Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Miaka michache ijayo tutashuhudia CCM ikiungana na vyama vikongwe duniani kuingia katika vitabu vya HISTORIA, vya kiada na ziada, vya kufundishia shule za msingi na sekondari na vyuo.
Tutashuhudia, kwa mfano, maswali ya kiistoria kama:-
1.Jadili sababu za kukua na kuanguka kwa CCM
2. CCM ni adui wa maendeleo Tanzania. Elezea kwa ufupi.
3....
Tutashuhudia, kwa mfano, maswali ya kiistoria kama:-
1.Jadili sababu za kukua na kuanguka kwa CCM
2. CCM ni adui wa maendeleo Tanzania. Elezea kwa ufupi.
3....