The Undisputed Messi

Ninachokiona ligi ya spain ina uwiano mbovu sana kati ya timu kubwa na timu ndogo.....

Tumuombe messi akajaribu soka kwengine.... tangu ana miaka 13 mpaka umri huo yupo kwenye club hiyo hiyo.... barca ni messi na messi ni barca.... ana kipaji kikubwa sana, lakini mfumo wa barca unamnufaisha pia.

Kitu kimoja kwa ronaldo ambacho ni kikubwa sana kuweza kukabiliana na mikimiki ya huyu messi... bila ronaldo messi angekuwa ametamba kwa miaka 10 bila upinzani.... Neymar, Hazard wamefeli kuwa kwenye kiwango cha hawa jamaa.... mpira sio tennis kwamba utashindanisha wachezaji kwa kigezo cha one on one.....

Kutokana na aina ya uchezaji wa barca Ronaldo angelichezea timu hiyo angefanikiwa zaidi kuliko sehemu zote alizopita.... kucheza na akina oshea sio jambo rahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
League ya Spain ni kweli inauwiano mbovu katika timu kubwa na ndogo -- lakini league ya epl ambayo inauwiano nafuu baina ya timu kubwa na ndogo "... ndio league ambayo inaongoza kufungwa mara na team za Spain ambazo hazina uwiano sawa ... mkuu unaweza kujua sababu ni nini "!?,

Sababu ni 1, tu ---, league ya Epl ina wachezaji wengi ambao wanauwezo sawa' so wale ambao wanaonekana ni wachezaji bora wa epl kiukweli ni kwamba uwezo wao haujapishana mbali sana na wachezaji wa kawaida wa epl .. ndio maana unaweza kuona huu ni mwaka karibia wa 10 sasa ..epl haijawahi kutoa hata mchezaji bora mmoja wa dunia .... so unataka king messi akacheze mpira katika league ya watu wenye uwezo mdogo kiasi hicho ... itakuwa una tania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba unajua maana ya Champions league? Ili ni league linalo kutanisha team bora katika league kuu wala hakuna haja ya kuhama hama leagues ili uwe mkali, maana mtu ukiweza kuzicakaza team zinazo chukuwa nafasi za kwanza katika league flani, ivi unaweza ukashindwa kuceza league hio? Be serious mzee baba aca ku compare kama mtoto

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa amerogwa sio bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwezi kumpima champion kwa kuwa na mwali mmoj aende lipuli FC akafumuliwe eboooh.

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
Thamani ya Messi ni kubwa kuliko Liverpool ...so anacheza katika timu ya hadhi yake . Kumtaka Messi aikache barca halafu aende Liverpool ni sawa na kumtaka bakhresa ahame masaki halafu aende kuishi vingunguti .... hao wachezaji wa Liverpool wenyewe kwa hivi sasa ni ndoto ya maisha yao kusajiliwa na barca ..so messi anaanzaje kwenda kuichezea club kama hiyo !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mijitu mingine bwana Eti "ili tujuwe bora aende akacheze ligi ingine" wewe kama nani unasema hivyo!!!!!!! haya ni maneno ya mkosaji, hayana maana yeyote....wivu unawasumbua nyie viumbe
...

King Lionel Messi against English teams in the Champions League: 22 goals, 6 assists. More than teams from any other country.....

EINSTEIN112 Ebu wawekee na records zake alivyozinyanyasa tim za uingereza...
La purga kafunga 80% team za EPL alizokutana nazo!!..
Just imagine kati ya team 85 alizowahi kutana nazo Maisha yake yote ni Team moja tu imemkazia!!..
G.O.AT
 
Sio kweli acha uwongo .. messi huwa ana waachia mpaka wenzake wapige penalty .. mwenye hiyo tabia ni cr7

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi La Purga zile assist angezuia kwake leo huu ubishi ungekuepo!?.. Tatizo analofanya Mfalme mpaka hawa kinamama wanaongea hovyo sio mchoyo, angekuwa mchoyo kama cristina leo tungekuwa tunaongea lugha moja!..
 
Hivi La Purga zile assist angezuia kwake leo huu ubishi ungekuepo!?.. Tatizo analofanya Mfalme mpaka hawa kinamama wanaongea hovyo sio mchoyo, angekuwa mchoyo kama cristina leo tungekuwa tunaongea lugha moja!..
Hawa jamaa bwana sijui wana matatizo gani ...yaani huwa wana teseka mnoo na uwezo majaaliwa wa Lionel Messi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachokiona ligi ya spain ina uwiano mbovu sana kati ya timu kubwa na timu ndogo.....

Tumuombe messi akajaribu soka kwengine.... tangu ana miaka 13 mpaka umri huo yupo kwenye club hiyo hiyo.... barca ni messi na messi ni barca.... ana kipaji kikubwa sana, lakini mfumo wa barca unamnufaisha pia.

Kitu kimoja kwa ronaldo ambacho ni kikubwa sana kuweza kukabiliana na mikimiki ya huyu messi... bila ronaldo messi angekuwa ametamba kwa miaka 10 bila upinzani.... Neymar, Hazard wamefeli kuwa kwenye kiwango cha hawa jamaa.... mpira sio tennis kwamba utashindanisha wachezaji kwa kigezo cha one on one.....

Kutokana na aina ya uchezaji wa barca Ronaldo angelichezea timu hiyo angefanikiwa zaidi kuliko sehemu zote alizopita.... kucheza na akina oshea sio jambo rahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Visingizio tu hivyo
 
MESSI RECORDS RONALDO

MESSI WORLD RECORDS

Only player in history to score 40+ club goals in 9 consecutive seasons (2009/10 - 2017/18)

Most FIFA Ballon d'Or awards: 5 (shared with Cristiano Ronaldo)

Most appearances in the FIFPro World XI: 11 times (2007-2017) (shared with Cristiano Ronaldo)

Only player to score in 6 different club competitions in a season twice: 2011/12 and 2015/16

Only player to score in 6 different club competitions in a calendar year twice: 2011 and 2015

Only player to score and assist in 6 different club competitions in a calendar year: 2011

Most goals scored in Club World Cup Finals: 4 goals (shared with Cristiano Ronaldo)

Most appearances in the top 3 candidates for the Ballon d'Or: 11 times (2007-2017)

Guinness World Records title for the most official goals in a calendar year: 91 goals (2012)

Most goals in a calendar year (including club friendlies): 96 goals (2012)

Only player to have scored at three Club World Cups: 2009, 2011, 2015 (shared with Cristiano Ronaldo)

Most consecutive league matches scored in: 21 matches (33 goals)

First footballer ever to score consecutively against all teams in a professional league

Youngest player to win 2 Ballon d'Or awards: 23 years, 6 months and 18 days.

Youngest player to win 3 Ballon d'Or awards: 24 years, 6 months and 17 days.

Youngest player to win 4 Ballon d'Or awards: 25 years, 6 months and 15 days.

Youngest player to win 5 Ballon d'Or awards

Most FIFA Club World Cup Golden Balls: 2 (2009, 2011)

Only footballer to score 60+ goals in all competitions in 2 consecutive seasons (2011/12 and 2012/13)

Football KING


Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmmmmmh ahaaaaaaaaah danganya ambao awaangalii mpira hila sio Mimi,nasema tena utakula BAN kwa herufi kubwa ukiendelea ujinga wako wa takwimu za uongo eboooh

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom