jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Tayari ameshapigwa pini. Yuko smart lakini sijui kwa nini hakuliona hilo
Sidhani kama hakuliona hilo;
Wakuu, kumradhi sana... kuna masuala yako nje ya uwezo wangu yamejitokeza. Makala hii haitoendelea. Kumradhi sana kwa hili but there is nothing I can do.
Nimeweka makala mpya ambayo ilikuwa exclusive kwa wale walioko kwenye group tu. But nimeona nishee nanyi kupunguza walau udhia wa kukosa makala hii ya "The Richest Man".
Kumradhi sana.
The Bold: Ujasusi Sebuleni Kwetu - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu The Bold huishi kutuchengua mashabiki zako!