hadija,Rehema
1. PATRICIA => wote ni wapole but hupewa
mimba ovyo ovyo...hapa ongeza ,zainabu,mwanaidi,mwanaisha,eva
2. DAMARI => wote huwa waZuri.
3. SARAH =>huwa na wanaume wengi....hapa ongeza Iren,doreen
4. MWAJUMA=>huwa wajuaji mbaya hapa ongeza claudia
5. JOYCE=> ni mafala kiasi.hapa ongeza
Penina,
6. ESTER=> hupenda Pesaa sana jiandaee
watachop hizo pesa zako.
hapa ongeza wema, joketi, jack
7. HELLEN=> wote ni ma player.hapa ongeza koku
8. ANNE=> ni ma-drama queen.hapa claudia,babra
9. Everlyne=> ni wanakuwaga wa cheshi
10. MAGRET=> ni wa-caring..sana wako
lovely
11.VIOLA=>wanap enda sex hoo...hapa pia ongeza Koku
12.EDITH=>huwan ga ni watu waaminifu.hapa tupia fiona
14.NORAH=>wanak u wanga expensive.
15. SUSAN=>very romantic
16.Elizabeth=>c o nservatives
17.Liz=>wanajua kungara poa sana.
18.ANGELINA=>Ni ngumu sana kuwapata
hawa.
19.Rose=>hawa ni wachapa Kazii.
20.CARO=> Hawa huwa na mahasira tupu..
21.July/ janet=>wanapenda doa
sanaaa...unalo
22.Sheryl=>huwa malazi hawaa jiangalie
23.Stacy=>huwa wanyanganyaji mabwana za
watu...
24.Frida=>huwa wapishi wazuri sana...
25.Immaculate/ ivy=>huwa very economical
hawa utawamudu..
26. MARIUM => Hao ni omba Upewe Ndugu...

natarudi afetr kipindi
 
Hapo namba 6 nakubali. Nilikutana na mmoja sehem ya huduma flan. Aliagiza hyo huduma mwenyewe nami nikaagiza yangu!!! Akawa anaonesha kushobokea kampan nikaamua kumjoin kwny meza yake. Baadae nikalipa na bill yake pia. Cha kushangaza naondoka akaniomba nauri!!! Nikajiuliza je nisingemlipia bill angefanyaje? Angeendaje kwao? Utaendaje sehem peke yako na huna hata sent? Sikupata jibu ila sasa ndo najua, kumbe wanapenda pesa sana!!!!!

Nafahamu wenye jina hilo zaidi ya 4 na tabia ni hiyo hiyo. Wapenda good life, lakini wavivu, no money no love - uwe na hela utampata...Lakini wana sifa moja nzuri very friendly - whether real or fake.
 
mbona hakuna najina ya kwetu, inaonesha umedesa sehemu eee, lete na siza za akina nyachiro, kambale, sato, budagala, nyajige, masangu, mwashi n.k maana majina yote hayo uliyolete ni ya kudhungu mzee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom