The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Itashangaza watu wakianza kuhusisha kifo cha Gaddafi na mambo ya kidini, mfumo wa utawala na siasa ndivyo hasa vilivyohusika na sidhani kama kuna dini itafurahia mauaji labda tu itaongelea sababu zilizopelekea hayo mauaji.
 
Mkuu nimefatilia sana vyombo vya habari vya nje,vimekuwa vikisema walibya wanafurahia kuuwawa kwa Gaddafi,cha kushangaza naona ni vikundi vya watu wachache wachache......siyo kwamba namtetea Gaddafi lakini nchi hz za kiafrika ili ziweze kupata maendeleo lazma kiongoz atumie njia zote ikiwemo na dictatorship...alichotakiwa kujifunza Gaddafi ni kuwa si mtu mmoja anayeweza kuongoza nchi milele....all in all nahic Libya haitakuwa na amani ya kudumu kama ilivyo kwa Iraq,Afhganstan
 

kaacha misikiti yake ambayo watz wanmkumbuka. Sielewi na sijaelewa, kiongozi mmoja anadiriki kusema eti watz watamkumbuka sana kwa mema. Hivi watz wote wanasali kwenye huo msikiti wa gadhafi ulioko dodoma? Viongozi oneni aibu na mwogopeni mungu kuona kila mtanzania kuwa ananufaika na msikiti huo.

Acha aende wamebaki viongozi wengine wanaotumia nafasi zao kwa manufaa yao binafsi au dini zao kama iliyo sasa hapa tz
 

acha ukenge ww , kila siku mnawasingizia wazungu wazungu et marekan mara ulaya mara westen country
mpaka lini ss waafrika tutakuwa tumejitambua kuwa ss n mabwege
kwan huyo mzungu akikutumia anakulazimisha huwez kataa
m nasema ukenge n wetu wenyewe kutokua na umoja na kuendekeza ubinafsi
NA WAZUNGU KWA KULIJUA HILO BASI WANATUTUMIA KAMA MABOYA VILE
LAST BUT NOT LEAST ******* N SS WAAFRIKA KUKUBALI KUTUMIWA KUTOKANA NA USENGE WE2!
 

Jamani sioalikuwa muumini Allah Subhana u Wataalah na anajenga miskiti? Mbona skuelewi hapa?


Aha kumbe unamaanisha hakumjua Mungu wa kweli aliyejifunua kupitia Yesu Kristo, sasa nimekupata ndugu yangu maana huyo ndiye njia kweli na uzima mtu haingii mbinguni isipokuwa kupitia katika Yeye huyo tu, soma Injili ya Yohana 14:6. Tena huyu jamaa si ndiye alisema Biblia sio kitabu cha Mungu eheee halafu tena kajiita Mfalme wa Wafalme huyu alimkufu Mungu Mkuu na muumba mbingu na dunia ndiyo maana kafanywa hivi. Kwa hiyo kwa ufupi tu kifo chake kina mkono wa Mungu aliye hai, soma Daniel 1:40-43; Ufunuo 19:15-16.
 
Dakika chache kabla ya mauti kumkuta, taarifa zinabaini kukutwa kwake na silaha ya mwisho mkononi; bastola iliotengenezwa kwa dhahabu tupu.

Hii ilikua ni eneo fulani kwenye li-kalivati iliochimbwa chini ya barabara. Ilikua ni baada ya kupata majeraha mabaya sana kutoka kwa shambulio la anga kutoka kwa NATO kwenye kiji-gorofa alikojificha na kundi la mwisho wa jeshi wenye kumuamini hadi kufa.

Katika kukimbia kwao kujiokolea maisha kwingineko ndipo wakaamua kuingia chini ya kalivati ambapo kulikua na miili miwili kwenye lango lake kabla ya mtu yeyote kuweza kutia jicho kwa Gaddafi ambaye bado alikua hai.

Maiti hizo moja ilikua ni ya 'Mwamnyange' wake na nyingine ikiwa ni wa mkurugenzi wa usalama wa taifa la Libya.
 
 
Gagaff hakusitahili mwisho huu hata kama ana madhambi ingependeza wote tungejiridhisha makosa ya kustahili mwisho huu.... waarabu walibya walioungana na nchi za magharibi kummaliza Gagaff kwa mwisho huu hawatakaa salama ndani ya Libya na dhambi hii naomba iwamalize wale wote wanaofikiri anayetumia upanga ni lazima alipwe kwa upanga. Kama Gadaff alifanya kosa basi na hawa wamefanya kosa ambalo halitawafanya wakae salama baada ya kifo cha Gadaff. Wangejijengea heshima iliyotukuka kama wangemkamata Gadaff na kumfungulia mashitaka na kisha sheria ingechukua mkondo wake
 

Kweli nakubaliana na wewe, kosa la Gaddafi ni kumkufuru Mungu, ni kosa kubwa kujiita MFALME WA WAFALME. MAANA MUNGU AMEAPA HATASHEA UTUKUFU WAKE NA MWANADAMU. NA YEYE NI MUNGU MWENYE WIVU. MUNGU ANAPOMUINUA MWANADAMU NI ILI YEYE MWENYEWE AINULIWE NA SI MWANADAMU AJIINUE.
 
Watu walisema Obama wanahisi atauwa,au walisema Iraq au Afghanistan zisingetulia leo kimya kimya tunaanza kusau mabomu ya milipuko ya Nchi hizo na tunaaanza kuona picha za matukio mengine kabisa.Libya na mataifa mengine yatajengwa na kupewa ushirikinao na marafiki wao wa kweli,ubaya imekula kwetu kwa kuwa viongozi wetu wamekosa maono [Vision] wengelijua wakasimama katika misingi ya kusimamia sauti kama

"TUNAUNGA MKONO MHESHIMIWA RAIS WA LIBYA KUWASIKILIZA RAIA WAKE NA KUCHUKUA MAAMUZI KWA MUJIBU WA MATAKWA YA RAIA ZAKE "


Sentensi kama hii,leo hii tusingejichongeaa kwenye mapinduzi haya kwa kuwa Nchi ni Mali ya Raia na si kuwa ni Mali Ya Gadhafi na Serikali na Wapambe wake wa Karibu.

Leo hii tumetengeneza ukuta wa kidplomasia wa umma na Taifa hilo la Libya,nashukuru Mungu Kikwete aliliona hilo akalekebisha kwa kutumia uzoefu wake pale alipokuwa United Nations.Ila kwa hapa Nchini Waziri wa Mambo ya Nchi Za Nje amekuwa akiliweka katika Sura mbaya na isiyopendeza kwa kuwajengea wanachi muono mbaya wa sura halisi ya mapinduzi ya Umma ya Libya.Mimi binafsi imekuwa inanichefua vibaya pindi anapoongelea siasa za dunai mpya zinazoendela hasa habari za mapinduzi ya Nchi za Kiarabu.

Sasa ni zamu ya Syria na Yemen sijui ataweka nyongo gani ndani ya Wananchi kuendelea kuichukia Marekani kwa visingizo vya kijinga pasipo kuangalia ukweli halisi.

Nakumbuka miaka ya Nyuma watanzania walilishwa chuki mbaya sana swala la YUGOSLAVIA NA KOSOVO kiasi kuwa kuna mataifa yalibambikiziwa misimamo ya kiovu leo hii kosovo na Yugoslavia ni mataifa yanasonga mbele kustawisha Taifa.

Viongozi wetu wajitume kusoma alama za nyakati [Vision] wasimamie upande wa wenge hiyo ndo asili yetu toka enzi ya Mwalimu aijalishi alikuwa anatupatia nini?Isingekuwa busara za kikwete kuonyesha kuwa yuko pamoja nao kabla ya kifo cha huyu jamaa na hakika mafuta ya Libya tungeyaskia kwenye bomba.


Rais Wa Tanzania Jakaya Kikwete na Kiongozi wa Mapinduzi Ya Libya Mustafa Abdel -Jalil walipokutan Nwe York United Nations

Rais Jakaya Kikwete na Kiongozi huyo wa Libya Wakifanya Mazungumzo Muhimu ya faragha tena yanaonekana Matamu kwelikweli [Yani kwa tafsili Nyingine ni Mtanzania anaongea na Mlibya kama Marafiki wanaotegemeana kwa ushirikiano]

Rais Jakaya Kikwete na Kiongozi huyo wakitakina mikonno ya heri kuwa tuko pamoja [Tafsiri sahihi ni kuwa Mtanzania anamtakia heri Mlibya ambae ni rafiki yake kwa mafaniko yake].Hapa ndipo uwa naona kweli jamaa huyu anastahiki Kofia take ya Udaktari wa Heshima ya Juzi ya SHERIA ya Chuo kikuuu

Rais Jakaya Kikwete akimtambulisha Barozi wa Kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Bwana Ombeni Sefue.

View attachment 39644
Haaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!! Enzi hizo imebaki kuwa story aksnnte Kikwete kwa kucheza pele kuwa ulifanya kuwakubali Wapinzani wa Gadhafi kabla HAJAFA vinginevyo tungeweka wapi sura kujitokeza kuonyesha tuko pamoja nao baada ya kuona huyu asieleweka na mkosa utu kashindwa.Lakini leo tuko kifua mbele kwa kuwa uliwatakia heri toka mwanzo RAFIKI WAKATI WA DHIKI NDIO RAFIKI WA KWELI,LEO WAKIKUPA MAFUTA KWA AJILI YA RAIA WAKO NI HAKI YAKO.

Ila bado nalia na wewe na UFISADI WA BONGO, japo ukuuanzisha lakini watanzania wanataka kuona unaumaliza !!!!!!!!!!!!!!!!
 
RIP Gadhafi. Maisha yetu hapa duniani ni mafupi. Ni muhimu kila mmoja wetu kuwa mtumishi wa WATU kuliko kuwa MFALME WA WAFALME. Viongozi wetu wa kiafrika hawazingatii haya. Daima maneno ni mengi kuliko vitendo, kupendelea ndugu na rafiki zao, kukandamisha wapinzani wao wa kisiasa kwa kutumia vyombo vya usalama, kupindisha sheria na katiba kwa manufaa yao. Mara unasikia fulani ni Rais wa Maisha au katiba ibadilishwe ili apate muda wa kutekeleza manifesto ya chama chake na UONGO mwingine mwingi.
 
Gadaff hakuwa wa waislamu tu kama baadhi ya watu wanavyotaka tuelewe hivyo, Gagaff amesaidia jamii nyingi na nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania na fedha yake walikula watu wa jamii yote bila kuja dini, kabila na hata rangi kama alikuwa ni mhalifu kwa upande mwingine bado sheria za haki za binadamu zinazuia kutoa adhabu bila kufuata misingi ya sheria. wengi tulikuwa na matumaini kwamba Gadaff angekamatwa akiwa hai na hasa kwa umri wake mkubwa ambao ulikuwa unaelekea mwisho wa maisha yake duniani
 
Hatujapiga hatua yoyote ndani ya miaka hamsini ya uhuru juu ya vyombo vya habari, tuige mfano wa nchi jirani zetu kama Kenya na Uganda!
 
Picha ya kwanza ndani ya freezer la mboga'
Picha ya pili watu wakiwa kwenye foleni






 
Sasa Great thinker Kila nchi ikipeleka au kila chombo cha habari kikipeleka mwandishi yaani mshika mike picha mnatoi na mpicha mtembeo na mshika mnara wa ku broadcust hayo matangazo si kitakuwa kiloja. Great thinker bbc na voa na aljzeera vinatosha bana.

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…