Griss
JF-Expert Member
- Jun 26, 2025
- 337
- 1,945
Huwa hawakurupuki kufanya Jambo lao
Ni kanisa lililojaa majasusi mpaka wavaa baragashia.
Hawa ndio serikali kubwa kuliko zote duniani.
Hawana ndio wanashikilia uchumi wa dunia kupitia kupitia mifumo ya kibenki wakishilikiana pamoja na Israel.
Je wajuwa ndio usimika Ma-Rais wa nchi zote zisizo endeshwa kidini?
Je wajua upika wao majajusi na uwajaza Ikulu na kwenye vyomba vya serikali kuwasaidia kukusanya, kuchakata taarifa za kiuchumi, kisiasa hata kiusalama ?
Report zote chafu zinakuwa mezani mwao kabla na baada ya matukio mbali mbali kufanyika?
Kikubwa zaidi je wajua kwamba Shekh mkuu wa TANZANIA anashirikiana vilivyo na Viongozi wa kanisa katoriki ? kuliko hata anavyoshirikiana na serikali ?
Wao ufanya kazi polepole na kwa Malengo ya muda mrefu inapobidi Kama mwaka huu ndio ufanya maamuzi kwa Malengo ya muda mfupi?
Haya maombi sio bahati mbaya hata kidogo
Unaweza ukamuona mtu unacheka naye na amevaa kanzu ukadhani ni mwenzako kumbe kwenye korido yupo kwa maslahi ya Taifa
Mafisadi kaeni kwa kutulia hii mechi ndio kwanza dakika ya 15.
Nawaambia mkishupaza shingo hakuna uchaguzi mwaka huu.
Ni kanisa lililojaa majasusi mpaka wavaa baragashia.
Hawa ndio serikali kubwa kuliko zote duniani.
Hawana ndio wanashikilia uchumi wa dunia kupitia kupitia mifumo ya kibenki wakishilikiana pamoja na Israel.
Je wajuwa ndio usimika Ma-Rais wa nchi zote zisizo endeshwa kidini?
Je wajua upika wao majajusi na uwajaza Ikulu na kwenye vyomba vya serikali kuwasaidia kukusanya, kuchakata taarifa za kiuchumi, kisiasa hata kiusalama ?
Report zote chafu zinakuwa mezani mwao kabla na baada ya matukio mbali mbali kufanyika?
Kikubwa zaidi je wajua kwamba Shekh mkuu wa TANZANIA anashirikiana vilivyo na Viongozi wa kanisa katoriki ? kuliko hata anavyoshirikiana na serikali ?
Wao ufanya kazi polepole na kwa Malengo ya muda mrefu inapobidi Kama mwaka huu ndio ufanya maamuzi kwa Malengo ya muda mfupi?
Haya maombi sio bahati mbaya hata kidogo
Unaweza ukamuona mtu unacheka naye na amevaa kanzu ukadhani ni mwenzako kumbe kwenye korido yupo kwa maslahi ya Taifa
Mafisadi kaeni kwa kutulia hii mechi ndio kwanza dakika ya 15.
Nawaambia mkishupaza shingo hakuna uchaguzi mwaka huu.