Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,671
- Thread starter
- #161
Tayari shemu mimekuaddshemu add me too
Tayari shemu mimekuaddshemu add me too
new juventus fanHere comes Kichwa. The new Juventus fan!
Treller kama muvie. Nishaagiza popcorn ba mkwe!
Pamoja sana chiefTuko pamoja sana kiongozi ,hujawahi kuniangusha!..
Am bavk chiefThe Bold again...long time no see, nasubiri hiyo time kwa hamu kaka
So sorry comrade...Mkuu Habib, ingawa huwa hufanyi taging kwangu, lakini huwa nakufuatilia kwa mbali na naona jinsi unavyoweza kutumia hiyo kalamu.
Kalamu ni Silaha kali sana na hapo unapoingia sasa hivi ndipo penyewe khasa.
Shusha nondo na hii itakuwa ni moja ya makala za mwaka.
Hawa viongozi wako wengi hata kule Angola, Equatorial Guinea na kadhalika tunaona jinsi wananchi wa kawaida wanavyowezeshwa kusahau kufikiri.
Lete Darsa.
Tayari chief... post # 145Mida ndio hii chief
Done chiefNi tag time is now..
na mimiTayari chief nimekuadd
Mmmhhh""Xcuz me!!! etii?!!? Putin tajiri zaidi duniani!!? Aaahh umebugg mjomba
Sikia mjomba maisha yako yote mwanasiasa tajiri hawezi mzidi mfanyabiashara tajiri hata aibe vipi, achana na kitu inaitwa biashara, acha mchezo kabisa na iyo kitu, tena usilete utani ata kidogo
Cheki apa Bill gates anaingiza dolla za kimarekani 23,148 kwa dakika1 sawa na Tzsh Milioni 53, 240,400 hiyo ni kwa dakika mjomba lakini kwa siku anaingiza dolla za kimarekani Millioni 1,380,000 sawa na Tzshs Tillion 3,174,000,000 bajeti ya wizara hiyo mjomba
Dangote anaingiza Tzsh Million 11,600,000 kwa siku sawa na Million 350,000,000 kwa mwezi sasa unapokuja kutuletea porojo za watu kama akina kagame eti ni matajiri hahahahaa umekula maharage ya wapi mjomba
Achana na iyo mambo, kama unawaingiza chaka watu, waingize lakini kaa ukijua hapa Jf ni jukwaa la watu smart sana, usije ukaleta porojo zako ukadhani umewalisha matango yako, no way
Eti kagame tajiri africa,
Umebugg meeeen
mmh " ml. 350 per month kwa dangote " wakati manji alikuw anatumia ml .100, kuihudumia yanga tu kila mwezi " mwambie huyo jamaa aache " masihara aiSeeeeMwanangu acha utani yaani dangote na utajiri wake wote aingize mil 350 kwa mwezi? Mbona pesa ndogo sana hiyo kwa tajiri kama yule?
hahaaaaMimi nimekula maharage ya koromije mkuu
Mkuu,sehemu ya pili naomba uni-addTayari shemu mimekuadd
kuna mama mmoja pale kariakoo anaingiza ml.200 ndani ya masaa Ma 3,.., huwa anaagiza contena 20 mpaka 30 za vitenge "" pale k.koo tu ana. miliki maghorofa ma 3 "' kila moja kalinunua kwa sh.billion 6.7Kabisa fedha hizo kwa Mwezi ni kwa wafanyabiashara wa kati.
So sorry comrade...
Added to taglist.
Shukrani sana
Jiwe anasubiri siku mkimtibua aende kwao Rwanda!Part 2 lini mkuu, kupitia hii simulizi nahisi tutang'amua mawili matatu kuhusu uhusiano wa Jiwe na Slim.