The truth about u women

kumuacha itakuwa msamaha kutoka kwa mungu. Ndio maana hatujihangaishi kwenda kupima. Manake nikipima nikakuta si wangu yatatoke haya katika familia yangu:
Mtoto atahamia kwenye maskani ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu
mama kama hatakuwa marehemu atakuwa mteja wa kudumu pale moi
mimi nitakuwa mwanachama hai pale segerea, nikisubiri signecha ya prezidenti (kama waifu hatakuwa mteja wa kudumu moi)

mungu apitishe mbali!!!

nakushauri ucshawishike kupima hayo ma dna.
 
Very simple:
Kwanza hujamkuta bikira, na wanasema wanawake huwa hawawanyimi waliowakata bikira. Bahati mbaya simjui aliyembikiri. Kama yuko mitaa ya karibu basi tena, inabidi tu ujipe moyo siku zisonge mbele.
Pili kuna haya mafataki aggggggggggggrrrrrr ngoja nisiendelee nisijesababisha watu wagawe talaka zao kwa wake zao leo na mapema

upo very wrong, mie alienitoka bikra hata nikilala nae miaka mitano kitanda kimoja hawezi kunimega kabisa, yaani namegwa na mtu ninaempenda tu
 
Kumuacha itakuwa msamaha kutoka kwa Mungu. Ndio maana hatujihangaishi kwenda kupima. Manake nikipima nikakuta si wangu yatatoke haya katika familia yangu:
Mtoto atahamia kwenye maskani ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu
Mama kama hatakuwa marehemu atakuwa mteja wa kudumu pale MOI
Mimi nitakuwa mwanachama hai pale Segerea, nikisubiri signecha ya prezidenti (kama waifu hatakuwa mteja wa kudumu MOI)

Mungu apitishe mbali!!!

Kweli Mungu akuepushie mbali...
 
nakushauri ucshawishike kupima hayo ma dna.
Hahahaha! sure sissie!!

upo very wrong, mie alienitoka bikra hata nikilala nae miaka mitano kitanda kimoja hawezi kunimega kabisa, yaani namegwa na mtu ninaempenda tu
Nashukuru kukufahamu. Kumbe wewe ni she? Tena umeolewa na mwanaume ambaye hakukubikiri! Utafiti unaendelea....
 
upo very wrong, mie alienitoka bikra hata nikilala nae miaka mitano kitanda kimoja hawezi kunimega kabisa, yaani namegwa na mtu ninaempenda tu

Hujamwelewa Chriss yeye anazungumzia uzoefu! Huenda ameisha bikiri kama kinadada hamsini hivi......anweza kuja thibitisha hilo.
 
Naomba kukuuliza swali BAK, kwa mfano mtoto amezaliwa hamjafanana... tuseme umemlea akafikisha miaka mitatu ukampeleka huko kwenye Ma-DNA yenu, utamuacha mkeo? Je usipogundua akakwambia ukweli mtoto amefikisha umri wa kuoa/kuolewa... utafanyaje??

Hakuna ndoa hapo Mkuu! Ni wanaume wachache sana wenye moyo kama huo wa kuendelea kwenye ndoa baada ya kugundua mtoto si wake. Mtoto naweza kabisa kuendelea kumtunza lakini ukweli hautafichika kwamba huyo mtoto si wangu. Na kama mwenye mtoto wake aliambiwa kwamba yeye ndiye baba na akaanza kumdai mwanae basi hata matunzo ya huyo mtoto hayanihusu tena.
 
Iko namna hii:
umesema kwamba ana i quote.."Na ni kwa sababu hii,jamaa mmoja aliniambia siku mmoja kwamba kwa kuwa mama yako ni mtu wa kigoma basi waha wote wa jinsia ya kiume ni wajomba zako,mie mdomo wazi.Hivyo mpwa kama wewe ni muha sema kabisa nianze kukuita mjomba."

kama waha wote ni wajomba zako... ina maana bibi mzaa mama alihusiana na wanaume wangapi hadi wazaliwe wajomba-waha UPATE KUWA NA WAHA WOTE WAJOMBA?..Its mind boggling somehow..ila kwangu mimi naona ni kashfa kwa mama wa mama yako, na hii by extension kashfa kwa mama na kashfa kwako... i may be wrong..labda unieleweshe ndugu yangu.
WoS nawe kwa ku-extrapolate kiboko.
 
upo very wrong, mie alienitoa bikra hata nikilala nae miaka mitano kitanda kimoja hawezi kunimega kabisa, yaani namegwa na mtu ninaempenda tu
Kwa hiyo kama ukinipenda kitaeleweka? Hebu niPM fasta tuongee. Ila ukweli uko pale pale aliyekubikiri huwezi msahau, na akihitaji tunda lazima umlishe. Period!

Hujamwelewa Chriss yeye anazungumzia uzoefu! Huenda ameisha bikiri kama kinadada hamsini hivi......anweza kuja thibitisha hilo.
:dance::dance::dance::smiling::smiling::smiling::whistle::whistle::whistle:
 
Kwa hiyo kama ukinipenda kitaeleweka? Hebu niPM fasta tuongee. Ila ukweli uko pale pale aliyekubikiri huwezi msahau, na akihitaji tunda lazima umlishe. Period!


:dance::dance::dance::smiling::smiling::smiling::whistle::whistle::whistle:
Thats not true.Vipi kama ulibakwa na ukatolewa ubikira?au aliyekutoa ubikira kaamua kuwa padre? Au humpendi tena?Kama aliyekutoa ubikira ni mumeo basi hapo tu ndio access will always be granted!
 
Thats not true.Vipi kama ulibakwa na ukatolewa ubikira?au aliyekutoa ubikira kaamua kuwa padre? Au humpendi tena?Kama aliyekutoa ubikira ni mumeo basi hapo tu ndio access will always be granted!
Ahaaa! Basi ngoja niweke wazi. Aliyekubikiri kwa hiari yako, hata asipokuoa huwezi kumsahau. Na mtakapokutana akitaka mzigo LAZIMA utampa. Hiyo imekaaje hapo?
 
Back
Top Bottom