Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,220
- 12,933
Juzi nimeangaalia Movie mpya inayoitwa The Tomorrow War baada ya kuisha nikajikuta natafakari! Je! tayari wataalamu wa mambo wameshasafiri kwenda miaka 10-20 mbele wakarudi ni jibu juu ya kinachokuja huko mbeleni?
View attachment 1852626