The Nokia iPhone 5 Killer Phone Has Arrived!

hiyo ndoa ya microsoft na nokia nadhani watapeana talaka mapema hata kabda biashara haijachanaganya. competition ipo tight sasa hivi na apple wanarelease iphone5 hiyo wataalamu wanatabiri itavunja marecord kibao manake wanampango kuzitoa hizo iphone5 kwa masoko mengi. kama us walikuwa wamelock kwa mtandao mmoja juzi juzi wakaongeza mwingine na sasa wanauza unloked huko US, na zani apple wanampango hata wa kuzifanya ziwe raisi mpaka huku kwetu
 
Hawa jamaaa bwana!! wakati mimi bado nafikiria kununua symbian my dream 4ne Nokia n72 wanazidi kutoa vitu vya ukweli....sasa hizi za zamani atanunua nani...loh!!

Nadhani Laptop hazina kazi tena kama kuna simu zina Ram na speed kama hizi.

Bora zamani na simu yangu ya Twanga pepeta napiga na kupokea na msg natuma.
 
Guys frankly, honestly speakin., N9 ipo higher ukilinganisha na all versions za iphone from 2-4. May b let's wait iphone 5.
Nina iphone 4, but I wish ningechelewa kidogo ili ninunue hii kitu.
Tukiongelea facts, hapa iphone kakamatwa bila ubishi..!!
 
Nice, ila Meego is a dead platform maana hiyo ndo simu ya mwisho ya Meego from Nokia so hakuna atakayetaka kutengeneza Apps kw ajili ya hiyo kitu, ila watakapoweka Windows Phone 7 kwenye hardware kama hiyo mwishoni wa mwaka nadhani watafanikiwa.
Its not the last meeGO from nokia.Nokia plans on releasing more meeGO Phones
 
forsure this is the iphone + android killer.This phone will be able to run android apps as well thank's to alien Dalvik
 
bei yake inaanzia $600 kwaUS so mpaka ikifika Bongo itakua MILIONI 2.. what the hell is Nokia by now? I love Android and Blackberry OS ni the best
 
And is iphone5 really different from iphone4? Nothing is new only names. Others are just improved.
 
Guys frankly, honestly speakin., N9 ipo higher ukilinganisha na all versions za iphone from 2-4. May b let's wait iphone 5.
Nina iphone 4, but I wish ningechelewa kidogo ili ninunue hii kitu.
Tukiongelea facts, hapa iphone kakamatwa bila ubishi..!!

mkuu unaongea nini wewe..?! umeona HTC HD7S..?!!! U gonna eat your words back! nokia wamepitwa na wakati wanaamka kumeshakucha zamani...
 
Guys frankly, honestly speakin., N9 ipo higher ukilinganisha na all versions za iphone from 2-4. May b let's wait iphone 5.
Nina iphone 4, but I wish ningechelewa kidogo ili ninunue hii kitu.
Tukiongelea facts, hapa iphone kakamatwa bila ubishi..!!

ndio maana simu mbovu zinapata wateja kama wewe mkuu...unaweza kuwa na simu ya ukweli na bado huielewi vile vile...Iphone anakimbizwa na HTC na samsung akifuatia...Nokia wajipange upya maybe next year wakianza kuweka os ya windows.
 
brilliant debut with another mammoth looking phone, poor them hata hawajui kama watu wanataka pia na good looking phone na siyo mini tab kama hii N9.. kwa bahati mbaya zaidi hamnaga hata apps za MeeGo ao siwashauri mnunue hata kama ni ya bure we kataa kwa sababu haina tofauti na Nokia 1100
MeeGo apps can easily be created because it's based on Qt.
 
The N9 is the boss of all smartphones.kuna kitu kwenye N9 wanaita swype aise ni noumer!!
 
Samahani mkuu Givenality..umeshawahi kuitumia iphone esp iphone 3GS au 4?
Apple wapo dunia ya kwanza na itachukua miaka mingi nokia kuwasogelea...ni bora uizungumzie samsung kwani wanajitahidi tofauti na nokia.
Nokia wakianza kutumia android nitaanza kuwafikiria
Nadhani hajaitumia ndio maana anasifia kitu ingine iphone matoleo yote ni noma kuanzia kwenye uimara hadi kila kitu ni noma.
 
Nafikiri simu inategemea na mahitaji yako yakoje. Watu msidanganye wengine na blaa blaa za hii mbaya au hii nzuri.

Watu muangalie mfuko wenu na umuhimu wake. Pia mapenzi ya mtu yakoje.

Jamaa yangu kanunua Nokia E7 kwa sababu ina QWERTY (Keyborad) na si kuandika kila kitu kwenye screen. Alishakuwa na HTC Desire HD mkononi na pochi mkononi tayari kulipa ila alipoambiwa N E7 ipo, akaachia hapohapo HTC na akachukua Nokia.

Kuna mshikaji mwingine alikuwa ameshanunua Iphone 4 na kwa sababu yeye ni Mhasibu, akawa anataka kutumia kwenye kazi zake ila ikaonekana zile program zake anazotumia, humo hazifanyi kazi na akaamua kununua Nokia N900 ambayo ilikuwa inakubali program zake.

Iphone zinafaa sana kwa kupandisha hadhi ya mtu kwa wale wenye complex kwani kila mtu akiiona, anajua umenunua kwa bei mbaya.

Angalieni mnataka simu kwa matumizi gani na ukishajua, basi nunua hiyo simu. Kama hujui matumizi/mahitaji yako kwenye simu ni nini, basi chukua kisimu cha kawaida tu kama Nokia C3, HTC za bei nafuu, Samsung za bei bowa na endelea na maisha.

Usikimbilie simu mpya ya bei mbaya kwani utakuwa kama yule jamaa kwenye page ya kwanza anayeamini kuwa HTC HD 2 ndiyo simu bora duniani iliyowahi kuundwa wakati kuna nyingine nyingi sana mpya zinaizidi. Ukinunua simu mpya, baada ya miezi kadhaa, bei zinashuka na watu hawajali kama ulinunua kwa Euro 800 au 600 au hata used kwa Euro 300. Kama una hela za kuchezea na nduguzo pia wametosheka, basi waweza kuwatajirisha Mwarabu Steve Job na Myahudi Wozniak wa Apple kama siyo Wafinish, Wakorea, Wafaransa.......
 
bado sijaona replacemnt wa iphone like they say "once you go mac there is no turning back"
Last month, nilitoa habari kwamba Nokia N9 might be powered by MeeGo instead of Symbian Anna. Likewise, this gave enthusiasts hope that Nokia will still push the MeeGo platform despite the looming trend of its WP7 devices destined for this year.
As of today, Stephen Elop finally confirmed that Nokia N9 is indeed a MeeGo Phone and this would serve as the company’s first on the platform. Packing with a 3.9-inch AMOLED screen (854×480 resolution), a 1GHz TI OMAP 3630 processor along with a PowerVR SGX530 GPU – making this device a strong contender against Android’s superphones and iPhone 4 in terms of specs. Meanwhile, it has a 16GB or 64GB integrated memory (no microSD slot), 1GB RAM, quad-band GSM and penta-band WCDMA support making it compatible with almost any frequency on Asia, Europe and North American countries. In addition to that, it has an 8 megapixel camera, capable of recording 720p (HD) videos and shoot in low light (aperture set to F2.2).
Other goodies include WiFi / Bluetooth 2.1 support, GPS, NFC for mobile payment purposes, battery can last up to 4.5 hours while playing / 11 hours using GSM; will run MeeGo 1.2 Harmattan (the latest for the OS) and its browser supports HTML5.
nokia_n9_meego_phone_1.jpg
According to engadget, the Nokia N9 is impressive in terms of its performance and how the MeeGo has matured and blossom into a real mobile UI. On the physical aspects, the device “feels good” to the hand eventhough it’s surrounded by hard plastic.
Expect the Nokia N9 Meego Phone to hit its release date “later this year” and its price should be available on that timeline as well on your local shops.( I don't know about our country Tanzania maana tupo nyuma sana)

Check out Nokia N9 Video Impressions. As Givenality, personally, I love it!


If you’ll ask us, this is the first real Nokia smartphone that’s similar with the image and likeness of Android and iPhone. No keyboard, no slideout feature, just plain glory on its 3.9-inch slab of touchscreen goodness.
 
Last edited by a moderator:
yani hapo umesema kabisa mkuu, iphone ni km vile magnetic wall, ukigusa tu unanasa, hakuna kurudi nyuma.
 
This phone is so useless, it has no developers so don't expect to have even one app to download apart from those that come with the phone. Nokia signed contract with Windows to use Windows Phone 7 platform, they were developing this OS (Meego) since 2010, their contract with Windows stipulate that WP7 should be their only platform.

Nokia released this phone in order to advertise Meego, as they are now selling it. Nokia have already confirmed that no more Meego phones. So literally Meego is a failed platform, if it is not going to get a buyer it may become a dead platform, unless they make it an open source, even open source OS needs a company to pioneer. I'm sure those who know phones they will agree with me that phones is about Apps. you wanna watch TV you need an app, you wanna read e books you need an app, apps apps apps. It is not about the look.
 
Yan wewe mkali sana bro,hata mimi umenikosha na hayo maneno,cm sio look,its apps japo look inafuata baada ya kujua uwezo wa cm.pamoja sana,iphone nawakubali sana coz apps zao nyingi ni useful,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom