The World is a flat plane and not a globe

So wewe unakataa kwamba hatuzunguki kwa hiyo speed?
Kaka soma nilichoandika.
Wewe unauliza kuhusu dai tunaenda kwa kasi ya 10,000 km/h, Dai hilo halina msingi.
Ukiongea kasi unahita kusema kasi kulingana na nini?

Maana wakati unapopanda basi ya mwendokasi
  • unatembea na kasi ya takriban 50 km/h kulingana na barabara chini yako
  • unazunguka kwa kasi ya 1666 km/h kwenye mhimili wa Dunia
  • unakimbia kwa kasi 107,000 km/h ukizunguka Jua letu
  • unazunguka kwa kasi 720,000 km/h kitovu cha galaksi yetu.

Kasi ya 10,000 km/h unayotaja sijakuta.
 
Kaka soma nilichoandika.
Wewe unauliza kuhusu dai tunaenda kwa kasi ya 10,000 km/h, Dai hilo halina msingi.
Ukiongea kasi unahita kusema kasi kulingana na nini?

Maana wakati unapopanda basi ya mwendokasi
  • unatembea na kasi ya takriban 50 km/h kulingana na barabara chini yako
  • unazunguka kwa kasi ya 1666 km/h kwenye mhimili wa Dunia
  • unakimbia kwa kasi 107,000 km/h ukizunguka Jua letu
  • unazunguka kwa kasi 720,000 km/h kitovu cha galaksi yetu.

Kasi ya 10,000 km/h unayotaja sijakuta.
And that's why nimekuuliza wewe unakataa kwamba hatuzunguki kwa hiyo kasi?
 
Right now mr musk ameburn 2 million us dollars kwa sn8 launch maandalizi ya safari kuelekea mars.
Test imeenda as planned japo landing ni failed still watafix hilo tatizo kwenye next sn9 test.
Even india wanaanza kujihusisha na space exploration.

Huku nyie mnabishana dunia haizunguki na ni flat.

Pathetic Africans.
 
Biblia nayo inasema dunia duara Mkuu
Isaya 40:22
[22]Yeye ndiye anayeketi juu ya duara ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa
 
Biblia nayo inasema dunia duara Mkuu
Isaya 40:22
[22]Yeye ndiye anayeketi juu ya duara ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa
Angalia Kiswahili chako, kaka. Duara si tufe. Duara ni bapa. Acha kando Biblia, si kitabu cha fizikia, ni kitabu cha imani.

1607585573890.png
 

Attachments

  • 1607585385148.png
    1607585385148.png
    10.8 KB · Views: 6
Biblia nayo inasema dunia duara Mkuu
Isaya 40:22
[22]Yeye ndiye anayeketi juu ya duara ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa
Sasa we huoni hapo a nakwambia TUKO NDANI... INA MAANA NI NUSU DUARA.
MAANA KAMA AMEKETI JUU YA HUO MDUARA NA SISI KWA THEORY ZENU SI TUPO JUU TUNAZURURA BASI ANGETUKANYAGA
 
Sasa we huoni hapo a nakwambia TUKO NDANI... INA MAANA NI NUSU DUARA.
MAANA KAMA AMEKETI JUU YA HUO MDUARA NA SISI KWA THEORY ZENU SI TUPO JUU TUNAZURURA BASI ANGETUKANYAGA
Na wewe tafakari jinsi unavyotumia lugha. Nusu-duara - je upande wa kushoto au kulia?
Tunajadili Tufe au Duara.
Kwenye tufe hakuna juu au chini. AU: Juu ni kila upande unaoelekea mbali na kitovu cha tufe.
1607586590789.png
 
Mpira na Sahani vyote ni vya Duara.
Biblia nayo inasema dunia duara Mkuu
Isaya 40:22
[22]Yeye ndiye anayeketi juu ya duara ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa
 
Si "globe", ni tufe. Tufe si Kiswahili kipya, naiona katika kamusi ya 1904.
Mkuu Tofaut ya globe na tufe ni nini..???
Globe English
Tufe kiswahili...

