The Undisputed Messi

MESSI ni mpira kipaji na ronaldo ni mpira juhudi, kuna alieelewa hapa? kwamimi wote wanajua lakini messi anakitu cha ziada

Write your reply...
Kitu gani ambacho anacho lakini Ronaldo hanacho toa fact nikupe hela eboooh.

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 
Ronaldo amemzidi Messi michezo mingapi ukitaka kujua huyu Ronaldo hamuwezi Messi wakutane against ndiyo utaona jinsi Ronaldo anavyomchekigi Messi kwa kumtamani
Jibu hoja mbumbu mkubwa

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 
IMG_1585.JPG
 
Mkuu Katika top level je? Messi ni nuksi kwa timu ndogo ila ikija at top top level siku zote haonekani.

pasi za magoli champions league
Kwenye copa de la rey sijui wakikutana na betis messi atawatandika magoli na assist mpaka wakome ila ikija kwenye top top level messi sio bora zaidi.

Hawa ndio watoa pasi za magoli bora champions league.
View attachment 1051409

Unaona hapo Messi hajamfikia Hata Giggs na ameachwa mbali na Ronaldo, hio ni Uefa sio copa de la rey ama getafe,ni mahala wanaume wanapokutana, hata kwa pasi za magoli messi hamuwezi Ronaldo at top level.

Ukija kwenye magoli champions league kwenye makundi messi ni Nuksi

View attachment 1051420

Ukitoka kwenye makundi hatua inayofuata pia Messi ni balaa round 16 mtoano, eneo lao la kuwapiga Arsenal.

View attachment 1051423

Ukianza kuja robo fainali Andunje pumzi inakata maeneo yake ya kupotea hayo.

View attachment 1051426

Imagine mkuu utofauti wa magoli 23 against 10 hapo ndipo unapoona mchezaji anaye step up kwenye mechi kubwa na specialist wa kuzifunga timu ndogo. Robo fainali hakuna timu ndogo na magoli ya messi kidogo.

Twende Nusu sasa ambapo timu zinazidi kuwa ngumu.
View attachment 1051427
Hapo unaona jinsi Ronaldo alivyo bora nusu fainali na Messi anazidi kudrop amepitwa na watu kibao nusu fainali.

Tumalizie na fainali sasa.
View attachment 1051428
Umeona na fainali Tena Ronaldo ni mbaya zaidi anatupia zaidi.

So mkuu nikuulize swali.

Mchezaji mkali hatua ya makundi na mchezaji mkali wa robo, nusu na fainali yupi bora?

Mchezaji mkali wa kutoa pasi za magoli makombe ya kugombania pipi, na mchezaji mkali wa kutoa pasi za.magoli makombe makubwa kama Uefa yupi mkali?

Na sio Uefa tu, hata world cup Messi magoli yake ni hatua za makundi tu, ikifika tu round ya mtoano anapotea kama sio yeye, tumeona fainali na ujerumani ile utafikiri alikuwa anashindana mashindano ya kutembea kwa hiyari kuchangia watoto yatima.

Wakati Ronaldo tumemuona na Portugal hatua zote za mtoano Euro jamaa amesaidia kila goli limetoka kwake. Mechi 6 alizocheza goli 3 na assist 3 average kila mechi ana contribution ya goli 1.
Mkuu naomba takwimu za head to head kati ya King LEO na Gay Ronaldo in all comptition

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Top 7 players with most trophies in Europe
#7. Gerard Pique – 30 trophies
#6. Zlatan Ibrahimovic – 31 trophies
#5. Maxwell – 32 trophies
#4. Andres Iniesta – 32 trophies
#3. Lionel Messi – 33 trophies
#2. Dani Alves – 34 trophies
#1. Ryan Giggs – 35 trophies

NITAFUTIENI RONALDO;););)

Messi anaenda kuvunja hii record very soon coz ana muda mrefu wa kucheza
King wa copa de reymessi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ronaldo anaweza kuwa ni mzuri lakini vigoo wa soka duniani hawampendi kwa sababu ya tabia yake...ni mkorofi, ana majivuno na nyodo, misifa na kadhalika, kwa starehe kama mabibi ndiye mwenyewe..kwa ujumla viongozi wa soka duniani wanamuona Ronaldo siyo Role model mzuri wa soka...Messi ana nyota ya kupendwa na vigogo wa soka duniani kutokana na tabia yake ya upole, ukimya kutokuwa na majivuni..kasoro yake pekee ni kuwa hana mafanikio na timu ya taifa...lakini kwa vigezo vya utandazaji wa soka kwangu mimi Messi yuko juu ya Ronaldo....
Unatufunga kamba mkuuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya maneno mngekua mmeyaanza kuyasema tangu CR yupo Man U.Ila nimeanz kuyasikia nafikiri mwaka 2015 hivi,kama kivuli cha kujifunikia.
Fifa wenyewe wameanza kumkabidhi ballon d or,CR kabla ya messi wenu.
Messi timu na aina ya makocha vimembeba sana.Usifanye masikhara kuwa chini ya mourinho,au benitez
MESSI ni mpira kipaji na ronaldo ni mpira juhudi, kuna alieelewa hapa? kwamimi wote wanajua lakini messi anakitu cha ziada

Write your reply...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Katika top level je? Messi ni nuksi kwa timu ndogo ila ikija at top top level siku zote haonekani.

pasi za magoli champions league
Kwenye copa de la rey sijui wakikutana na betis messi atawatandika magoli na assist mpaka wakome ila ikija kwenye top top level messi sio bora zaidi.

Hawa ndio watoa pasi za magoli bora champions league.
View attachment 1051409

Unaona hapo Messi hajamfikia Hata Giggs na ameachwa mbali na Ronaldo, hio ni Uefa sio copa de la rey ama getafe,ni mahala wanaume wanapokutana, hata kwa pasi za magoli messi hamuwezi Ronaldo at top level.

Ukija kwenye magoli champions league kwenye makundi messi ni Nuksi

View attachment 1051420

Ukitoka kwenye makundi hatua inayofuata pia Messi ni balaa round 16 mtoano, eneo lao la kuwapiga Arsenal.

View attachment 1051423

Ukianza kuja robo fainali Andunje pumzi inakata maeneo yake ya kupotea hayo.

View attachment 1051426

Imagine mkuu utofauti wa magoli 23 against 10 hapo ndipo unapoona mchezaji anaye step up kwenye mechi kubwa na specialist wa kuzifunga timu ndogo. Robo fainali hakuna timu ndogo na magoli ya messi kidogo.

Twende Nusu sasa ambapo timu zinazidi kuwa ngumu.
View attachment 1051427
Hapo unaona jinsi Ronaldo alivyo bora nusu fainali na Messi anazidi kudrop amepitwa na watu kibao nusu fainali.

Tumalizie na fainali sasa.
View attachment 1051428
Umeona na fainali Tena Ronaldo ni mbaya zaidi anatupia zaidi.

So mkuu nikuulize swali.

Mchezaji mkali hatua ya makundi na mchezaji mkali wa robo, nusu na fainali yupi bora?

Mchezaji mkali wa kutoa pasi za magoli makombe ya kugombania pipi, na mchezaji mkali wa kutoa pasi za.magoli makombe makubwa kama Uefa yupi mkali?

Na sio Uefa tu, hata world cup Messi magoli yake ni hatua za makundi tu, ikifika tu round ya mtoano anapotea kama sio yeye, tumeona fainali na ujerumani ile utafikiri alikuwa anashindana mashindano ya kutembea kwa hiyari kuchangia watoto yatima.

Wakati Ronaldo tumemuona na Portugal hatua zote za mtoano Euro jamaa amesaidia kila goli limetoka kwake. Mechi 6 alizocheza goli 3 na assist 3 average kila mechi ana contribution ya goli 1.
Messi vs Ronaldo - Who Is King Of The El Clasico? (Head-to-Head Battle)

On May 6, 2018, the football world will gather to watch the most intense rivalry match in football history. Barcelona will host Real Madrid at the Nou Camp for their second El Clasico match of the season.

While the focus will be on the contest between Barcelona and Real Madrid, the rivalry between Lionel Messi and Cristiano Ronaldo will also some gain attention. These two players have been the stand-out performers in the El Clasico for the past few years. They have scored goals, broken records and lead their respective clubs to victories in this great clash.

The duo have been dominant, and their fantastic records have sparked a lot of arguments among football fans about who's the best.

But the question is, who is truly the king of the El Clasico? We will compare their performances, records as well as the number of victories they have managed to achieve for their respective clubs.

Performances:

Lionel Messi and Cristiano Ronaldo have gained recognition for their consistent dominance over the years. While Messi has regularly impressed fans with his artistic brand of football, Ronaldo has been a deadly machine in front of goal. They have created an amazing duopoly on top of the football world, making it a very difficult task for anyone to separate them.

