The next Tanzanian Social Forum ungependa iwe na features zipi?

MESSAGE/ PM

Unasoma msg uliyotumiwa lakini bado unaonekana hujasoma

NOTIFICATION

Leo kama siku ya 3 sipati notification. So kamasijakagua mambo yananipita tuu

SIGNATURE

Naona now wanedisable hii fiture bila taarifa.

EDITING

Mfano nimefungua uzi, na baadae nataka niweke picha kwenye uzi wangu haiwezekani mapaka ni Reply kama mchangiani wakati mm ndio mwenye uzi

QUALITY OF Picture.

Hiii ndio inanikera zaidi. Unaweka Picha nzuri ina quality na resolution nzuri, lakini ukiiupload to JF inapunguzwa inakuwa kituko. Kama kuna maneno basi hayatasomeka.

GOOGLE Ads.
Daaaaaah hizi zinakera sana japo sasa hivi wametoa
Hiyo ya notification na quality ya picha nilizani ni kwangu tu, kumbe kila mtu. Aisee wazifanyie marekebisho.

Pia hapo ambapo muweka uzi hauwezi kuufuta au kuongeza picha, inatakiwa wapaangalie sana
 
People, JF ni forum platform ambayo imenunuliwa na ikawa tweaked kulingana na mahitaji..! ( Sikumbuki jina lake vizuri ).

Ku compare JF na FB ni kosa kubwa sana hata kama JF angekua mkubwa..!
 
JF wameridhika labda...
Lakini kwa mtaji walioko nao wangepaswa kubadili hata UInterface... Iwe kama QOURA au medium.... Na muda kuwa develop ni sasa akija mshindani atapata tabu...
Pia kuna thread za kufuta nyingi tu...na nyingine za kuboreshwa ili zionekane katika SEO.....
Mimi ni web developer huwa naimagine ningekuwa na platform yenye idadi yawatu wakutosha kama JF.....
Ningeiboresha sana kwa ajili ya Swahili speakers world wide....
 
JF wameridhika labda...
Lakini kwa mtaji walioko nao wangepaswa kubadili hata UInterface... Iwe kama QOURA au medium.... Na muda kuwa develop ni sasa akija mshindani atapata tabu...
Pia kuna thread za kufuta nyingi tu...na nyingine za kuboreshwa ili zionekane katika SEO.....
Mimi ni web developer huwa naimagine ningekuwa na platform yenye idadi yawatu wakutosha kama JF.....
Ningeiboresha sana kwa ajili ya Swahili speakers world wide....
Ni PM Bro....We share the same idea na Nimefika Mbali kiasi kwenye hio Project
 
People, JF ni forum platform ambayo imenunuliwa na ikawa tweaked kulingana na mahitaji..! ( Sikumbuki jina lake vizuri ).
Ku compare JF na FB ni kosa kubwa sana hata kama JF angekua mkubwa..!
JF Ilinunuliwa?...Funguka mkuu
 
JF Ilinunuliwa?...Funguka mkuu

Not JF kama forum, sabab ilikuwapo tangu mwanzo, but hii platform inayotumiwa sasa kama backend ya JF kama sikosei ni forum software inayouzwa .! Sikumbuki jina lake vizuri but nakumbuka kipindi fulani nlishaiona sehem .! Imekuwa heavily modified..!

I stand to be corrected though .!
 
Not JF kama forum, sabab ilikuwapo tangu mwanzo, but hii platform inayotumiwa sasa kama backend ya JF kama sikosei ni forum software inayouzwa .! Sikumbuki jina lake vizuri but nakumbuka kipindi fulani nlishaiona sehem .! Imekuwa heavily modified..!

I stand to be corrected though .!
Xenforo last time ndio ilikuwa inatumika.
 
FOR STARTERS
Tuachane na Facebook and let's compare JF na "Forum" based sites kama TWITTER na REDDIT.
Na pia tuachane na notion kuwa hizi company zina fortune kubwa because hawakuanza hivyo na pia waliongezeka thamani by kutio kitu UNIQUE from either features zao au the experience like Twitter kwenye 140 words.

