Theresa May ni Nani?

Theresa May ni Nani?

Ninakumbuka wakati Kate Middleton anategemea mtoto wake wa kwanza walimwambia kuwa hata akiwa wa kike au wa kiume na huyo ndie mfalme au malkia anaekuja. Bahati nzuri alipata wakiume.


Unamuona na Obama alivyotulia na binti zake, angekuwa mwengine si mtu angebebeshwa mimba mpaka atokee wa kiume!

Au ndo mtu anapata sababu ya kuchepuka kwa kisa cha kutafuta mtoto wa kiume, halafu kuna wanawake wengine wanaona sawa kumfurahisha mwanaume.

Wanawake wa Kiafrika we go through a lot kwa kweli.
 
Unamuona na Obama alivyotulia na binti zake, angekuwa mwengine si mtu angebebeshwa mimba mpaka atokee wa kiume!

Au ndo mtu anapata sababu ya kuchepuka kwa kisa cha kutafuta mtoto wa kiume, halafu kuna wanawake wengine wanaona sawa kumfurahisha mwanaume.

Wanawake wa Kiafrika we go through a lot kwa kweli.
Kungekua na qualifications za umbea ningekuwa graduate wa 2:1 kama sio 1st class. The enquirer gossip magazine liliandika kuwa nyumba nyeupe inawaka moto bila mtoto wa kiume. Hayo yalikua mara baada ya kuwa raisi.
 
Kungekua na qualifications za umbea ningekuwa graduate wa 2:1 kama sio 1st class. The enquirer gossip magazine liliandika kuwa nyumba nyeupe inawaka moto bila mtoto wa kiume. Hayo yalikua mara baada ya kuwa raisi.


Hahaaa!, eti first class!, 😀

Enquirer wambea namba moja. Sijui ni hao hata walisema Michelle was pregnant soon after they moved to the white house.

Sidhani lakini kama they have that mentality ya kuona hawako sawa bila mtoto wa kiume. Huwezi jua lakini, it's not fair to speak for them.
Uzuri ni kwamba siku hizi ni ku time tu, na unapata mtoto wa chaguo lako.
 
Hahaaa!, eti first class!, 😀

Enquirer wambea namba moja. Sijui ni hao hata walisema Michelle was pregnant soon after they moved to the white house.

Sidhani lakini kama they have that mentality ya kuona hawako sawa bila mtoto wa kiume. Huwezi jua lakini, it's not fair to speak for them.
Uzuri ni kwamba siku hizi ni ku time tu, na unapata mtoto wa chaguo lako.
Ninachoamini ni kuwa uwe na mtoto wa kike au wa kiume wape tu fursa sawa. Kwa mzazi ni faraja kuona mtoto wake amefanikiwa katika maisha awe wa kike au wa kiume.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Ninachoamini ni kuwa uwe na mtoto wa kike au wa kiume wape tu fursa sawa. Kwa mzazi ni faraja kuona mtoto wake amefanikiwa katika maisha awe wa kike au wa kiume.

Ni kweli.
 
Thereza amenifurahisha na choice ya wardrobe yake, halafu anasoma Vogue.
She's a real fashionista.
 
Thereza amenifurahisha na choice ya wardrobe yake, halafu anasoma Vogue.
She's a real fashionista.
Ninakumbuka kuna story ya mama mmoja banker nilisoma zamani kidogo, yuko kwenye 6 figure pay, designer wanamletea nguo kwakua akivaa kwenye mikutano anaziexpose kwahiyo ni kama promotion. Sasa Gucci, LV, yves saint laurent wanaleta nguo bure. Kuna watu wanaishi.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Ninakumbuka kuna story ya mama mmoja banker nilisoma zamani kidogo, yuko kwenye 6 figure pay, designer wanamletea nguo kwakua akivaa kwenye mikutano anaziexpose kwahiyo ni kama promotion. Sasa Gucci, LV, yves saint laurent wanaleta nguo bure. Kuna watu wanaishi.


Wanaishi haswa, na kama hivi designer's wanajua anapenda fashion, atafaidi sana from make-up to outfits.
 
Sijafahamu ni nani mwenye matatizo ya uzazi kati yao.
kwa hiyo ulikurupuka ku denigrate wanaume wa Kiafrika bila kujua ni kwa nini hawana watoto. Daaah... ma think tank tunao!

Anyhow, Theresa May is a world class democrat, alikuwa hapendi hata kidogo UK ijitoe EU, lakini kwa kuthamini na kuheshimu matakwa ya watu wake waliopiga kura amewapa madaraka kwenye cabinet yake wapinga jumuiya ya Ulaya waongoze mchakato wa kujitoa EU.

Imagine Magufuli au Kikwete wakati ule, japokuwa hawapendi Katiba ya Warioba, wampe Warioba kuwa Mwenyekiti wa Tume mpya ya kuunda serikali tatu.

Not in Africa.
 
hapo kwenye kisukari inaonyesha kwenye swala la afya yake atakuwa alijisahau sana.
japo kuwa aliweza kuzingatia mambo mengi sana hadi akamaaniwa na akapata nafasi nyingi za uongozi.

lakini siwezi kushangaa sana kwasababu wanasiasa wengi ndivyo walivyo.
 
Mwanamke anafanya vizuri sana katika majukumu yake, mwanamke ambae anaboronga ni yule aliebebwa na asie jiamini katika elimu na uwezo wake, mi namkubali sana yule KAIRUKI alietumbuliwa kwa kugomea mshahara mdogo, alijiamini na kutegemea akili yake, hawa wa kwenye siasa hawa ni bure kabisa wanamfurahisha bwana wao na kuacha kutumia akili yao.
 
Mwanamke anafanya vizuri sana katika majukumu yake, mwanamke ambae anaboronga ni yule aliebebwa na asie jiamini katika elimu na uwezo wake, mi namkubali sana yule KAIRUKI alietumbuliwa kwa kugomea mshahara mdogo, alijiamini na kutegemea akili yake, hawa wa kwenye siasa hawa ni bure kabisa wanamfurahisha bwana wao na kuacha kutumia akili yao.
Uzoefu wa kupanga budget ya nyumba mpaka mshahara mwingine ufike unatupa discipline ya maisha na hii ni nguzo kubwa katika uongozi.
 
Uzoefu wa kupanga budget ya nyumba mpaka mshahara mwingine ufike unatupa discipline ya maisha na hii ni nguzo kubwa katika uongozi.
Kabisa kupanga shughuli kati ya kuhudumia mume na mtoto si kazi ndogo eti, kubeba mimba miezi tisa na kazi za nyumbani hazitetereki ni zaidi ya kuongoza nchi, mama ni kila kitu aisee.
 
ANDREA_LEADSOM.ashx


Adrea Leadsom alikuwa kwenye tano bora katika kinyang'anyiro. Alisema yeye ana nafasi kubwa ya kushinda kwasababu watoto na anajua matatizo ya wananchi wenye familia.
 
Kabisa kupanga shughuli kati ya kuhudumia mume na mtoto si kazi ndogo eti, kubeba mimba miezi tisa na kazi za nyumbani hazitetereki ni zaidi ya kuongoza nchi, mama ni kila kitu aisee.


Right on point.
 
Back
Top Bottom