The Undisputed Messi

Kitu gani ambacho anacho lakini Ronaldo hanacho toa fact nikupe hela eboooh.

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
Kwanza angalia style ya messi anavyocheza halafu angalia ronaldo anavyocheza, messi anacheza namba kumi ambayo anacheza kama AMF, anashuka someTImes hadi kwa centra Midfield "CM" na kuchukua mpira kudribo kupanda kwenye eneo la hatari la opponet, wakati ronaldo cristiano kwa sasa anacheza kama central striker, wakati mwing anasimama kwenye box kusubiria cross au penetration pass, kdogo alivyokua man u na mwanzo akiwa madrid alikua anacheza kutokea pembeni kwa kasi na eneo la juu la kushambulia, uzuri wa ronaldo upo katika speed na kukimbia kupita mabeki lakini hawezi kuchezesha timu kama messi, bro! Ronaldo is CF while messi ni AMF, NANI ANAFANYA KAZI KUBWA UWANJANI HAPO?
pia angalia aina za assist xa messi na jinsi anavyopiga pass ndio ut

MAvv9 y
 
Kwanza angalia style ya messi anavyocheza halafu angalia ronaldo anavyocheza, messi anacheza namba kumi ambayo anacheza kama AMF, anashuka someTImes hadi kwa centra Midfield "CM" na kuchukua mpira kudribo kupanda kwenye eneo la hatari la opponet, wakati ronaldo cristiano kwa sasa anacheza kama central striker, wakati mwing anasimama kwenye box kusubiria cross au penetration pass, kdogo alivyokua man u na mwanzo akiwa madrid alikua anacheza kutokea pembeni kwa kasi na eneo la juu la kushambulia, uzuri wa ronaldo upo katika speed na kukimbia kupita mabeki lakini hawezi kuchezesha timu kama messi, bro! Ronaldo is CF while messi ni AMF, NANI ANAFANYA KAZI KUBWA UWANJANI HAPO?
pia angalia aina za assist xa messi na jinsi anavyopiga pass ndio ut

MAvv9 y
Acha fix bhana.CR anatokea pembeni,kati anasimama mandzukic.
Umekariri game moja tuuu vs atletico.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha fix bhana.CR anatokea pembeni,kati anasimama mandzukic.
Umekariri game moja tuuu vs atletico.

Sent using Jamii Forums mobile app
akicheza saaana ronaldo ndio anakua kama RW/LW AMBAPO anakua anatokea pembeni, wakati messi anacheza role nyng kwa wakat mmoja, AMF/ kama creative playmaker, au anaweza akacheza AM kama deep namba ten, na bado anadribo hadi anaenda kufunga kama AMF au CF
 
akicheza saaana ronaldo ndio anakua kama RW/LW AMBAPO anakua anatokea pembeni, wakati messi anacheza role nyng kwa wakat mmoja, AMF/ kama creative playmaker, au anaweza akacheza AM kama deep namba ten, na bado anadribo hadi anaenda kufunga kama AMF au CF
CR n zaid ya ulivyokariri.Unakuta hata game za juve huangaliii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna clips zinaonyesha team mate wenzake wakifunga linaumia kinoma

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee,umesahau messi ndo sababu ya kuflop kwa baadhi ya wachezaji barca pale,kisa hapati uhuru?


"He wanted to play in the middle, not on the wing, so the system changed from 4-3-3 to 4-5-1. I was sacrificed and no longer had the freedom on the pitch I need to succeed." Zlatan

Umeyashau haya mzee???Au unajisahaulisha??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unauliza kabebwa vipi na timu?unasahau kuna kipind watu barca tunaenda kumuangalia xavi na iniesta?

Sent using Jamii Forums mobile app
bro ndio maana nakwambia mpira huujui unausikilza kiushabiki tu, unataka messi acheze bili viungo? hao xavi na iniesta bado wapo? kazi aliyofanya modric mpaka ronaldo kachukua hzo uefa tatu mfululizo mbona hatusemi? ni kwasababu tunaujua mpira ulivyo,

g kugd
 
Ninachokiona ligi ya spain ina uwiano mbovu sana kati ya timu kubwa na timu ndogo.....

Tumuombe messi akajaribu soka kwengine.... tangu ana miaka 13 mpaka umri huo yupo kwenye club hiyo hiyo.... barca ni messi na messi ni barca.... ana kipaji kikubwa sana, lakini mfumo wa barca unamnufaisha pia.

Kitu kimoja kwa ronaldo ambacho ni kikubwa sana kuweza kukabiliana na mikimiki ya huyu messi... bila ronaldo messi angekuwa ametamba kwa miaka 10 bila upinzani.... Neymar, Hazard wamefeli kuwa kwenye kiwango cha hawa jamaa.... mpira sio tennis kwamba utashindanisha wachezaji kwa kigezo cha one on one.....

Kutokana na aina ya uchezaji wa barca Ronaldo angelichezea timu hiyo angefanikiwa zaidi kuliko sehemu zote alizopita.... kucheza na akina oshea sio jambo rahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyinyi kila kitu ubishi Pep mlisema hivi hivi, ona sasa anacho kifanya Uengereza kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro mbona kama hauujui mpira wa miguu? sijakuelewa unaposema messi anabebwa na timu na wachezaji, unaujua kwel mpira wa miguu?


Hawa vijana hawampendi King Messi, wanajuwa haswaa Messi ni mchezaji bora kuwahi kutokea ila wivu/chuki zinawasumbua...kuna kipindi walikuwa wanabweka eti Messi anabebwa na akina xavi na iniesta, Messi akawaumbua baada ya akina xavi kuondoka...sasa wanasema teamates inambeba 😁😁😁

Hawa viumbe hawalali all the time wanamuwaza messi tu....nawasiwasi wengi wao watakuwa washapata maradhi yasiyotibika.


Alafu kitu kingine...mtu kama hajui mpira si akae kimya kuliko kujidhalilisha hivyo! Kumfananisha Ronaldo/Striker na King/attaking midfielder and all possession ni kumvunjia heshima, Messi scores all types of goals; dribbles, shots outside/inside the box, free-kicks, ukija kwenye skills, playmaker ni yeye, assist goals ni yeye, mkokotaji wa kijiji ni yeye n.k... wakati Ronaldo yeye anasubiri apewe afunge kwa maana ingine tunasema "MVIZIAJI" ni kama akina Suarez, Lewandowsky, aguero, lcardi n.k. sasa kumfananisha mtu ambae anacheza all possession na striker/mjiziaji ni kumvunjia heshima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom