Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
You are very wrong mama wa sabusitensi.Iko namna hii:
umesema kwamba ana i quote.."Na ni kwa sababu hii,jamaa mmoja aliniambia siku mmoja kwamba kwa kuwa mama yako ni mtu wa kigoma basi waha wote wa jinsia ya kiume ni wajomba zako,mie mdomo wazi.Hivyo mpwa kama wewe ni muha sema kabisa nianze kukuita mjomba."
kama waha wote ni wajomba zako... ina maana bibi mzaa mama alihusiana na wanaume wangapi hadi wazaliwe wajomba-waha UPATE KUWA NA WAHA WOTE WAJOMBA?..Its mind boggling somehow..ila kwangu mimi naona ni kashfa kwa mama wa mama yako, na hii by extension kashfa kwa mama na kashfa kwako... i may be wrong..labda unieleweshe ndugu yangu.
Kwetu sisi waafrika tuliobobea katika mila na desturi zetu, wanawake wote wenye asili ya jamii ya kwetu ni mama zangu (ukiondoa yule ntakayemuoa labda). Mathalani mimi ni mchaga, akatokea mtu wa kabila tofauti akamuoa mchaga mimi ntamuita shemeji hata kama aliyeolewa si dada yangu. Sasa kama Mheshimiwa mama yake ni mha, halafu mama yake huyo akaolewa na mkwere, basi waha wote wa kiume ambao kimila ni kaka zake mama yake anastahili kuwaita wajomba. (Hapa ni kimila na kidesturi zaidi lakini, sijui nyie wenzetu msiosimamia mila na desturi zetu) Samahani kama hujanielewa, jana sikunywa za kutosha!!