mikono yako ya mboga sabaMi haya masanitaiza ya kila daladala na duka yamenibabua mikono yangu
Dharau hizi mkuu, kuza sanitaiza za JIKI, SPIRIT, PLUS SABUNI ZA MTAANI KWANINI TUSIBABUKE!
pole mkuu mpka jiki duuuh hatariDharau hizi mkuu, kuza sanitaiza za JIKI, SPIRIT, PLUS SABUNI ZA MTAANI KWANINI TUSIBABUKE!
Kwani Mwendokasi walikuwa wanatupulizia nini kama sio JIKI bora saivi wameweka maji wa kunawa
shit ndio maana juzi mikono ilikuwa na ukakasiKwani Mwendokasi walikuwa wanatupulizia nini kama sio JIKI bora saivi wameweka maji wa kunawa
Ndomana yake wale washenzi wamenibabua mikono