Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,711
- 1,914
KIMICHIO umejuaje???? Lakini hata kama ni MS apewe freedom of expression.Huyu jamaa usikute ni malaria sugu kabadili jina maana mgeni hawezi kuja moja kwa mja na pumba za namna hii.na kama ni mgeni basi hajasoma maana ya jamii forum ni nyumba ya watu wa namna gani.
Gaddafi anatumia ndege za kivita kuua raia wanaoandamana kumtaka aachie madaraka.....nilikua namkubali lakini baada ya jana kusikia anachowafanyia raia wanaompinga nae namuweka kwenye kundi la walewale wanaojali watumbo yao tu.tena nimeanza kua na wasiwasi kama Africa kuna rais anaejali wananchi wake kwa asilimia 100
It is only people in the world who don't know the intricacies of political intrigues at international level who would be convinced that poor economic performance of Zimbabwe was a result of land redistribution scheme and Mugabe's leadership in general. Economic failure in Zimbabwe was because of economic embargo and sabotage at international level orchestrated by Britain and its allies, largely the US. As Michele just pointed out, the so called "bad dictator" has been there since 1980 and the Zimb economy was doing great under him. Things started to "go south" only after he decided to implement the scheme which somehow affected some of 70,000 white british citizens who were living in zimbabwe.
Mugabe is a hero. It just too bad that he is too old for now. But he remains to be one of the few TRUE SONS of Mother Africa.
Michelle, I am afraid if you ever get into the power reigns you will be a king'ang'anizi dictator yourself. You defend them so much!
well said!michalle blame EUROPE and USA for zimbwabwe economic worsening as the result of Economic sanctions and whatever BUT she forgett that CUBA has been in such sanctions for decades still life overthere is good than Zimbabwe
refers michalle posts,
so do u think siwezi jua cuba ni america?i just gave her an example how a wellframmed,patriotic presidents can mould/configure their country to easen the life of its people.
KIMICHIO umejuaje???? Lakini hata kama ni MS apewe freedom of expression.
Kujifunza ni kujua mambo mengi, lean to tor-orate and cooperate with others of referent opinion.
This man has guts!!!!!!!!!
madikweta yote hujifanya mazalendo kuliko kawaida so mugabe is in this group.Did you remeber how long it took to announce the results of UCHAGUZI MKUU zimbwabwe?utadhan walikuwa wanamark pepa za sekondariYou do not know what bn patriotic means if to you Mugabe is not patriotic....ana failures zake but to say he is not patriotic then i do not think you know a bit about what you are talking about......ulisoma history? au unasikiliza taarifa za habari leo unatengezeza conclusion....mimi siwezi argue na wewe for the sake of arguing......you go read....unabisha tuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
those are genuine reasons which prompted me to admire those leaders! what Libyans are doing is not proper because Gaddafi has done a lot for the country and the continent at large,i think they are trying to immitate the Egyptians which had a diffferent political situation
i admire KIWETE:A S 112::A S 112::A S 112: