The Trusted is Always Trusted: Tanzania's Kikwete to Lead the Xenophobia Probe Team

Moi alikuwa dikteta kama Jiwe. Kawaida ya madikteta ni kwamba huwa wanazamia kusikojulikana wakishaondolewa madarakani. Mwai Kibaki alikuwa rais wa kuigwa ila umri wake na afya pia zimemfanya awe mtulivu. Tegemea kuona mengi kutoka kwa rais U.K muhula wake wa pili ukiisha.
Dikteta anasifika internationally???!!!!!
 
Ramaphosa has asked for the help of two former presidents of Tanzania and Mozambique to assist in delving into finding the root cause of xenophobia in South Africa.

During the Joint Sitting of Parliament on the crisis of violence in South Africa, President Cyril Ramaphosa announced that he has sent a select group of African leaders on a fact-finding mission regarding the recent spate of xenophobia that broke out in the country.

At the crux of Wednesday’s joint sitting was the violence against foreign nationals that has since placed South Africa at diplomatic odds with the rest of the continent. Former Tanzania president, Jakaya Kikwete and Joachim Chissano, Mozambique’s former head of state to undertake a fact-finding mission on what led to the violent protests in South Africa.

“They would then make recommendations on the measures we can take to prevent such incidents from happening again,” Ramaphosa explained.
He further revealed that there were plans in place to launch engagements with ” local and international humanitarian organisations as well as the various diaspora forums on an initiative to tackle xenophobia and intolerance.”



Cc: mahondaw
 
Moi alikuwa dikteta kama Jiwe. Kawaida ya madikteta ni kwamba huwa wanazamia kusikojulikana wakishaondolewa madarakani. Mwai Kibaki alikuwa rais wa kuigwa ila umri wake na afya pia zimemfanya awe mtulivu. Tegemea kuona mengi kutoka kwa rais U.K muhula wake wa pili ukiisha.
Uhuru huyu huyu aliyeongoza Mungiki kufanya mauwaji makubwa 2007?
Uhuru aliyeuwa mashahidi wote wa kesi yake The Hague?

Stupid Kikuyu boy.
 
Angalau wewe huwa msemakweli, wenzako wote wanamuabudu Uhuru. Kila kitu akifanya Uhuru kwao ni sawa sababu ni Msapere mwenzao.
Kwa hivyo nyinyi Watanzania ni primitive?? 😂😂😂😂
 
Uhuru huyu huyu aliyeongoza Mungiki kufanya mauwaji makubwa 2007?
Uhuru aliyeuwa mashahidi wote wa kesi yake The Hague?

Stupid Kikuyu boy.
Matusi ni ya nini tena? Rais Uhuru Kenyatta ni diplomatic by nature ,usitegemee kwamba akimaliza muhula wake wa pili atazamia kwenye kaburi la sahau. Alafu pia kuna 'age factor', haya ni masuala ambayo yapo wazi na yanachambuliwa na wataalamu wa siasa kila uchao. Kuhusu influence ambayo rais U.K atamaintain hata baada ya urais wake, tofauti na marais wa hapo awali. Alafu kumbuka kwamba sio madai yako au hisia zako ndio zinazingatiwa mbele ya sheria. Kisheria rais U.K. hana la kujibu, kesi ilifika mbele ya ICC na itakupiliwa mbali na jopo la majaji, kesi ya DP Ruto pia. Time will tell, hamna haja ya ubishi mwingi na fujo.
 
Matusi ni ya nini tena? Rais Uhuru Kenyatta ni diplomatic by nature ,usitegemee kwamba akimaliza muhula wake wa pili atazamia kwenye kaburi la sahau. Alafu pia kuna age factor na mbele ya sheria hana la kujibu, kesi ilifika mbele ya ICC na itakupiliwa mbali, ya DP Ruto pia. Time will tell hamna haja ya vurugu na ubishi.

Tunaomba tu mumkumbuke Ruto kwenye ufalme ujao.
 
Matusi ni ya nini tena? Rais Uhuru Kenyatta ni diplomatic by nature ,usitegemee kwamba akimaliza muhula wake wa pili atazamia kwenye kaburi la sahau. Alafu pia kuna age factor, haya ni masuala ambayo yapo wazi na yanachamuliwa na wataalamu kila uchao. Kuhusu influence ambayo rais U.K atamaintain baada ya urais wake tofauti na marais wa hapo awali. Alafu kumbuka kwamba sio madai yako au hisia zako ndio zinazingatiwa kisheria. Mbele ya sheria rais U.K. hana la kujibu, kesi ilifika mbele ya ICC na itakupiliwa mbali na jopo la majaji, ya DP Ruto pia. Time will tell, hamna haja ya vurugu na ubishi.

