hehehehehe kama ni mimi nahama shulemwalimu wa shule ya msingi alikua anafundisha darasani akajamba na siku iyo ilikua ya mwisho wakafunga shule walipofungua akauliza tuliishia wapi wanafunzi .......watoto wakamjibu pale ulipojamba mwalimu.....mwalimu akaacha kazi
hhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa alijutajeeeeeeeeeeeeeBi Mkubwa alikuwa anahisi Mumewe anatoka na Housegal as kila siku 9t mumewe ufungua mlango taratibu afu anatoka chumbani, so mama akaamua kuweka mtego! Siku ya siku ile Mshua katoka tu 9t, maza kaamka fasta kaenda kwa housegal kamwambia ajifiche uvunguni afu ye akajilaza kwa kitanda kajifunika shuka taa imezimwa! Jamaa kama kawa kaingia ndani taratibu, kafanya mambo yake fasta fasta alivyomaliza maza kawasha taa ili ampe makavu kwa tabia yake mbovu ya kumdhalilisha kwa kutembea na housegal! Kuwasha taa duh! Maza bado nusu azirai! Kumbe ni Houseboy banah! Ha! Ha! Ha! Huku nje anackia mumewe anamtafuta!
kama kenya yanihehehehehe kama ni mimi nahama shule
ahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mwalimu kijambosasa we unadhani kutakalika tena hapo,kila siku ukienda kipindi utasikia ''mwalimu kijambo amekuja''
ina mana yy yuko na makosa kibao loh!Mateja wakipiga story.
Mteja 1..................mwanangu mi leo usiku nilikuwa naota nakula mkate kuamka kumbe nimekula godoro.
Mteja 2..................mwana heri wewe mi niliota nimefariki na nikafika mbinguni,Mungu akatuamrisha kila mtu aandike
makosa yake kwenye karatasi,baada ya dk 10 nikamsikia mshikaji mwingine akisema ''another paper please''
Mshabiki wa Man U alichelewa kuamka leo.. Ilipofika saa moja ahsubuhi, mke wake akawa anamuamsha "wake up honey, it's 7!" Jamaa kakurupuka na presha anamuuliza mkewe "Uwii!.. wameongezaa tena!!!...