The Window Through Which We Look

The Window Through Which We Look

Wakatisha tamaa wapo wengi tu,
Japo wakikaa kando nao roho zinawauma.

Huwa nawatamani sana akina mama ambao wana
maendeleo kutokana na jasho lao;
my dear, siku hizi siyo za kukaa chini kusubiria mtu akufanyie.....
unaweza kuja umbuka baadae.
hivi kama Mungu alikupa nguvu, uwezo, akili....... unashindwa nini kufanya kazi ili uzalishe vyako?
 
nadhani mpwa kujua kama kioo ni kichafu sio kazi kubwa sana au?
mimi pia nadhani hivyo.....
huwezi ukaona kila wanachofanya wenzako ni kibaya na ukajiridhisha kioo chako ni kisafi
 
Mtani na hilo ndio jibu haswa nilikuwa nalihitaji kwako...nilijua kwa vyovyote mtani wangu utakuwa na funzo la kutoa.
Najua sasa wengine watachukua notsi hapo...

mtani wangu hapa ni swala la kujiangalia mara kwa mara na kujifanyia usafi.
Ngoja nikuambie kitu, hii ni kweli kabisa kwangu. huwa nikichukizwa na mtu huwa mara nyingi sana nakaa kujifikiria kwa nini imetokea. nawaza scenario nzima na najitahidi kujiweka upande wa huyo mtu na kupata picha ingekuwaje mtu anifanyie nilichomfanyia mimi...... nikijiridhisha amenikosea na-relax, otherwise naenda kuomba msamaha
 
Mtani na hilo ndio jibu haswa nilikuwa nalihitaji kwako...nilijua kwa vyovyote mtani wangu utakuwa na funzo la kutoa.
Najua sasa wengine watachukua notsi hapo...
ha haaa, mtani kwa kunisifia.......
asante mtani.
Ni swala tu la kujiambia kuwa hata wewe ni binadamu kwa hiyo haupo perfect. ukilijua hilo hala hupati tabu kujisafisha mara kwa mara
 
Hapana rafiki hawa walikuwa hawana bifu lolote lile, lakini ndiyo mabifu yasiyo kuwa na kichwa, miguu wala mkia huanza hivi na baadaye kuvuka mipaka na kuiweka ndoa mashakani. Inabidi mmoja ajishushe, "Mume wangu samahani ni kweli chakula kiliungua nitajihidi nisiunguze tena." au "Mke wangu ni kweli chakula hakikuungua hata harufu ya kuungua kwa chakula haikuwepo inaelekea kilishika kidogo tu kama ulivyosema." vinginevyo ndio madoa ndani ya ndoa yanaanza taratibu, "Huyu mke wangu amekuwa na kiburi sana siku hizi." au "Mume wangu anafuatilia mambo ambayo hayastahili kabisa kufuatilia hayana kichwa, miguu wala mkia." lol!!!...Chezeya ukiwa unapika huku ukiwa kwenye BBM weye!!!! 🙂🙂🙂




ha haaa, hawa nao walikuwa wamechokana tu.......
ni kuunguza tu au walikuwa na mengine?
 
Last edited by a moderator:
Hapana rafiki hawa walikuwa hawana bifu lolote lile, lakini ndiyo mabifu yasiyo kuwa na kichwa, miguu wala mkia huanza hivi na baadaye kuvuka mipaka na kuiweka ndoa mashakani. Inabidi mmoja ajishushe, "Mume wangu samahani ni kweli chakula kiliungua nitajihidi nisiunguze tena." au "Mke wangu ni kweli chakula hakikuungua hata harufu ya kuungua kwa chakula haikuwepo inaelekea kilishika kidogo tu kama ulivyosema." vinginevyo ndio madoa ndani ya ndoa yanaanza taratibu, "Huyu mke wangu amekuwa na kiburi sana siku hizi." au "Mume wangu anafuatilia mambo ambayo hayastahili kabisa kufuatilia hayana kichwa, miguu wala mkia." lol!!!...Chezeya ukiwa unapika huku ukiwa kwenye BBM weye!!!! 🙂🙂🙂
ha haaa, kumbe lilikuwa dongo?
delivered!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mhhhh! haya bhanaaaa....Angalia hii kitu huko unakopita ina umuhimu mkubwa sana 🙂🙂 kuwa nayo katika libarary yako. Usisahau kuiandika, "Kwa hisani ya BAK wa JF" hahahahah lol! Mambo ya TGT hayo!!




nilikuwa nakutania, lol!
 
Last edited by a moderator:
Mhhhh! haya bhanaaaa....Angalia hii kitu huko unakopita ina umuhimu mkubwa sana 🙂🙂 kuwa nayo katika libarary yako. Usisahau kuiandika, "Kwa hisani ya BAK wa JF" hahahahah lol! Mambo ya TGT hayo!!


poa rafiki nitaiangalia
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom