The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Tayari ameshapigwa pini. Yuko smart lakini sijui kwa nini hakuliona hilo

Sidhani kama hakuliona hilo;
Wakuu, kumradhi sana... kuna masuala yako nje ya uwezo wangu yamejitokeza. Makala hii haitoendelea. Kumradhi sana kwa hili but there is nothing I can do.

Nimeweka makala mpya ambayo ilikuwa exclusive kwa wale walioko kwenye group tu. But nimeona nishee nanyi kupunguza walau udhia wa kukosa makala hii ya "The Richest Man".

Kumradhi sana.
The Bold: Ujasusi Sebuleni Kwetu - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu The Bold huishi kutuchengua mashabiki zako!
 
Naona nilichoandika kimeanza kuonesha ujalisia.....hamtaki mtu wenu akosolewe mnaona km ni matusi........Hujui km huyu demu wake wa hapa Jf alikuwa sekretari wa komando kopensi pale Jangid Plaza kisha akaandika thread ya kupigia upatu utapeli wa komando kiprnsi skijitapa hana maslahi kwenye hiyo ofisi
Upo sahihi kabisa,nashauri Mod wamzuie kuleta haya ma thread yake yasiyo na mwisho maana anapotezea watu muda na concentration zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala la haki ya kutoa mawazo / maoni ni mtambuka. Ni haki ambayo ukiitumia vibaya inaweza kukubomoa au kubomoa nchi. Haiyumkiniki ukatoa mawazo yako kwa lugha ya maudhi (kwa unaowakosoa hasa wenye kushika mpini wa dola) halafu utarajie kuchekewa au kufurahiwa.
Kama lengo la mawazo yetu ni kwa ajili ya kujenga, basi ni vyema kutumia lugha ya staha ambayo haitawaondoa (wenye kukosolewa) kwenye hali (mood) ya kutafakari ili kuwaepusha hali ya kupambana na wewe.
Tujitafakari!
 
Wakuu, kumradhi sana... kuna masuala yako nje ya uwezo wangu yamejitokeza. Makala hii haitoendelea. Kumradhi sana kwa hili but there is nothing I can do.

Nimeweka makala mpya ambayo ilikuwa exclusive kwa wale walioko kwenye group tu. But nimeona nishee nanyi kupunguza walau udhia wa kukosa makala hii ya "The Richest Man".

Kumradhi sana.
The Bold: Ujasusi Sebuleni Kwetu - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! so sad, Chief hakuna namna unaweza publish kitabu kuhusu hii makala? Au unaweza weka kwa softcopy(pdf,epub n.k)
Kazi Njema.
 
IMG_3684.jpg

Kitabu changu cha kwanza NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI & UJASUSI kiko tayari na kitakuwa mkononi mwako mwezi huu september... kaa tayari
 
112 Reactions
Reply
Back
Top Bottom