Sasa unapata wapi jeuri ya kumuita JPM dikteta? Mbona hana kesi yoyote hata hukoThe Hague?
Grow up!!
 
Sasa unapata wapi jeuri ya kumuita JPM dikteta? Mbona hana kesi yoyote hata hukoThe Hague?
Grow up!!
Kwahivyo tusi lilikuwa revenge ya mimi kumuita Jiwe dikteta?
Kwani ni maneno yangu, si ni nyinyi wenyewe ndio mnamuita dikteta? Haya yalikuwa maoni ya ma askofu wa kanisa katoliki Tz.
 
Sasa unapata wapi jeuri ya kumuita JPM dikteta? Mbona hana kesi yoyote hata hukoThe Hague?
Grow up!!
Wajinga hawa, ni gere tu wanamwonea wivu jiwe linavyochapa kazi. Alafu wanomchukia JPM ni wale wa central, pro jubilee, hawapendi venye anawa outperform, waluo na de rest majority kenyans wanamkubali sana magu.

All in all, real men needs haters.
 
Wajinga hawa, ni gere tu wanamwonea wivu jiwe linavyochapa kazi. Alafu wanomchukia JPM ni wale wa central, pro jubilee, hawapendi venye anawa outperform, waluo na de rest majority kenyans wanamkubali sana magu. All in all, real men needs haters.
Acha zako wewe, wakenya hawana interest na siasa za Tz kiasi cha kuunga mkono upande wowote, iwe chama tawala ama upinzani. Wakenya hawajui hata jina la makamu wa rais wa Tz, waziri mkuu wala kiongozi wa upinzani na vyama vyenu vya kisiasa. Stop playing the victim.
 
Kwahivyo tusi lilikuwa revenge ya mimi kumuita Jiwe dikteta?
Kwani ni maneno yangu, si ni nyinyi wenyewe ndio mnamuita dikteta? Haya yalikuwa maoni ya ma askofu wa kanisa katoliki Tz.

 
Sawa upo sahihi Anko but acha tumpraise magu maana ni zaidi ya miaka 20 watz hatukutendewa haki ya kimaendeleo...sema kwa kuwa sisi tumekuzwa kwa misingi ya kuvumiliana, hatukuleta mzozo wowote zaidi ya kuongea tu na hiyo ndio siraha yetu kuu, watz kuongea hakuna mtu anatuweza hata Uhuru tulipata kwa kuongea tu! Hatukushika bunduki sisi..
So tz tutaendelea kuwa wamoja na tutasonga mbele maana tunaongea mpaka utasikiliza hata kama hutak hata uwe kiongozi si tunaongea mpaka utasikia ila ugomvi mwiko, tuna nature ya kutopenda shida... Hatuwezi pigana mapanga ka the northern hahahaha
Hawa Watanzania kwa maoni yangu bado wako na tabia primitive kwa kupraise mtu mmoja kama Mungu. Yaani Jiwe anapewa sifa kama Mungu. Kenya hakuna upuzi kama huo. Pengine wakati wa Moi lakini hio iliisha. Hata Uhuru hapewi sifa kiasi hicho.
 
Hivi wale Marais wakora wastaafu wa Kenya huenda wapi?
I always hear Mkapa and Kikwete kwenye Majukwaa ya Kimataifa,
What about Nyayo? ama Kibaki?
Hahahahaaaa. Ulivyomtaja Mwai Kibaki nikamkumbuka Samwel Kivuitu halafu nikakumbuka maneno aliyosema Kabudi wakati ile kuhusu Kivuitu. "KABAKA DEMOKRASIA". Hao ma presidaa huwa wapo tu wanakula mihela yao,siasa tena za nini???!
 
Kibaki aliiba kura na kisababisha vita 2007. Karibu arudishe nchi hadi stone age.

