The Queen of Soul is no more

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,227
113,580
Aretha Franklin, mwimbaji mahiri na mashuhuri wa Marekani, amefariki dunia huko Detroit, Michigan.

Alikuwa na umri wa miaka 76.

Pumzika salama mama.

R.E.S.P.E.C.T

aretha-franklin-tff.jpg
 
Ni safari yetu sote Mungu amlaze pema huyu bimkubwa.

Nilikuwa simjui nimeingia gugo duh alipata mtoto akiwa aged 12 wa pili aged 14,siyo mchezo.
 
wamarekani bana msiba wa legend majuto hatukuwaona. wao kwa watu classic tu

Haya rip areta japo nimeenda youtube ndio nimemjua
 
Back
Top Bottom