Ishu ya dunia sio flat ndo ilianza mkuu wanasayansi wa kale waligundua kwamba dunia sio flat dunia ni duara...
ishu ya dunia sio kama duara ni tufe imekuja zamaa hizi baada ya maendeleo ya sayansi na teknolojia hii ni baada ya kufanikiwa kupima speed ya dunia at the center na poles wakangudua kwa tofaut hiyo dunia haliwez kuwa duara kamili ila ni kama tufe

Kuhusu neno la biblia nililoqoute ni kutia msititizo kuwa dunia sio flat ni duara..
ishu ya duara na tufe ni kwa mtazamo zaid tu....
 
Mkuu Tofaut ya globe na tufe ni nini..???
Globe English
Tufe kiswahili...

Ishu ya dunia sio flat ndo ilianza mkuu wanasayansi wa kale waligundua kwamba dunia sio flat dunia ni duara...
ishu ya dunia sio kama duara ni tufe imekuja zamaa hizi baada ya maendeleo ya sayansi na teknolojia hii ni baada ya kufanikiwa kupima speed ya dunia at the center na poles wakangudua kwa tofaut hiyo dunia haliwez kuwa duara kamili ila ni kama tufe

Kuhusu neno la biblia nililoqoute ni kutia msititizo kuwa dunia sio flat ni duara..
ishu ya duara na tufe ni kwa mtazamo zaid tu....
Watu walijua tangu zaidi ya miaka elfu mbili dunia ina umbo la tufe.
Soma yafuatayo:
Eratosthenes wa Kirene alikuwa mtaalamu wa hisabati, jiografia, historia na lugha tena mkurugenzi wa maktaba ya Aleksandria katika Misri. Anakumbukwa hasa kama mtu wa kwanza aliyekadiria mzingo wa dunia. Anasemekana aliibuni neno "jiografia".
... (alizaliwa mnamo mwaka 276 KK mjini Kirene wa Libya.)
Wazo la kuwa dunia ina umbo la tufe lilijulikana kabla ya Eratosthenes. Yeye anajulikana kama mtu wa kwanza aliyeweza kukadiria mzingo wake kwa njia ya upimaji.

Alitumia pembe jinsi gani jua linavyoonekana kutoka mahali pawili duniani pamoja na hisabati ya duara.
  • kwanza alihisi ya kwamba umbo la mzingo wa dunia litakuwa kama duara.
  • Wakati wa safari moja alitazama jinsi gani jua liliakisiwa na maji ya kisima kirefu mjini Siene katika Misri ya kusini kwenye saa ya mchana tarehe 21 Juni. Alielewa maana yake ni kwamba mji huu ulikuwa kwenye tropiki ya kansa ya dunia na jua lilikaa kwenye kilele cha anga kabisa siku ile wakati wa mchana. Hii ilikuwa siku ya pekee katika mwaka ambako Jua lilifikia uso wa maji katika kisima hiki. Kwa hiyo alichukua pembe ya jua kuwa nyuzi 90. Alijua pia ya kwamba hali hii itarudia kila mwaka tarehe ileile.
  • aliweza kupima pembe jinsi jua lilivyoonekana kwake Aleksandria tarehe ileile saa ya mchana.
  • alijua umbali kati ya Aleksandria na Siene.
Nyingine ilikuwa hisabati ya duara ya kawaida. Kwa njia hiyo alikadiria mzingo wa dunia kuwa "stadia" 252,000. Hii ni tokeo nzuri sana. Hakuna uhakika alitumia stadia gani; kama alikadiria stadia ya Kigiriki yenye urefu wa mita 185 ingemaanisha mzingo wa kilomita 46,620 ambayo ni kubwa zaidi kwa asilimia 16. Kama alitumia stadia ya Misri za mita 157.5 ingemaanisha kilomita 39,690 ambayo ni karibu sawa na upimaji wa leo.
(Chanzo: Wikipedia, Erastothenes)
 
Right now mr musk ameburn 2 million us dollars kwa sn8 launch maandalizi ya safari kuelekea mars.
Test imeenda as planned japo landing ni failed still watafix hilo tatizo kwenye next sn9 test.
Even india wanaanza kujihusisha na space exploration.

Huku nyie mnabishana dunia haizunguki na ni flat.

Pathetic Africans.
2Million Dollars mbona ndogo au ukitaka kumaanisha B
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom