Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
kumuacha itakuwa msamaha kutoka kwa mungu. Ndio maana hatujihangaishi kwenda kupima. Manake nikipima nikakuta si wangu yatatoke haya katika familia yangu:
Mtoto atahamia kwenye maskani ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu
mama kama hatakuwa marehemu atakuwa mteja wa kudumu pale moi
mimi nitakuwa mwanachama hai pale segerea, nikisubiri signecha ya prezidenti (kama waifu hatakuwa mteja wa kudumu moi)
mungu apitishe mbali!!!
nakushauri ucshawishike kupima hayo ma dna.