jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Tayari ameshapigwa pini. Yuko smart lakini sijui kwa nini hakuliona hilo
Wakuu, kumradhi sana... kuna masuala yako nje ya uwezo wangu yamejitokeza. Makala hii haitoendelea. Kumradhi sana kwa hili but there is nothing I can do.
Nimeweka makala mpya ambayo ilikuwa exclusive kwa wale walioko kwenye group tu. But nimeona nishee nanyi kupunguza walau udhia wa kukosa makala hii ya "The Richest Man".
Kumradhi sana.
The Bold: Ujasusi Sebuleni Kwetu - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Angeandika yote akaibwaga yoteSidhani kama hakuliona hilo;
Mkuu The Bold huishi kutuchengua mashabiki zako!
HATA HIVYO BADO UNATAZAMWA.Wakuu, kumradhi sana... kuna masuala yako nje ya uwezo wangu yamejitokeza. Makala hii haitoendelea. Kumradhi sana kwa hili but there is nothing I can do.
Nimeweka makala mpya ambayo ilikuwa exclusive kwa wale walioko kwenye group tu. But nimeona nishee nanyi kupunguza walau udhia wa kukosa makala hii ya "The Richest Man".
Kumradhi sana.
The Bold: Ujasusi Sebuleni Kwetu - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungemaliza Hii makala ya Kagame ningevua nguo Ubungo mchana kweupe kwa dakila 50 ningekaa uchi πππ
Upo sahihi kabisa,nashauri Mod wamzuie kuleta haya ma thread yake yasiyo na mwisho maana anapotezea watu muda na concentration zao.Naona nilichoandika kimeanza kuonesha ujalisia.....hamtaki mtu wenu akosolewe mnaona km ni matusi........Hujui km huyu demu wake wa hapa Jf alikuwa sekretari wa komando kopensi pale Jangid Plaza kisha akaandika thread ya kupigia upatu utapeli wa komando kiprnsi skijitapa hana maslahi kwenye hiyo ofisi
Dah! so sad, Chief hakuna namna unaweza publish kitabu kuhusu hii makala? Au unaweza weka kwa softcopy(pdf,epub n.k)Wakuu, kumradhi sana... kuna masuala yako nje ya uwezo wangu yamejitokeza. Makala hii haitoendelea. Kumradhi sana kwa hili but there is nothing I can do.
Nimeweka makala mpya ambayo ilikuwa exclusive kwa wale walioko kwenye group tu. But nimeona nishee nanyi kupunguza walau udhia wa kukosa makala hii ya "The Richest Man".
Kumradhi sana.
The Bold: Ujasusi Sebuleni Kwetu - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuuu,sijui kinashindikana nini?,ikiwa kweli lengo ilikua ni raia kujua wasiojuaKuna wakati nawaza bora vitu km hivi viwe vinatupiwa Kenya talk kule hakuna kung'oana kucha wala kutishana lkn uku kila kitu imekuwa shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habibu B. Anga Je rafiki yako anaweza kuongea hivi?Ungemaliza Hii makala ya Kagame ningevua nguo Ubungo mchana kweupe kwa dakila 50 ningekaa uchi πππ
Tunajuana so RELAAXHabibu B. Anga Je rafiki yako anaweza kuongea hivi?
Ukikaa uchi niambie...nachukua boda fastaa kuja kuona pachupachuUngemaliza Hii makala ya Kagame ningevua nguo Ubungo mchana kweupe kwa dakila 50 ningekaa uchi
Bei Sh ngapView attachment 854805
Kitabu changu cha kwanza NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI & UJASUSI kiko tayari na kitakuwa mkononi mwako mwezi huu september... kaa tayari
Tunakisubiri kwa hamu...View attachment 854805
Kitabu changu cha kwanza NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI & UJASUSI kiko tayari na kitakuwa mkononi mwako mwezi huu september... kaa tayari