Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,833
- 2,790
nilisikia kuwa baada ya kupiga hii picha, na ikawa inajipatia umaarufu sana. Alieipiga alikuwa anaulizwa hii ishu iliishiaje, na kwa kuwa hakufuatilia, alibaki na msongo wa moyo kwa ajili ya kuwaza kilichotokea kwa huyo mtoto. mwisho wake alishindwa kuishi na kujiua!!
Do you mean mpiga picha huyo alimuacha huyo mtoto pale pale yeye akaendelea kuiuza picha kwa ajili ya maisha bora. Kama alikufa kwa msongo wa mawazo heri ikiwa alimuacha pale.