While it is tough to judge the performances of these superstars in other competitions, the same cannot be said of the El Clasico. Even an exceptional goalscoring machine like Ronaldo cannot match Messi's supremacy when it comes to this great fixture.

The Argentine's statistics in this intense rivalry are superior to those of his Portuguese counterpart. He has scored 25 goals in 37 appearances for Barcelona in the El Clasico, while the Real Madrid winger has only managed to score 17 times in 29 appearances. Messi has a better goal ratio, averaging 0.68 goal(s) per game, compared to Ronaldo's 0.59. He also converted 18.33% of his total 129 shots in this clash, while Ronaldo converted just 13.9% of his total 122 shots.

In addition to his amazing goalscoring exploits, the Argentine also wins the battle when it comes to setting up his teammates. The playmaker has assisted 14 goals and created 65 chances in this fixture, while his rival has just one assist and 15 chances to his name.

Victories

Great players are usually judged based on their ability to lead their respective teams to important victories. Both Messi and Ronaldo are influential figures in their respective clubs,.

When it comes to El Clasico victories, Messi has appeared on the winning side more often than Ronaldo, with 17 wins, 8 draws and 12 losses from 37 matches. The Portuguese, on the other hand, has won 8, drawn 7 and lost 14 of his 29 matches in this fixture. The Argentine also has a superior win percentage of 45.9%, compared to Ronaldo's 27.6%.

Records

Wherever greatness passes, it leaves traces behind. Messi and Ronaldo have justified their greatness in the El Clasico by leaving amazing records behind them. The duo have made some amazing records their own in the world's biggest game.

To start with, Ronaldo is the only player to have scored in 6 consecutive matches in this fixture. He is also the only player to have scored 11 goals at the Camp Nou as well as the most prolific European player in the clash, with 17 goals to his name.

However, despite his brilliance, Lionel Messi also wins the race for the most memorable records in the El Clasico. The Argentine is the all-time scorer, with 25 goals to his name. His 14 assists mean that he has set-up more goals than any other player in the history of the rivalry. In addition, Messi is the all-time scorer at the Santiago Bernabeu, having scored 15 goals at the stadium. He also has the most goals in both the La Liga (17) and the Spanish Super Cup (6).


Conclusion

It is true that both Lionel Messi and Cristiano Ronaldo have been fantastic in the El Clasico. But when it comes to selecting the most influential player in this great fixture, the Argentine clearly has the edge.

Leo has more goals and assists than his Portuguese rival. He has also led his club to more victories in this fixture. At a tender age, the Argentine became the youngest player to score a hat-trick in an El Clasico match. He also went ahead to score another and broke the record for most hat-tricks in the clash.

At 31 years of age, Messi is currently the all-time scorer of the fixture with 25 goals to his name. He will aim to improve that tally when the two clubs reignite their rivalry on Sunday night. With these superior records, the Argentine is definitely the KING of the El Clasico at the moment!




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui unaongekea udogo upi mkuu. Messi ndie mchezaji mwenye magoli mengi El classico ameshaifunga Madrid hatrick mbili kama unataka kutuambia kwa madrid ni timu ndogo. Ameshaifunga Brazil hatrick Brazil sio timu ndogo. Ukienda kwenye dakika alizocheza uefa vs magoli aliyifunga messi ana uwiano mzuri kuliko cr7. Kipengele cha ufungaji wa magoli wanachana vikali, lakini tukija kwenye ukokotoaji wa mpira cr7 haonekani kwenye tatu bora, kwenye kutengeneza magoli hatumuoni kwenye tatu bora. Mess anaonekana mara zote akisumbua timu pinzani kuanzia katikati ya uwanja mpaka kwenye penalt box Wakati cr7 yeye ni kwenye penalt box tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ambazo ni kama celta vigo na nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MESSI RECORDS RONALDO

MESSI WORLD RECORDS

Only player in history to score 40+ club goals in 9 consecutive seasons (2009/10 - 2017/18)

Most FIFA Ballon d'Or awards: 5 (shared with Cristiano Ronaldo)

Most appearances in the FIFPro World XI: 11 times (2007-2017) (shared with Cristiano Ronaldo)

Only player to score in 6 different club competitions in a season twice: 2011/12 and 2015/16

Only player to score in 6 different club competitions in a calendar year twice: 2011 and 2015