Reddit ni a community based site ya watu kutafuta watu wengine wanaoshare interest (fani) moja na kama una taka unaweza tengeneza pia jumuiya yako mwenyewe but on JF jumuiya zimesha tengenezwa na pia waki assume category zilizopo zina tosha.
Also Reddit ina features kama UPVOTE ambapo mtu akipost jibu ya swali labda anaona the best answer according to rating ya user but JF mpaka upate jibu ni lazma utafute from comments zote na zingine ni replies na zingine ugomvi between users na pia THE MOST RIDICULOUS THING inaleta the post with the latest reply ambapo solution au discussion unayokuta ni from hata miaka 9 nyuma.

Twitter ni a micro blogging site yenye features nyingi za kuwezesha to share ideas na kufuatilia idea za mtu by either kuwa follow na pia get recognized by kuwa verified.
Una weza kutafuta what you want in twitter haraka na hatakama hukijui labda ulisikia na pia they have a suggestion of follows na pia news feed ipi JF wanayo but limited to follows.

Nimecompare hivyo na pia sina kusudi ya kufanya JF wabadilishe ili iwe kama reddit or twitter but because:
USER INTERFACE - Ndio reddit kwasababu wanayo interface karibu zinafanana from categorizing na wote wana watu wengi
USER EXPERIENCE - Twitter wanayo a very well designed user xp from cm mpaka WEB

  1. ONLY WEB DEVELOPERS - The JF Dev staff zinazo tu web developers from features walizonazo ni trending to Keyboard features kama (Bold, Italic, ...) na What,s new. And the biggest proof ni the Desciption ya the Tech and Science forum ambayo ni either developer alichoka inamaanisha yupo mmoja au cio develper ameandika because hamna Developer of any kind ana define a tech group hivyo.
  2. NO DEVELOPERS - No permanent developers ina explain why no huge updates na pia because iliwachua mda kufix the NO ANOYNOMOUS rule na pia ina maanisha ADMINS Wanalipia Hosting (kama hawana server, not sure) na ku maintain the group rules ambayo ipo unessecary kama kuna mtu beside web developers.
  3. COMPLETELY NO DATA SCIENTISTS/ ANALYSTS - Jamiiforums wana umiliki wa data ya watu >500k (BIG DATA), Impact data scientists watakayo fanya na hiyo data nikubwa because ndio hivyo hivyo facebook ilianza (chukua data na kuifanya features and product), From the JF RECCOMENDATIONS Ndio cijui why utasuggest me about "Kocha Mkuu" (nimeangaili recomended ss hv) because c angaliagi mpira na pia proves una recommend with no data analysis at all.
    1. MACHINE LEARNING - Facebook uses ML to zuia nudity na pia kusuggest new comment au new photos
Sugesstion yangu ni tafuta a development team from software develoopment ( simu), data sci, web dev,.... AU make a SUBDOMAIN ya tech na a public or private repository developers walioko wa shuhulikie because najua walipo wapo moe than willing to develop the domain na PIA BADO utahitaji a Developer number 3 from "Truth about developers" section.

KWA KUKUJIBU SWALI LAKO:
Features zinategemea na users wanatakaje na pia KUHAMA JF Inategemea na criteria zifuatao:

REASONS WHY JF SUCCEED
The principles used zinapatikana kwenye kitabu from Robert B. Cialdini.
The only reason JF Wanasuceed ni because wanayou watu wengi ("concensus")

Any Company zenye priciples zifuatazo za influence zitanifanye nihame in a BLINK.

CONCLUSION forum yenye features za kuni influence nisirudi JF
 
FOR STARTERS
Tuachane na Facebook and let's compare JF na "Forum" based sites kama TWITTER na REDDIT.
Na pia tuachane na notion kuwa hizi company zina fortune kubwa because hawakuanza hivyo na pia waliongezeka thamani by kutio kitu UNIQUE from either features zao au the experience like Twitter kwenye 140 words.

Reddit ni a community based site ya watu kutafuta watu wengine wanaoshare interest (fani) moja na kama una taka unaweza tengeneza pia jumuiya yako mwenyewe but on JF jumuiya zimesha tengenezwa na pia waki assume category zilizopo zina tosha.
Also Reddit ina features kama UPVOTE ambapo mtu akipost jibu ya swali labda anaona the best answer according to rating ya user but JF mpaka upate jibu ni lazma utafute from comments zote na zingine ni replies na zingine ugomvi between users na pia THE MOST RIDICULOUS THING inaleta the post with the latest reply ambapo solution au discussion unayokuta ni from hata miaka 9 nyuma.

Twitter ni a micro blogging site yenye features nyingi za kuwezesha to share ideas na kufuatilia idea za mtu by either kuwa follow na pia get recognized by kuwa verified.
Una weza kutafuta what you want in twitter haraka na hatakama hukijui labda ulisikia na pia they have a suggestion of follows na pia news feed ipi JF wanayo but limited to follows.

Nimecompare hivyo na pia sina kusudi ya kufanya JF wabadilishe ili iwe kama reddit or twitter but because:
USER INTERFACE - Ndio reddit kwasababu wanayo interface karibu zinafanana from categorizing na wote wana watu wengi
USER EXPERIENCE - Twitter wanayo a very well designed user xp from cm mpaka WEB

  1. ONLY WEB DEVELOPERS - The JF Dev staff zinazo tu web developers from features walizonazo ni trending to Keyboard features kama (Bold, Italic, ...) na What,s new. And the biggest proof ni the Desciption ya the Tech and Science forum ambayo ni either developer alichoka inamaanisha yupo mmoja au cio develper ameandika because hamna Developer of any kind ana define a tech group hivyo.
  2. NO DEVELOPERS - No permanent developers ina explain why no huge updates na pia because iliwachua mda kufix the NO ANOYNOMOUS rule na pia ina maanisha ADMINS Wanalipia Hosting (kama hawana server, not sure) na ku maintain the group rules ambayo ipo unessecary kama kuna mtu beside web developers.
  3. COMPLETELY NO DATA SCIENTISTS/ ANALYSTS - Jamiiforums wana umiliki wa data ya watu >500k (BIG DATA), Impact data scientists watakayo fanya na hiyo data nikubwa because ndio hivyo hivyo facebook ilianza (chukua data na kuifanya features and product), From the JF RECCOMENDATIONS Ndio cijui why utasuggest me about "Kocha Mkuu" (nimeangaili recomended ss hv) because c angaliagi mpira na pia proves una recommend with no data analysis at all.
    1. MACHINE LEARNING - Facebook uses ML to zuia nudity na pia kusuggest new comment au new photos
Sugesstion yangu ni tafuta a development team from software develoopment ( simu), data sci, web dev,.... AU make a SUBDOMAIN ya tech na a public or private repository developers walioko wa shuhulikie because najua walipo wapo moe than willing to develop the domain na PIA BADO utahitaji a Developer number 3 from "Truth about developers" section.

KWA KUKUJIBU SWALI LAKO:
Features zinategemea na users wanatakaje na pia KUHAMA JF Inategemea na criteria zifuatao:

REASONS WHY JF SUCCEED
The principles used zinapatikana kwenye kitabu from Robert B. Cialdini.
The only reason JF Wanasuceed ni because wanayou watu wengi ("concensus")

Any Company zenye priciples zifuatazo za influence zitanifanye nihame in a BLINK.

CONCLUSION forum yenye features za kuni influence nisirudi JF

Wana watu wengi kwa sababu ya THE ONE WINNER EFFECT.

JF KWA AINA YAKE NA MAZINGIRA HAYA WANATAKIWA KUWA NA OTHERS PRODUCT.
Hawa JF ndo Google of Tanzania
 
Ukifungua baadhi ya thread yaani mtu katoa thread lakini thread unaikuta katika page ya pili ambapo ilitakiwa kuwepo na michango ya wadau. Utakuta thread ndefu halafu unakuja page ya 2 na kuendelea. Mods rekebishane hii yaani thread ionekane page ya kwanza 1 na na page ya pili paonekane michango ya watu tu.
 
Back
Top Bottom