The World is a flat plane and not a globe

Hey Zurri my understanding level is beyond yours

My instincts are definitely different

Thats why i don't argue

I am going to take my award next year for this

Just be humble all things will be possible for you

Sent using Jamii Forums mobile app
Nacheka sana, hata wajinga wanapeana tuzo, hili halishangazi.

Ajabu ya watu kama nyinyi, yaani kwa ujinga huu mnapeana tuzo.

Kusema tu uelewa wako ni zaidi ya uelewa wangu, ni ishara ya kuwa wewe ni mjinga.

Wanao jua wanajua, haiwezekani tangu jana huweki hoja zaidi ya kutaj taja majina, na hii ni kazi rahisi sana.

Hujawahi kusikia tuzo za wanamuziki, wacheza mipira na wacheza filamu za ngono ? Sasa ujinga hauishi na huo wakwenu ni muendelezotu.
 
Na anajiita msomi aliyemo humo [emoji3526][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]

Msomi mwenye mihimili iliyojichimbia ndani
. Wtf [emoji28]



Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni uoga jamaa. Leteni hoja zenu kama nyinyi mnasema ukweli.

Sijawahi kujiita msomi, sababu najua nini maana ya Elimu. Ila hivyo vichaka vyenu sisi ndio tunavisambaratisha.
 
Swali la msingi unajuaje kama dunia inazunguka.

Mathalani, mlima wa kilimanjaro unaweza kunithibitishia ya kuwa hapo kabla haukuwepo hapo ulipo ?
Unaona?
Nimetoka kukuambia dunia inapozunguka kila kitu kilichokuzunguka nacho kinahama na wewe na wewe kama kilivo.
Usichoelewa ni nini Zurri?
Hili tuu limefanya nisijisumbue kukueleza zaidi.

Unataka ushahidi wa namna gani? Wa kiroho? Maana tunachoongelea hapa ni sayansi na ndio uliyodhibitisha yote haya.

End of discussion.
 
Kuna mtu hapo juu alisema ina rotate at 1000km/hr,je hiyo ni too slow to notice the motion?
Na kwa utetezi wake ni kwamba tunashindwa kutambua sababu ina spidi kubwa sana.
Wewe umesema kinyume chake,unajua mnanipoteza kwenye mjadala!
Msipokuwa makini REALITY anaweza kuchukua point zote watu tukahamia flat earth 😀
 
Na kucheka tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
How do you prove that is not a lie?
And what makes you trust with no proof or eye of sight?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
kijiuongo flani hivi cha kupotezea muda, hongera mleta uzi hadi mimi nimejikuta nachangia upuuzi huu du!
 
Sasa mpaka muda huu naomba huo uthibitisho wa Sayansi huutoi, tatizo liko wapi mrembo ?

Nimeyaelezea vizuri uliyo yasema na nikahoji lakini maswali yangu hujibu.

Haya maswali mbona rahisi sana.
 
Kuna mambo licha ya kufundishwa yapaswa utumie akili ya kawaida kabisa kama yawezekanika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna picha ya dunia hasa iliyopigwa nje ya dunia. Kama ingekuwepo basi ukweli ungewekwa wazi kabisa. Picha zote zimetengenezwa ktk computer.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanakwambia meli ikiwa inazidi kwenda mbele baharin huwa inazama, hivyo kudhihirisha kuwa dunia ni duara.

Hahahahaha hawajui kuwa hapo ni ukomo wa macho yao au kitu wanachotumia kutazama, ukiwa na kifaa kinachotazama mbali zaidi wala huoni kama meli inazama bali utaiona ipo ktk usawa ule ule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…