Kikwete na wenzake ndio walisaidia kukwepa janga.
Kibaki kosa lake lilikuwa ni kuiba kura tu lakini hakuhusika kwa kupanga mauwaji. Waliopanga mauwaji ni wengine na wanajulikana duniani kote. Kibaki hana uhusiano na hayo mauwaji. Dosari moja katika uongozi wake ni kuiba kura pekee. Kuna tofauti kubwa kati ya kuiba kura na kupanga mauwaji. Lakini alitenda mengi mazuri kwenye sekta ya uchumi. Moi alifilisisha nchi. Aliiba pesa yote na kupea marafiki zake. Alikuwa dikteta mjinga ambaye hakujenga barabara wala reli wala lolote, kazi ilikuwa ni kuiba tu mali ya umma na kufunga jela wapinzani wake. Kibaki alitutoa kutoka 0% economic growth hadi 7% economic growth in 2007 (the highest ever for Kenya). Kibaki aidha Alijenga au alirehabilitate barabara kutoka Mombasa hadi Nairobi, Nairobi hadi Nakuru, Nakuru hadi Kisumu. Emali hadi Oloitoktok. Thika road ndio barabara pana zaidi East Afrika ni Kibaki ndiye aliijenga. Pia alianzisha planning for Isiolo hadi Moyale. Alianzisha planning for SGR kutoka Mombasa hadi Nairobi. Konza city pia alianzisha. Miradi ya Northern, Eastern and Southern bypass za Nairobi za kupunguza jam kwa kuzuia magari kuingia CBD na kuyazungusha nje ya Nairobi Kibaki ndiye aliplan na kuyaanzisha , hayo
na mambo mengi zaidi ikiwemo kupanua uhuru wa wanahabari, nikiendelea nitajaza server hapa. Uhuru pia yuko sawa kwa kujenga miundombinu kwani ni mwanauchumi kama kibaki na anaelewa umuhimu wa infrastructure katika uchumi na amejaribu kufuata nyayo ya Kibaki lakini Kibaki ndiye aliyepewa uchumi mbovu uliokuwa unakuwa kwa zero percent na baada ya miaka mitano kuukimbisha hadi 7%. Yule ni the real economist.
 
Kibaki kosa lake lilikuwa ni kuiba kura tu lakini hakuhusika kwa kupanga mauwaji. Waliopanga mauwaji ni wengine na wanajulikana duniani kote. Kibaki hana uhusiano na hayo mauwaji. Dosari moja katika uongozi wake ni kuiba kura pekee. Kuna tofauti kubwa kati ya kuiba kura na kupanga mauwaji. Lakini alitenda mengi mazuri kwenye sekta ya uchumi. Moi alifilisisha nchi. Aliiba pesa yote na kupea marafiki zake. Alikuwa dikteta mjinga ambaye hakujenga barabara wala reli wala lolote, kazi ilikuwa ni kuiba tu mali ya umma na kufunga jela wapinzani wake. Kibaki alitutoa kutoka 0% economic growth hadi 7% economic growth in 2007 (the highest ever for Kenya). Kibaki aidha Alijenga au alirehabilitate barabara kutoka Mombasa hadi Nairobi, Nairobi hadi Nakuru, Nakuru hadi Kisumu. Emali hadi Oloitoktok. Thika road ndio barabara pana zaidi East Afrika ni Kibaki ndiye aliijenga. Pia alianzisha planning for Isiolo hadi Moyale. Alianzisha planning for SGR kutoka Mombasa hadi Nairobi. Konza city pia alianzisha. Miradi ya Northern, Eastern and Southern bypass za Nairobi za kupunguza jam kwa kuzuia magari kuingia CBD na kuyazungusha nje ya Nairobi Kibaki ndiye aliplan na kuyaanzisha , hayo
na mambo mengi zaidi ikiwemo kupanua uhuru wa wanahabari, nikiendelea nitajaza server hapa. Uhuru pia yuko sawa kwa kujenga miundombinu kwani ni mwanauchumi kama kibaki na anaelewa umuhimu wa infrastructure katika uchumi na amejaribu kufuata nyayo ya Kibaki lakini Kibaki ndiye aliyepewa uchumi mbovu uliokuwa unakuwa kwa zero percent na baada ya miaka mitano kuukimbisha hadi 7%. Yule ni the real economist.
Wakenya ni watu wa ajabu sana hapa duniani, hivi mnajitambua kweli?

1) Unaposema Moi aliiba na kuwafunga au kuwanyanyasa wapinzani wake, mbona hakuchukuliwa hatua za kisheria Mara tu alipitoka madarakani?, hadi Leo Moi anapewa heshima kubwa sana hapo Kenya, mbona Jacob Zuma yupo mahakamani hivi sasa kwa tuhuma za rushwa na wizi, hivi hiyo nchi yenu haina sheria?.

2) Unaposema waliohusika na mauaji wanajulikana na dunia nzima, kwanini msiwakamate na kuwapeleka mahakamani? " is Kenya a banana Republic?".

Hivi mnashindwa na nchi kama Rwanda ambako hadi Leo waliohusika na mauaji wanatafutwa na kufikishwa mbele ya sheria?.

Kuna kila dalili kwamba Uhuru na Rutto walihusika, Fatou Binsudou anakusanya upya ushahidi wake ili kuendeleza mashitaka yao baada ya kutoka madarakani.
 
Back
Top Bottom