The Real Hidden World

Mkuu, mbona unapiga danadana nyingi Sana katika Bandiko lako. Huenda unajambo lenye manufaa unalotaka kuliwasilisha. Lakini Shaka yangu na watu wenye fikra Kama zangu ni kuwa, Bandiko lako halina mshikamano unaowiana wa hoja.

Aidha, katika bandiko lako hujaelezea huo ulimwengu halisi ambao unadhani umejificha.

Kwa ufupi, unatumia nadharia za waandishi walioamua kuuelezea ulimwengu uliomo katika fikara zao.

Maisha haya ndio maisha halisi, mengine ni porojo.
 
broda hicho unachozungumza ni shauku yako ya kujua usichokijua. so swali langu lilikuwa hv. baada ya kujua inakuongezea nini kufanikisha ndoto zako? au unafikir kila aliyefanikiwa alipitia huko. mi nafanya biashara huku nalima nawakat mwingine nadeal na ujenz so unaponiambia nisome ulimwengu usioonekana unataka nikishaujua niuweke kwenye mishe zangu au. broda hii dunia ina mmiliki wake cc tulijikuta tupo tayar so ukitaka kuujua sana unapoteza muda we tafuta hela jiwekee mipango komaa kila mwaka uhakikishe umetoka hatua moja kwenda nyingine. hayo unayotaka kujua ukishayajua utataka kujua zaid mwisho unapotea coz tunaish mara moja tu tutumie muda wetu vizur aisee hatuna muda ndugu yangu. mimi kwenye kusafir kwangu sana nimekutana mpaka na watu wanamuabudu mbwa na ni wasomi wakubwa sasa ukiniambia mimi nikae chin nimfikirie huyo mtu ili iweje. kuna vitabu vingi vya kusoma bana kuna watu wamefanya mambo mengi makubwa soma mawazo yao njia walizopitia upate huko cha kumrithisha mtoto achana na hadithi za alfu lela ulela nanii pambana jombaa uzee unakuja fasta kuliko unavyofikir.
 
KijanaHuru ukijuwa utakuwa na uhuru, Ebu nitupie hivyo vitabu PM.
Napenda sana vitabu niko tayari kununua kitabu hata cha elf 80 ndiko kwenye maarifa.

Kuna vitu unataka kueleza juu wakati ni vya muhimu sana kwa sisi tunaotaka kuwa Huru. There are light we need to follow it
 
A book of Napoleon sijaelewa jinsi ya kukitumia, kama mtanusaidia muongoza itapendeza
 
ukweli sikuujua kwa kusoma vitabu bali niliutambua baada ya kufanya meditation kwa kutumia weed,
 
Hicho kitabu unacho nirefer nimeshakisoma bahati mbaya nipo far na access ya PC ningekutumia na hivo vingine kama vya ester na Magdalene!..
All in all good luck on your expedition, only don't forget your grounds!..
Dah!hivi hiko kitabu cha Mary madgalena kinahusu nini sana sana??
 
Umenigusa Sana, Ni Kama vile nakuona, kitabia/haiba .. samahan lkn imefikia elimu level ipi
 
Dunia hii ni kongwe kuliko wengi mnavyofikiri, kuna watu tumemuona Mungu hiyo moja pili kuna watu hawajamuona Mungu wala kumskia hivo wanaamini ahakuna Mungu,kabisa kabisa tena mnaweza kukosana kwa hilo.hao Mungu hajawapenda kama alivo mchukia Esau. na yeye hajifichi anasemaga tu nakuchukia, sikupendi waziwazi. siyo kama sheitwani yeye akikuchukia hakupnyeshi wazi wazi.
 

Duh
Kwa iyo kama Mungu anamuumba mwanadam anamleta duniani alafu anampenda huyu na kumchukia mwingine huo si ubaguzi???
 
 
Kudadeki nimegundua kuna elimu kubwa sana kuhusu dunia na haina usiri wowote kuweza kuifahamu ila kutokana na baadhi yetu tumepewa elimu ya kutupumbaza kiukweli elimu tuliyo pewa imeacha maswali mengi sana yenye utata mkubwa sana.

Ila nilicho gundua wale wote walioigundua huu usiri wa ulimwengu ulijificha wapo huru sana.


Kuna siku moja nilikua shamba na mzee wangu akaniambia kata vigongo tukapute embe ya kuuingia mboga

Tukaenda kuputa embe nilikata Vigongo v3 mzee alikua anataka Embe moja tu Muembe ulikua katika kichaka kikubwa

Nikaputa cha kwanza sikufanikiwa kudondosha

Nikaputa cha pili sikufanikiwa kikabaki kimoja na ndo cha mwisho

Nikatuliza akili huku nikiputa katika utulivu wa hali ya juuu huku nikimuomba Mungu wangu anisaidia kwanizamu kubwa kweli kweli nikafanikiwa kudondosha Maembe 2

Bila Mzee kujua kama nilimtaanguliza mungu kabla sijakimalizia kile kilichobaki kaniambia mshukuru Mungu maana yani icho cha mwisho ndo umefanikiwa kuangusha nikamjibu Dah kweli Mungu amenisaidia


Basi tukafunga safari na kurudi nyumbani


Nilicho gundua Mungu yupo na imani yangu thabiti IPO katika kuamini Mungu na mmoja hajazaa wala hajazaliwa na wala hanamshirika.

MSIMAMO WANGU- Siamini katika Dini yoyote. Naaaamimi katika Mungu mmoja

Nitatenda mambo mazuri yenye kumpendeza Mungu.












Sent using Nokia 7 Plus
 
Duh
Kwa iyo kama Mungu anamuumba mwanadam anamleta duniani alafu anampenda huyu na kumchukia mwingine huo si ubaguzi???
Kwa akili yako kama mwanadamu utasema Mungu ni mbaguzi, ujue kuna wengine hamjaumbwa na Mungu bali matokeo ya shetani mpaka leo.utasikia watu wengine wanasema wanafanya mapenzi ndotoni, wananyonyesha ndotoni.wanatembelea sehemu wasizozijua ndotoni nk. inawezekana kabisa kuna watu tuna ishi nao wametoka kuzimu, ndo wanahoji uhalali wa uwepo wake yaani ile hofu yake hawanayo, ni rahisi kuwajua hawa watu ila ni somo la siku nyingine.........
kama shetani alivo mtengenezaa Cain katika bustani ya Edeni, lakini pia Mungu alimlinda Cain na kizazi chake wakawa wanamuziki wazuri wenye mafanikio, pia napenda ujue mwanamke ni mama wa viumbe vyote, halisi na visivyo halisi, ila baadhi hamjijui, ndo tunawafungua akili. hata ivo mtu kama wewe umepewa nafasi ya kutenda vyema ili ukubaliwe na Mungu.ujue shetani baada ya uasi alitengwa,zaidi ya yote akafukuzwa mbinguni lakini bado anaongea na anafanya bidii ya maombi usiku na mchana ya kukushitaki wewe kwa Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…