Only player to score and assist in 6 different club competitions in a calendar year: 2011

Most goals scored in Club World Cup Finals: 4 goals (shared with Cristiano Ronaldo)

Most appearances in the top 3 candidates for the Ballon d'Or: 11 times (2007-2017)

Guinness World Records title for the most official goals in a calendar year: 91 goals (2012)

Most goals in a calendar year (including club friendlies): 96 goals (2012)

Only player to have scored at three Club World Cups: 2009, 2011, 2015 (shared with Cristiano Ronaldo)

Most consecutive league matches scored in: 21 matches (33 goals)

First footballer ever to score consecutively against all teams in a professional league

Youngest player to win 2 Ballon d'Or awards: 23 years, 6 months and 18 days.

Youngest player to win 3 Ballon d'Or awards: 24 years, 6 months and 17 days.

Youngest player to win 4 Ballon d'Or awards: 25 years, 6 months and 15 days.

Youngest player to win 5 Ballon d'Or awards

Most FIFA Club World Cup Golden Balls: 2 (2009, 2011)

Only footballer to score 60+ goals in all competitions in 2 consecutive seasons (2011/12 and 2012/13)

Football KING


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Katika top level je? Messi ni nuksi kwa timu ndogo ila ikija at top top level siku zote haonekani.

pasi za magoli champions league
Kwenye copa de la rey sijui wakikutana na betis messi atawatandika magoli na assist mpaka wakome ila ikija kwenye top top level messi sio bora zaidi.

Hawa ndio watoa pasi za magoli bora champions league.
View attachment 1051409

Unaona hapo Messi hajamfikia Hata Giggs na ameachwa mbali na Ronaldo, hio ni Uefa sio copa de la rey ama getafe,ni mahala wanaume wanapokutana, hata kwa pasi za magoli messi hamuwezi Ronaldo at top level.

Ukija kwenye magoli champions league kwenye makundi messi ni Nuksi

View attachment 1051420

Ukitoka kwenye makundi hatua inayofuata pia Messi ni balaa round 16 mtoano, eneo lao la kuwapiga Arsenal.

View attachment 1051423

Ukianza kuja robo fainali Andunje pumzi inakata maeneo yake ya kupotea hayo.

View attachment 1051426

Imagine mkuu utofauti wa magoli 23 against 10 hapo ndipo unapoona mchezaji anaye step up kwenye mechi kubwa na specialist wa kuzifunga timu ndogo. Robo fainali hakuna timu ndogo na magoli ya messi kidogo.

Twende Nusu sasa ambapo timu zinazidi kuwa ngumu.
View attachment 1051427
Hapo unaona jinsi Ronaldo alivyo bora nusu fainali na Messi anazidi kudrop amepitwa na watu kibao nusu fainali.

Tumalizie na fainali sasa.
View attachment 1051428
Umeona na fainali Tena Ronaldo ni mbaya zaidi anatupia zaidi.

So mkuu nikuulize swali.

Mchezaji mkali hatua ya makundi na mchezaji mkali wa robo, nusu na fainali yupi bora?

Mchezaji mkali wa kutoa pasi za magoli makombe ya kugombania pipi, na mchezaji mkali wa kutoa pasi za.magoli makombe makubwa kama Uefa yupi mkali?

Na sio Uefa tu, hata world cup Messi magoli yake ni hatua za makundi tu, ikifika tu round ya mtoano anapotea kama sio yeye, tumeona fainali na ujerumani ile utafikiri alikuwa anashindana mashindano ya kutembea kwa hiyari kuchangia watoto yatima.

Wakati Ronaldo tumemuona na Portugal hatua zote za mtoano Euro jamaa amesaidia kila goli limetoka kwake. Mechi 6 alizocheza goli 3 na assist 3 average kila mechi ana contribution ya goli 1.
Thread closed nitashangaa kama kuna mtu ataendelea kubisha tena
 
Haya maneno mngekua mmeyaanza kuyasema tangu CR yupo Man U.Ila nimeanz kuyasikia nafikiri mwaka 2015 hivi,kama kivuli cha kujifunikia.
Fifa wenyewe wameanza kumkabidhi ballon d or,CR kabla ya messi wenu.
Messi timu na aina ya makocha vimembeba sana.Usifanye masikhara kuwa chini ya mourinho,au benitez

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro mbona kama hauujui mpira wa miguu? sijakuelewa unaposema messi anabebwa na timu na wachezaji, unaujua kwel mpira wa miguu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom