The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Muendelezo wa sehemu ya nne naomba usisahau kunitag
 
Mkuu hiki ulichoandika unaona sio matusi?!
 
Mkuu hiki ulichoandika unaona sio matusi?!
Naona nilichoandika kimeanza kuonesha ujalisia.....hamtaki mtu wenu akosolewe mnaona km ni matusi........Hujui km huyu demu wake wa hapa Jf alikuwa sekretari wa komando kopensi pale Jangid Plaza kisha akaandika thread ya kupigia upatu utapeli wa komando kiprnsi skijitapa hana maslahi kwenye hiyo ofisi
 
Wakuu, kumradhi sana... kuna masuala yako nje ya uwezo wangu yamejitokeza. Makala hii haitoendelea. Kumradhi sana kwa hili but there is nothing I can do.

Nimeweka makala mpya ambayo ilikuwa exclusive kwa wale walioko kwenye group tu. But nimeona nishee nanyi kupunguza walau udhia wa kukosa makala hii ya "The Richest Man".

Kumradhi sana.
The Bold: Ujasusi Sebuleni Kwetu - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya Pwani.. Mpiga ngoma akigoma atapewa hata kama anataka nini.. Mpeni anacho taka aendeleze story
 
Nilijua haitafika mbali, nilishaacha kufuatilia story za miendelezo JF uishaji wake unasumbua sana
 
single people will be online the whole day jus commenting, tweeting, Rtin, and liking until their phones become hot
 
Sasa naogopa kusoma tena maana mauhondo huwa yanaishia mapema njiani. Kuanzia sasa nitakuwa nasoma mwisho kwanza, nikiona kitu itaendelea, sijui subiri part two.....!! Baasi sijihusishi na hiyo habari
 
Group nilikupa number uniweke! Ukanitosa live
 
The bold yaani Habibu B. Anga Kama soft copy hapa JF is banned, natumai hard copy a k a kitabu unaweza kuchapisha na kila muhitajia akanunua. I believe ni haki yako kama Muandishi kuandika kile ukijuacho baada ya utafiti ulioufanya, then kama kuna critics wataonyesha mapungufu au uongo wa hoja husika badala ya kuzuiana hata ile fundamental right ya Kupashana habari zilizotafitiwa na kutoka kwenye undisputed sources.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…