There is no life after death, ni uongo

There is no life after death, ni uongo

Swali la kijuliza ni hii "intelligence/mind " inayoongoza shughuli za mwili ,matendo, mawazo yetu nk ilikuwa wapi kabla ya kuzaliwa na itaenda wapi baada ya kufa

kuhusu mwili kwa asilimia kubwa tunauhakika ulizaliwa na utazikwa na kuwa mbolea, vipi kuhusu the intelligence system behind human life.
 
Hakuna maisha baada ya kufa, maisha yapo hapa, ukiwa hai. Tenda wema, ukiondoka watu wakukumbuke kwa wema. Ukitendewa ubaya, tafuta haki hapa, hakuna haki baada ya kufa. Ukifa, unaoza na kurutubisha ardhi kwa faida ya walio hai, kama ilivyo kwa any organism.
Maisha yapo baada kifo. Nakuomba na nakusihii hiyo Imani achana nayo. Maisha yapo baada kifo mkuu. Nina ushaidi
 
Hakuna maisha baada ya kufa, maisha yapo hapa, ukiwa hai. Tenda wema, ukiondoka watu wakukumbuke kwa wema. Ukitendewa ubaya, tafuta haki hapa, hakuna haki baada ya kufa. Ukifa, unaoza na kurutubisha ardhi kwa faida ya walio hai, kama ilivyo kwa any organism.
Umelazimiswha kuamini? Huu ni upumbavu wa kutaka misimamo yenu kila mtu aifuate huu upumbavu acheni mara moja mnakera
 
Hakuna maisha baada ya kufa, maisha yapo hapa, ukiwa hai. Tenda wema, ukiondoka watu wakukumbuke kwa wema. Ukitendewa ubaya, tafuta haki hapa, hakuna haki baada ya kufa. Ukifa, unaoza na kurutubisha ardhi kwa faida ya walio hai, kama ilivyo kwa any organism.
Acha kupotosha jamii kwa makusudi. Kuna watu wanaishi huku wamekufa na kuna wafu walio hai ila wanataraji kwenda kuishi baadaye. So kupanga ni kuchagua.
 
Hakuna maisha baada ya kufa, maisha yapo hapa, ukiwa hai. Tenda wema, ukiondoka watu wakukumbuke kwa wema. Ukitendewa ubaya, tafuta haki hapa, hakuna haki baada ya kufa. Ukifa, unaoza na kurutubisha ardhi kwa faida ya walio hai, kama ilivyo kwa any organism.
Naomba kuelimishwa, kama ardhi hurutubishwa na mizoga yetu watu tukizikwa,

vipi huko kwa Wahindi wanakochoma maiti ardhi yao ina rutuba au haina rutuba?
Vipi huko ambako miili ya wafu makaburi yao yana taizi ndani hadi nje ardhi zao zikoje?

Vipi ambako wanazika miili na inakutana na udongo kabisa je ardhi zao huwa hawahitaji mbolea ili kurutubisha?
 
Naomba kuelimishwa, kama ardhi hurutubishwa na mizoga yetu watu tukizikwa,

vipi huko kwa Wahindi wanakochoma maiti ardhi yao ina rutuba au haina rutuba?
Vipi huko ambako miili ya wafu makaburi yao yana taizi ndani hadi nje ardhi zao zikoje?

Vipi ambako wanazika miili na inakutana na udongo kabisa je ardhi zao huwa hawahitaji mbolea ili kurutubisha?
Mkuu kwani unavyojua wewe aridhi huwa ina rutubishwa na nini ?
 
Ardhi hahitaji miili iliyokufa kwa ajili ya rutuba.

Ardhi ipo kabla ya binadamu kuwepo.

Miili iliyokufa inaweza badala ya kuzikwa ikachomwa moto, na ardhi itakuwa na rutuba
Kuna miti inakufa ,inaoza ,nyasi pia zinaoza..
Zikioza zinaongeza rutuba kwenye ardhi.
Mwili kuchomwa moto haimanishi hautochangia kuongeza rutuba kwenye ardhi, Kwa kiumbe hai wa aina yeyote akichomwa moto, mabaki yake (majivu) huongeza rutuba kwenye ardhi.
Pia ardhini Kuna viumbe hai wanaoishi ndani yake. Na hawaishi milele, kifo hatima ya kila kiumbe kinachoishi.
 
Toa huo ushahidi , usicomand watu waamini.
Neno Imani lenyewe linatafsiriwa kimakosa.
Unakuaje na bayana ya mambo usiyoyaona?
Dunia hii ni kubwa kaka. Kuna watu 8 billion. Kila MTU Ana neema yake. Hatufanani. Kujifunza ni jambo muhimu sana. Kwanini nikudanganye kwamba hakuna maisha banda ya kifo. Ili iweje. Sina muda huo. Ila nakusahihisha tu kwamba yapo maisha baada ya kifo. Nina ushahidi wawazi kabisa. Ni hatari sana kuishi unavyoishi. Ipo siku utakufa utaona lakini utakuwa umechelewa
 
Dunia hii ni kubwa kaka. Kuna watu 8 billion. Kila MTU Ana neema yake. Hatufanani. Kujifunza ni jambo muhimu sana. Kwanini nikudanganye kwamba hakuna maisha banda ya kifo. Ili iweje. Sina muda huo. Ila nakusahihisha tu kwamba yapo maisha baada ya kifo. Nina ushahidi wawazi kabisa. Ni hatari sana kuishi unavyoishi. Ipo siku utakufa utaona lakini utakuwa umechelewa
Shirikisha umma ushahidi wako.
Kama lengo sote tupate maarifa ,kama unatamani na Mimi niamini unachokiamini, huna budi kuthibitisha Maneno Yako .
Ila ukiendelea kusema una ushahidi na bado huachilii hadharani, unaonekana kama unapotosha.
 
Hakuna anayeishi huku amekufa
Hakuna aliyekufa mwenye matarajio.
Au Wafu Gani hao wanaoishi?
Wanaishi wapi?
Thibitisha.🥱
Kwanza naomba utuambie bila kutia shaka kama umekufa au uko hai ili tuweze kuendelea na maada ya msingi
 
Back
Top Bottom