Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Hawa Dallas wako kama Arsenal (pun intended) lol.
Ha ha ha ha wapo wapo tu.
Hawa Dallas wako kama Arsenal (pun intended) lol.
Hii series ishaisha hii. Kilichobaki ni formality tu ya kucheza gemu 4.
Hawa Dallas wako kama Arsenal (pun intended) lol.
Any Dallas believers still?
Any Dallas believers still?
Ask that q on Sunday lol.
Hii ngoma bado wazee............
Kushi nehi hii wewe. Kama unabisha subiri dakika 2 za mwisho uone Wade na Bron Bron watakavyocharuka.
wee subiri Mjeru aanze kuzipiga zile tatu tatu and a buzzer.........haya sasa unaona....its two point game