ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,398
- 1,006
Prof Lipumba akitoa maoni yanayoaitwa ya wachache ambayo kimsingi ndiyo maoni ya wananchi ametoa hoja nyingi nzito miongoni mwake ni kuwa rasimu ya katiba ina misingi na kuikataa misingi ni sawa na kuikataa rasimu yenyewe mabayo ni maoni ya wananchi, na msingi wake ni serikali 3.
Kuikataa serikali 3 ni kuikataa rasimu kwani msingi wake umejengwa kwenye serikali 3. Lakini ameshangazwa na unafiki wa hali ya juu wa baadhi ya mawaziri wanaotoka ofisi ya waziri mkuu,ofisi ya makamu wa rais na wajumbe wa baraza la wawakilishi waliotoa maoni ya serikali 3 kwenye tume halafu kwenye bunge la katiba wanatetea serikali 2,kwa kisingizio cha gharama.
Wakati katika mfumo wowote Tanzania tatizo sio gharama bali UFISADI.FEDHA ZETU ZINATOSHA KABISA KUENDESHA SERIKALI YOYOTE BILA MSAADA.IKIWA TU...IKIWA TUTAONDOA UFISADI.AMEELEZA VIZURI NA KWA MARA YA KWANZA WABUNGE WENGI KUTOKA MAKUNDI YOTE WAMEMPA HESHIMA KWA KUSIMAMA NA KUMPIGIA MAKOFI MAONI YANGU NI KUWA WABUNGE WAKIMTUMIA VIZURI WANAWEZA KUTOKA KATIKA MKWAMO HUU NA KUSONGA MBELE.HONGERA MH.LIPUMBA
Kuikataa serikali 3 ni kuikataa rasimu kwani msingi wake umejengwa kwenye serikali 3. Lakini ameshangazwa na unafiki wa hali ya juu wa baadhi ya mawaziri wanaotoka ofisi ya waziri mkuu,ofisi ya makamu wa rais na wajumbe wa baraza la wawakilishi waliotoa maoni ya serikali 3 kwenye tume halafu kwenye bunge la katiba wanatetea serikali 2,kwa kisingizio cha gharama.
Wakati katika mfumo wowote Tanzania tatizo sio gharama bali UFISADI.FEDHA ZETU ZINATOSHA KABISA KUENDESHA SERIKALI YOYOTE BILA MSAADA.IKIWA TU...IKIWA TUTAONDOA UFISADI.AMEELEZA VIZURI NA KWA MARA YA KWANZA WABUNGE WENGI KUTOKA MAKUNDI YOTE WAMEMPA HESHIMA KWA KUSIMAMA NA KUMPIGIA MAKOFI MAONI YANGU NI KUWA WABUNGE WAKIMTUMIA VIZURI WANAWEZA KUTOKA KATIKA MKWAMO HUU NA KUSONGA MBELE.HONGERA MH.LIPUMBA